Nimesikitika sana kwa Tukio hili

Nimesikitika sana kwa Tukio hili

Bill Lugano

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
1,189
Reaction score
6,450
Hawa ambao nimewazungushia Duara three weeks ago tulikuwa wote Amsterdam. Before that tulikuwa London na Paris. Leo naambiwa kuna asilimia kubwa watakuwa wamefariki.

Ilikuwa niwepo katika hii tour basi tu ratiba ziliingiliana sababu jamaa walitaka angalau black man mmoja awepo. Shida tu nlikuwa na ratiba nyingine. Nasubiria tu Mwanasheria wangu apate uthibitisho niende kuhani misiba ya watu hao.

Screenshot_2023-06-23-18-17-04-843_com.android.chrome~3.jpg
 
Hawa ambao nimewazungushia Duara three weeks ago tulikuwa wote Amsterdam. Before that tulikuwa London na Paris. Leo naambiwa kuna asilimia kubwa watakuwa wamefariki.

Ilikuwa niwepo katika hii tour basi tu ratiba ziliingiliana sababu jamaa walitaka angalau black man mmoja awepo. Shida tu nlikuwa na ratiba nyingine. Nasubiria tu Mwanasheria wangu apate uthibitisho niende kuhani misiba ya watu hao.
Pole sana Tycoon.
 
Tena niga wee ndo ungekufa wa kwanza kama muvi ya predator..maana wazungu katika muvi zao nyeusi au macho ndogo(mchina)ndo huanza kufa.papasi wee
 
Back
Top Bottom