King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hiki nilichokisema humu, kimekuja kutokea kwa Mzee JR kukamatwa na kushitakiwa. Kiukweli kabisa, huyu Mzee ameshitakiwa kwa kuonewa bure, hana kosa lolote, baada ya Habinder Sing Sethi kukiri na kuachiwa huru, kinachofuatia ni Mzee JR kufutiwa kesi na kuachiwa huru bila masharti yoyote.
Wito wangu kwa Mzee JR, maadam karma imeisha washughulikia baadhi ya watesi wake, hana sababu ya kudai fidia yoyote ya kutiwa ndani kwa zaidi ya miaka 4 bila kosa lolote, hakuna kiwango chochote cha fidia kinaweza kumfidia kwenye dunia hii, hivyo aiachie karma imalizane na watesi wake wengine waliobakia.
Welcome back uraiani Mzee wetu JR.
P
Watamwachiaje wakati hakubali kuwa malipo ya ESCROW waliolipwa ni ya udanganyifu na wnatakiwa kuzirudisa ZOTE? NASHANGAA SINGADINGA AMETOZWA SIJUI BILIN 27 TU ZINGINE ZIKO WAPI? SI ALICHUKUA MGAWO A BILION ZAIDI YA 200? ZIKO WAPI NYINGINE? HIVYO SERKALI IMEKUBIALI NI ZAKE. NAONA KAMA BIL 29 NI VAT AU NI KITU GANI? NANI ANAELEWA?Kwani Ruge wamemtoa?
Watamwachiaje wakati hakubali kuwa malipo ya ESCROW waliolipwa ni ya udanganyifu na wnatakiwa kuzirudisa ZOTE? NASHANGAA SINGADINGA AMETOZWA SIJUI BILIN 27 TU ZINGINE ZIKO WAPI? SI ALICHUKUA MGAWO A BILION ZAIDI YA 200? ZIKO WAPI NYINGINE? HIVYO SERKALI IMEKUBIALI NI ZAKE. NAONA KAMA BIL 29 NI VAT AU NI KITU GANI? NANI ANAELEWA?
Next mention ya kesi, inafutwa rasmi na Ruge anaachiwa, kwasababu baada ya Kalasinga kukiri, Mzee JR has no case to answer, ila labda ni kama serikali kukwepa kushitakiwa kudaiwa fidia, wanaweza kumhukumu Ruge kwa kukutwa na hatia ya kushirikiana na Singasinga, na kuhukukiwa kifungo cha kukaa hadi mahakama imalize kikao chake cha leo, ili tuu kumzuia asiishitaki serikali mahakamani kudai fidia for wrongful detention.Kwani Ruge wamemtoa?
Karibu kwenye mfufulizo wa makala hiziWatamwachiaje wakati hakubali kuwa malipo ya ESCROW waliolipwa ni ya udanganyifu na wnatakiwa kuzirudisa ZOTE? NASHANGAA SINGADINGA AMETOZWA SIJUI BILIN 27 TU ZINGINE ZIKO WAPI? SI ALICHUKUA MGAWO A BILION ZAIDI YA 200? ZIKO WAPI NYINGINE? HIVYO SERKALI IMEKUBIALI NI ZAKE. NAONA KAMA BIL 29 NI VAT AU NI KITU GANI? NANI ANAELEWA?
kumbe sheria ni mchezo mchafu, aisee sikuwa najua.Next mention ya kesi, inafutwa rasmi na Ruge anaachiwa, kwasababu baada ya Kalasinga kukiri, Mzee JR has no case to answer, ila labda ni kama serikali kukwepa kushitakiwa kudaiwa fidia, wanaweza kumhukumu Ruge kwa kukutwa na hatia ya kushirikiana na Singasinga, na kuhukukiwa kifungo cha kukaa hadi mahakama imalize kikao chake cha leo, ili tuu kumzuia asiishitaki serikali mahakamani kudai fidia for wrongful detention.
P
watu mnasahau mapema sana kuna umuhimu wa kuipandisha ripoti nzima ya PAC hapa, yeye ni mmoja wa wakurugenzi IPTL kwa hiyo anawajibika na makosa yaliyofanywa na bodi ya wakurugenzi wa IPTL ikiwamo wizi wa kodi unanganyifu na mengine mengi. Msimdanganye kuwa hana hatia kwa aliyoyakiri singasinga.Next mention ya kesi, inafutwa rasmi na Ruge anaachiwa, kwasababu baada ya Kalasinga kukiri, Mzee JR has no case to answer, ila labda ni kama serikali kukwepa kushitakiwa kudaiwa fidia, wanaweza kumhukumu Ruge kwa kukutwa na hatia ya kushirikiana na Singasinga, na kuhukukiwa kifungo cha kukaa hadi mahakama imalize kikao chake cha leo, ili tuu kumzuia asiishitaki serikali mahakamani kudai fidia for wrongful detention.
