Nimesikitika sana, simu ya shemeji yangu imejaa Apps za mikopo

Nimesikitika sana, simu ya shemeji yangu imejaa Apps za mikopo

NI GAWAIDA MKUHUUU MAIJA YA JAJA YAMEGUWA MAGUHUMU ZANA
 
Soma vizuri n dadayangu mmoja moshi amewakopa so wana access ya namba zote zake kwenys simu
So ukipitiliza wanarusha msg ya utapeli namba zote ukikaa kimya wanatengeneza grp la whatsup unashangaa group la kusaidia kulipa mkopo wa yyyyy yaan nimecheka sana nawaogopaga
Hapana hukunielewa Mimi niliweka utani tu
 
Mikopo ya mtandaoni ni kujiongezea ufukara tu ni bank tu ndio inayotoa mikopo yenye tija
Huko benki unaposema Kuna tija watu wengi wameuziwa nyumba zao na kifilisiwa sabb ya mikopo ya hzo benki...

Faida au hasara ya mkopo inatokana na mhusika amefanyia nn huo mkopo, na sio amekopa wap!!
 
Huko benki unaposema Kuna tija watu wengi wameuziwa nyumba zao na kifilisiwa sabb ya mikopo ya hzo benki...

Faida au hasara ya mkopo inatokana na mhusika amefanyia nn huo mkopo, na sio amekopa wap!!
Hata nchi zinafilisiwa ukikopa mikopo bank ukafanya matumizi ya anasa lazima ufilisiwe Asilimia 90 ya biashara hapo kariakoo zinaendeshwa na mikopo ya bank kwa mafanikio makubwa
 
Shemeji yangu amemuoa binamu yangu, na wanaishi mkoani. Kaja Dar kufuatilia issue zake kadha wa kadha.

Kwa bahati mbaya siku chache alipata ajali ya pikipiki, amevunjika mguu na Leo kaingizwa chumba cha upasuaji.

Vitu vyake vimekabidhiwa kwangu kwani matibabu yake nayasimamia Mimi, MKE wake ndio ameingia jioni hii ya Leo

Sasa mchana kwa bahati mbaya nikagundua kuwa simu haina 🔑 password.

Nilipoifungua nikakutana na apps kibao za mikopo.

Sikuingia popote, nikaizima na kuiweka kwenye draw ya kwenye gari.

Nineumia sana, hii mikopo ina riba kubwa sana, nahisi anakopa kule ili alipe huku. Nimesikitika sana.

Hili taifa miaka michache ijayo itakuwa na watu fukara sana na wenye msongo sana wa mawazo kutokana na mikopo.

Shamba la mkopo, kiwanja Cha mkopo, simu ya mkopo, gari ya mkopo, yaani Kila kitu kinakopeshwa kirahisi na ujanja mwingi kwenye kufichua riba halisi.
Bora hujaingia kwenye msg,ukiona wanawake alokua nao utalia. Halafu chonde chonde,simu yake usije kumpa mkewe.
 
Bora hujaingia kwenye msg,ukiona wanawake alokua nao utalia. Halafu chonde chonde,simu yake usije kumpa mkewe.
Sitaki kuvunjwa ndoa za watu, Iko kwenye drawer ya gari yangu, ila Leo jioni nitampa mwenyewe maana Yuko wodini anaendelea vizuri baada ya upasuaji kwenda barahbarah kabisa
 
Shemeji yangu amemuoa binamu yangu, na wanaishi mkoani. Kaja Dar kufuatilia issue zake kadha wa kadha.

Kwa bahati mbaya siku chache alipata ajali ya pikipiki, amevunjika mguu na Leo kaingizwa chumba cha upasuaji.

Vitu vyake vimekabidhiwa kwangu kwani matibabu yake nayasimamia Mimi, MKE wake ndio ameingia jioni hii ya Leo

Sasa mchana kwa bahati mbaya nikagundua kuwa simu haina 🔑 password.

Nilipoifungua nikakutana na apps kibao za mikopo.

Sikuingia popote, nikaizima na kuiweka kwenye draw ya kwenye gari.

Nineumia sana, hii mikopo ina riba kubwa sana, nahisi anakopa kule ili alipe huku. Nimesikitika sana.

Hili taifa miaka michache ijayo itakuwa na watu fukara sana na wenye msongo sana wa mawazo kutokana na mikopo.

Shamba la mkopo, kiwanja Cha mkopo, simu ya mkopo, gari ya mkopo, yaani Kila kitu kinakopeshwa kirahisi na ujanja mwingi kwenye kufichua riba halisi.
Lakini kwanini ulifungua simu ya shemeji yako. Je ungekutana na picha zisizo za staha za dada yako ?
 
Lakini kwanini ulifungua simu ya shemeji yako. Je ungekutana na picha zisizo za staha za dada yako ?
Ningefikaje kwenye galary? Nadhani hujasoma content, ume comment kwa kusoma tu Kichwa cha habari
 
Ipo siku utakutana na mrunda ndo utajua kuheshimu faragha za watu simu ya shemeji we unaipekuwa ya nini ???
 
Hivi ndio hawa?
 

Attachments

  • Screenshot_20240617_062329_Messages.jpg
    Screenshot_20240617_062329_Messages.jpg
    132.8 KB · Views: 10
Back
Top Bottom