Mbona haumsemi huyo aliyebeba bendera ya TanzaniaHii inajidhihirisha kua wazungu wameanza ku take over nchi za afrika. Kitendo cha huyo mzungu kushika bango la uganda na waganda wakimfuata nyuma. Its pathetic
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona haumsemi huyo aliyebeba bendera ya TanzaniaHii inajidhihirisha kua wazungu wameanza ku take over nchi za afrika. Kitendo cha huyo mzungu kushika bango la uganda na waganda wakimfuata nyuma. Its pathetic
Kama zipi vile😳Mwaka huu ni controversial. Nchi nyingi zimejitoa. Zingine zimeshiriki kwa uchache sana. Mwaka huu michezo hii haijafana sana kama miaka yote.
Si hawasemi, mwanzo wanastuka na kushanga!!!!!Mbona haumsemi huyo aliyebeba bendera ya Tanzania
Mlitangaziya dunia nzima muna kila kitu,Michezo mingine hiyo haina mvuto bongo hii, ni soka tu na boxing kidogo.
Sioni ulazima wa hili jamboNchi yenye watu 55 million haiwezi hata kuwatuma wanaspoti 5? Duuh [emoji17]
View attachment 1866147
Na kisha mkitazama hiyo picha, yule anayebeba hiyo bendera si mtz. Na ndiyo maana mimi hujiuliza, Mbona wenzetu ni kama huwa mnachanganyikiwa?
Angalau uganda
View attachment 1866149
Wakenya huwa mnapenda kutuzungumzis sana[emoji23] mm nilikuwa hata sina habar ila kuna mkenya anajua hayo dah [emoji23]Mimi hata sioni athletes wa TZ kwa hio picha. Ni kama hawakuenda
Kwa Uwezo wa Akili yako Ni Sawa... Huwezi kuona Wala kutambuaKwani ni lazima?
Unaacha kusikitishwa na ukabila unaowatafuna miaka na miaka.
Unaacha kusikitishwa na police brutality mnayofanyiwa miaka na miaka.
Unaacha kusikitishwa na corruption iliyokita mizizi.
Unaacha kusikitishwa na njaa inayowatafuna miaka na miaka.
Eti unasikitishwa na Tanzania kupeleka wanamichezo wachache [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kujitetea hujambo 😂 😂Mwaka huu ni controversial. Nchi nyingi zimejitoa. Zingine zimeshiriki kwa uchache sana. Mwaka huu michezo hii haijafana sana kama miaka yote.
maumivu, ukweli umeingia hadi kwa mishipa 😂 😂 😂 😂Maliza kwanza hiki.
View attachment 1866699
Kwa kujitetea hujambo 😂 😂
Naweza kuona na kutambua.... Huwezi kuona Wala kutambua
Yaani tz huwa ni nchi ya kuchanganyikiwa kweliMimi hata sioni athletes wa TZ kwa hio picha. Ni kama hawakuenda