Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana hukunielewa Mimi niliweka utani tuSoma vizuri n dadayangu mmoja moshi amewakopa so wana access ya namba zote zake kwenys simu
So ukipitiliza wanarusha msg ya utapeli namba zote ukikaa kimya wanatengeneza grp la whatsup unashangaa group la kusaidia kulipa mkopo wa yyyyy yaan nimecheka sana nawaogopaga
OK mkuuuHapana hukunielewa Mimi niliweka utani tu
Sio kwa mikopo umiza kama yet riba hadi 50%Acha ushamba,,nchi zilizoendelea wanaish Kwa mikopo like us, German, France nk
Ndio mfumo wa maisha unaokuja.
Umejuaje kama ni app za mikopo?Kasome content, sio una comment kwa kusoma kichwa cha habari
Pesa x, ustawi Loan... Majina majina ya hivyoUmejuaje kama ni app za mikopo?
Sijakagua, kwenye kuigusa ikafunguka screen. Laiti ningeikagua ningeenda kwenye message, picha na maeneo yote. Mimi niliona programs tu
Huko benki unaposema Kuna tija watu wengi wameuziwa nyumba zao na kifilisiwa sabb ya mikopo ya hzo benki...Mikopo ya mtandaoni ni kujiongezea ufukara tu ni bank tu ndio inayotoa mikopo yenye tija
Nakuombea Mungu ufungue taasisi ya mikopo uweke 3% ndio interest Kwa mwaka kama watakavyo serikali then utakuja kutupa marejesho 😄😄Sio kwa mikopo umiza kama yet riba hadi 50%
Mbona hii hatari sana.Mikopo Yao sio hii ya kihuni ambayo unaambiwa unakopa 50k, wanakupa 33k halafu unaambiwa ulipie 65k
Hata nchi zinafilisiwa ukikopa mikopo bank ukafanya matumizi ya anasa lazima ufilisiwe Asilimia 90 ya biashara hapo kariakoo zinaendeshwa na mikopo ya bank kwa mafanikio makubwaHuko benki unaposema Kuna tija watu wengi wameuziwa nyumba zao na kifilisiwa sabb ya mikopo ya hzo benki...
Faida au hasara ya mkopo inatokana na mhusika amefanyia nn huo mkopo, na sio amekopa wap!!
Bora hujaingia kwenye msg,ukiona wanawake alokua nao utalia. Halafu chonde chonde,simu yake usije kumpa mkewe.Shemeji yangu amemuoa binamu yangu, na wanaishi mkoani. Kaja Dar kufuatilia issue zake kadha wa kadha.
Kwa bahati mbaya siku chache alipata ajali ya pikipiki, amevunjika mguu na Leo kaingizwa chumba cha upasuaji.
Vitu vyake vimekabidhiwa kwangu kwani matibabu yake nayasimamia Mimi, MKE wake ndio ameingia jioni hii ya Leo
Sasa mchana kwa bahati mbaya nikagundua kuwa simu haina 🔑 password.
Nilipoifungua nikakutana na apps kibao za mikopo.
Sikuingia popote, nikaizima na kuiweka kwenye draw ya kwenye gari.
Nineumia sana, hii mikopo ina riba kubwa sana, nahisi anakopa kule ili alipe huku. Nimesikitika sana.
Hili taifa miaka michache ijayo itakuwa na watu fukara sana na wenye msongo sana wa mawazo kutokana na mikopo.
Shamba la mkopo, kiwanja Cha mkopo, simu ya mkopo, gari ya mkopo, yaani Kila kitu kinakopeshwa kirahisi na ujanja mwingi kwenye kufichua riba halisi.
Sitaki kuvunjwa ndoa za watu, Iko kwenye drawer ya gari yangu, ila Leo jioni nitampa mwenyewe maana Yuko wodini anaendelea vizuri baada ya upasuaji kwenda barahbarah kabisaBora hujaingia kwenye msg,ukiona wanawake alokua nao utalia. Halafu chonde chonde,simu yake usije kumpa mkewe.
TrueBora hujaingia kwenye msg,ukiona wanawake alokua nao utalia. Halafu chonde chonde,simu yake usije kumpa mkewe.
Lakini kwanini ulifungua simu ya shemeji yako. Je ungekutana na picha zisizo za staha za dada yako ?Shemeji yangu amemuoa binamu yangu, na wanaishi mkoani. Kaja Dar kufuatilia issue zake kadha wa kadha.
Kwa bahati mbaya siku chache alipata ajali ya pikipiki, amevunjika mguu na Leo kaingizwa chumba cha upasuaji.
Vitu vyake vimekabidhiwa kwangu kwani matibabu yake nayasimamia Mimi, MKE wake ndio ameingia jioni hii ya Leo
Sasa mchana kwa bahati mbaya nikagundua kuwa simu haina 🔑 password.
Nilipoifungua nikakutana na apps kibao za mikopo.
Sikuingia popote, nikaizima na kuiweka kwenye draw ya kwenye gari.
Nineumia sana, hii mikopo ina riba kubwa sana, nahisi anakopa kule ili alipe huku. Nimesikitika sana.
Hili taifa miaka michache ijayo itakuwa na watu fukara sana na wenye msongo sana wa mawazo kutokana na mikopo.
Shamba la mkopo, kiwanja Cha mkopo, simu ya mkopo, gari ya mkopo, yaani Kila kitu kinakopeshwa kirahisi na ujanja mwingi kwenye kufichua riba halisi.
Ningefikaje kwenye galary? Nadhani hujasoma content, ume comment kwa kusoma tu Kichwa cha habariLakini kwanini ulifungua simu ya shemeji yako. Je ungekutana na picha zisizo za staha za dada yako ?
Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa kuliko akakope kwa ndugu au jirani adhalilike si bora akope zake kwenye simu[emoji23][emoji23]