P
Next mention ya kesi, inafutwa rasmi na Ruge anaachiwa, kwasababu baada ya Kalasinga kukiri, Mzee JR has no case to answer, ila labda ni kama serikali kukwepa kushitakiwa kudaiwa fidia, wanaweza kumhukumu Ruge kwa kukutwa na hatia ya kushirikiana na Singasinga, na kuhukukiwa kifungo cha kukaa hadi mahakama imalize kikao chake cha leo, ili tuu kumzuia asiishitaki serikali mahakamani kudai fidia for wrongful detention.
P
Alilipwa na PAP kama nani sasa,mtoa huduma au Murugenzi mwana hisa,wakati wa kuhamisha hisa za kampuni hewa piperlink kwenda IPTL walidanganya kuhusu mtaji hivyo walikwepa kodi waliibia serikali na ndio maana singasinga kaambiwa alipe Bl 30 katika hili unamtoaje RugeHiki nilichokisema humu, kimekuja kutokea kwa Mzee JR kukamatwa na kushitakiwa. Kiukweli kabisa, huyu Mzee ameshitakiwa kwa kuonewa bure, hana kosa lolote, baada ya Habinder Sing Sethi kukiri na kuachiwa huru, kinachofuatia ni Mzee JR kufutiwa kesi na kuachiwa huru bila masharti yoyote.
Wito wangu kwa Mzee JR, maadam karma imeisha washughulikia baadhi ya watesi wake, hana sababu ya kudai fidia yoyote ya kutiwa ndani kwa zaidi ya miaka 4 bila kosa lolote, hakuna kiwango chochote cha fidia kinaweza kumfidia kwenye dunia hii, hivyo aiachie karma imalizane na watesi wake wengine waliobakia.
Welcome back uraiani Mzee wetu JR.
P
Baadhi ya watesi wake walioshughulikiwa ni Kama kina Jason Paramandio Mandingo cyo nenda kwa mifano kabisa [emoji13][emoji13]Hiki nilichokisema humu, kimekuja kutokea kwa Mzee JR kukamatwa na kushitakiwa. Kiukweli kabisa, huyu Mzee ameshitakiwa kwa kuonewa bure, hana kosa lolote, baada ya Habinder Sing Sethi kukiri na kuachiwa huru, kinachofuatia ni Mzee JR kufutiwa kesi na kuachiwa huru bila masharti yoyote.
Wito wangu kwa Mzee JR, maadam karma imeisha washughulikia baadhi ya watesi wake, hana sababu ya kudai fidia yoyote ya kutiwa ndani kwa zaidi ya miaka 4 bila kosa lolote, hakuna kiwango chochote cha fidia kinaweza kumfidia kwenye dunia hii, hivyo aiachie karma imalizane na watesi wake wengine waliobakia.
Welcome back uraiani Mzee wetu JR.
P
DuhAisee Pasco ni hatari kulipwa kutetea usilolijua..........however you must be a very rich man now!
Baada ya Mzee JR kuachiwa huru bila makosa yoyote, nayadurusu baadhi ya mabandiko yangu kuhusu kadhia hii, and I was 100% right.Wanabodi,
Kwa waliosoma fasihi, kitabu cha "An Enemy of the People" by Henrik Ibsen mnaweza kuniita mimi Paskali kuwa ni "an enemy of the people!", Fedha za Escrow, Sio Fedha za Umma!, hizo Bilioni 320 zilizokuwa kwenye account ya Escrow, hazijaibiwa!, bali zimetumika kulipia umeme! kwa kumlipa mfua umeme, IPTL, hivyo sio fedha za umma!
Ukiwa mkweli sana wa type ya ukweli huu, pia lazima uwe tayari to pay the price!. Mimi ni mkweli wa kihivi, niko tayari to pay the price of expressing my opinion and I have always been paying the price kwa kuusema ukweli mchungu, hivyo na sasa nasema tena ukweli mchungu mwingine kuwa Nimesikitishwa!, Huzunishwa!, na Kufadhaishwa na Uongo wa Kamati ya PAC!-Escrow Sio Fedha za Umma!.
Kwenye issue hii ya fedha za Escrow kama ni za umma au la, the authority ni ofisi ya GAG na Ripoti ya CAG ndio wakweli, Fedha za Escrow sio fedha za umma!
Paskali
Na Karma isichague, ifanye kazi na kwa wote. Wote waliotumia taaluma na nafasi zao, kutupotosha wakati wote.Baada ya Mzee JR kuachiwa huru bila makosa yoyote, nayadurusu baadhi ya mabandiko yangu kuhusu kadhia hii, and I was 100% right.
Pia najua, itakuwa miongoni mwa masharti ya kuachiwa ni kutoishitaki serikali kudai fidia, lakini hata asiposhitaki, karma ya mateso yake, imeisha washughulikia baadhi ya watesi wake na waliobakia, karma yao inawasubiri.
Naendelea kusisitiza viongozi wetu tendeni haki.
Mzee JR, pole sana kwa mapito uliyopitia. Mungu ni mwema, shukuru kwa yote, karibu uraiani.
Paskali
Huyu aliishalipwa karma yake kwa kuwatukana Innocent recipients kuwa ni majizi!.Na Karma isichague, ifanye kazi na kwa wote. Wote waliotumia taaluma na nafasi zao, kutupotosha wakati wote.
View attachment 1943024