Voice of Tanzania
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 2,036
- 3,107
Kwan binamu Yako hali? Azingatiwi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mikopo hii unayoita ya kihuni ndio Start up kuelekea uko kwenye maisha ya credit cards ya wenzetu...hii mikopo ya kihuni ndio itashinikiza serikali zilete hyo mifumo ya kuish Kwa mikopo..Mikopo Yao sio hii ya kihuni ambayo unaambiwa unakopa 50k, wanakupa 33k halafu unaambiwa ulipie 65k
[emoji16]Mikopo Yao sio hii ya kihuni ambayo unaambiwa unakopa 50k, wanakupa 33k halafu unaambiwa ulipie 65k
Nimeitoa kapa kabisa!Amtonfozee sijui aisee
Mikopo ya mtandaoni ni kujiongezea ufukara tu ni bank tu ndio inayotoa mikopo yenye tijaAcha ushamba,,nchi zilizoendelea wanaish Kwa mikopo like us, German, France nk
Ndio mfumo wa maisha unaokuja.
Atakuwa alikuweka kama mdhamini wake.Kuitwa mwanaume siyo jambo jepesi kwamba utaning’iniza kende na kuongea kwa kukoroma mbele za watu useme huo ndiyo uanaume,vitu vya kushangaza na kusikitisha kama hivi ndiyo humfanya mtu aonekane mwanaume.
Leo (sijawahi kutegemea kuona) nimetumiwa msg I think na hawa jamaa wa mikopo ya mitandaoni kuna jamaa yangu namjua wakimuita tapeli kisa Tsh 68,000/= alizowakopa,ni vitu vya ajabu lakini vipo.
WANACCESS NAMBA ZOTE SIMUYAKOOO
Ole upitilize sikuya kulipaSIMU WATU WOTEE WANAmbIWA WE TAPELI UNATAKA KUWAIBIA MTANDAON WAKUSHAURI UKALIPE DHA
NILIPOKEA MSG ZAO KAMA NNE DADA ZANGU WAMEPITA NA lAKI 5 MWINGINE 4 NAAMBIWA NDUGU MDHAMINI WA KARIBU WA BI XXXXX N TAPELI WA MTANDAON
NAWASHAURI MKIKOPA .msIWEKE NAMBA ZA MAANA KWENYE HII SIMU SIKUYASIKU HADI BB MJOMBA WA SONGEA ANAAMBIWA WE TAPELI
Soma vizuri n dadayangu mmoja moshi amewakopa so wana access ya namba zote zake kwenys simuYaani unaitwa tapel nabii Pdidy