Nimesikitika sana, simu ya shemeji yangu imejaa Apps za mikopo

Nimesikitika sana, simu ya shemeji yangu imejaa Apps za mikopo

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Shemeji yangu amemuoa binamu yangu, na wanaishi mkoani. Kaja Dar kufuatilia issue zake kadha wa kadha.

Kwa bahati mbaya siku chache alipata ajali ya pikipiki, amevunjika mguu na Leo kaingizwa chumba cha upasuaji.

Vitu vyake vimekabidhiwa kwangu kwani matibabu yake nayasimamia Mimi, MKE wake ndio ameingia jioni hii ya Leo

Sasa mchana kwa bahati mbaya nikagundua kuwa simu haina 🔑 password.

Nilipoifungua nikakutana na apps kibao za mikopo.

Sikuingia popote, nikaizima na kuiweka kwenye draw ya kwenye gari.

Nineumia sana, hii mikopo ina riba kubwa sana, nahisi anakopa kule ili alipe huku. Nimesikitika sana.

Hili taifa miaka michache ijayo itakuwa na watu fukara sana na wenye msongo sana wa mawazo kutokana na mikopo.

Shamba la mkopo, kiwanja Cha mkopo, simu ya mkopo, gari ya mkopo, yaani Kila kitu kinakopeshwa kirahisi na ujanja mwingi kwenye kufichua riba halisi.
 
Shemeji yangu amemuoa binamu yangu, na wanaishi mkoani. Kaja Dar kufuatilia issue zake kadha wa kadha.

Kwa bahati mbaya siku chache alipata ajali ya pikipiki, amevunjika mguu na Leo kaingizwa chumba cha upasuaji.

Vitu vyake vimekabidhiwa kwangu kwani matibabu yake nayasimamia Mimi, MKE wake ndio ameingia jioni hii ya Leo

Sasa mchana kwa bahati mbaya nikagundua kuwa simu haina 🔑 password.

Nilipoifungua nikakutana na apps kibao za mikopo.

Sikuingia popote, nikaizima na kuiweka kwenye draw ya kwenye gari.

Nineumia sana, hii mikopo ina riba kubwa sana, nahisi anakopa kule ili alipe huku. Nimesikitika sana.

Hili taifa miaka michache ijayo itakuwa na watu fukara sana na wenye msongo sana wa mawazo kutokana na mikopo.
Shamba la mkopo, kiwanja Cha mkopo, simu ya mkopo, gari ya mkopo, yaani Kila kitu kinakopeshwa kirahisi na ujanja mwingi kwenye kufichua riba halisi.
Kaushaa blood
 
Mkuu, naomba iyo simu usimpe mke wake. Utakua umemsaidia sana. Ishu ya mikopo ni ndogo inazungumzika.
 
WANACCESS NAMBA ZOTE SIMUYAKOOO

Ole upitilize sikuya kulipaSIMU WATU WOTEE WANAmbIWA WE TAPELI UNATAKA KUWAIBIA MTANDAON WAKUSHAURI UKALIPE DHA


NILIPOKEA MSG ZAO KAMA NNE DADA ZANGU WAMEPITA NA lAKI 5 MWINGINE 4 NAAMBIWA NDUGU MDHAMINI WA KARIBU WA BI XXXXX N TAPELI WA MTANDAON

NAWASHAURI MKIKOPA .msIWEKE NAMBA ZA MAANA KWENYE HII SIMU SIKUYASIKU HADI BB MJOMBA WA SONGEA ANAAMBIWA WE TAPELI
 
Kwanini watu wanachukulia kukopa ni kitu kibaya? Kwa nini asikope? Watu wana hela nyingi tuzichukue tuzikope. Hii kutumia cash kwa kila kitu ni kujitesa tu. Kopa utalipa taratibu.
 
Qu katunwa na kakakeee mkague huyo msg
 
Back
Top Bottom