Uchaguzi 2020 Nimesimamia uchaguzi, nimetenda haki

Uchaguzi 2020 Nimesimamia uchaguzi, nimetenda haki

Kimsingi binafsi nilisimamia uchaguzi, jioni msimamizi ngazi ya kata akanipigia simu akauliza nipe matokeo, nikampa, akauliza mbona yako hivi nikamwambia wewe ulitakaje? Akasema mbona matokeo yako hivi nikamuuliza ulitaka ya namna gani, akasema kwani kwenye semina hukuwepo nikamwambia nilikuepo na nilielewa.

Kwa kweli yale mafundisho yaliyokuwa yanatolewa kwenye semina na mashinikizo ya wakurugenzi! Nilifika hatua nikakereka mno.

Baadae msimamizi akaniuliza na mawakala umewapa nakala ya haya matokeo, nikamwambia kila mmoja amepata, akaniambia jaza fomu za matokeo upya nikamwambia hapa nasubiri malipo tu ukiona hayafai endelea, kimsingi niliondoka tulipokuwa. Kiufupi haukuwa uchaguzi.
Je, ulitunza nakala ya unachokisema?
 
Hizo nazo zilichomwa MOTO?.
Hiyo ni porojo tu; wala sikusumbue kutafuta ushahidi kwani haupo labda ule wa kupikwa tu kama zile "kura feki" ambazo hazikuwa na namba ya mpiga kura wakakimbilia kuzichoma kuficha ushahidi..
Screenshot_20201101-101529.jpg
Screenshot_20201028-191013.jpg
Screenshot_20201029-061237.jpg
 
Kimsingi binafsi nilisimamia uchaguzi, jioni msimamizi ngazi ya kata akanipigia simu akauliza nipe matokeo, nikampa, akauliza mbona yako hivi nikamwambia wewe ulitakaje? Akasema mbona matokeo yako hivi nikamuuliza ulitaka ya namna gani, akasema kwani kwenye semina hukuwepo nikamwambia nilikuepo na nilielewa.

Kwa kweli yale mafundisho yaliyokuwa yanatolewa kwenye semina na mashinikizo ya wakurugenzi! Nilifika hatua nikakereka mno.

Baadae msimamizi akaniuliza na mawakala umewapa nakala ya haya matokeo, nikamwambia kila mmoja amepata, akaniambia jaza fomu za matokeo upya nikamwambia hapa nasubiri malipo tu ukiona hayafai endelea, kimsingi niliondoka tulipokuwa. Kiufupi haukuwa uchaguzi.
Uchaguzi Kata moja jimbo la Msalala Shinyanga kila kijiji hakuna wapiga kura waliozidi 200 kwa kila kijiji na vijiji viko sita hivyo kata nzima waliopiga kura kwa wastani ni 1200. Matokeo mpinzani kura zaidi 700 na CCM kura 11,000.

Nimepiga marufuku familia yangu kushiriki uchaguzi wowote na kushiriki ibada yoyote inayoendeshwa na askofu yeyote wa Kikatoliki. Masanduku ya kura huku vijijini yalikuwa yanasambazwa kwa gari tena hadharani mchana wakati zoezi likiendelea yakiwa yameshapigiwa kura tayari. Hii ni kwamba wapinzani waliwekeza nguvu kubwa ya kulinda kura mijini
 
Hiyo ni porojo tu; wala sikusumbue kutafuta ushahidi kwani haupo labda ule wa kupikwa tu kama zile "kura feki" ambazo hazikuwa na namba ya mpiga kura wakakimbilia kuzichoma kuficha ushahidi..
Mkuu mimi sichangii kuhusu ufeki au uhalali wa wa hizo kura, ila nakupa angalizo tu kuwa HAKUNA karatasi ya kura inayobeba utambulisho wa mpiga kura kwa namna yoyote ile, labda kama unachozungumzia sio karatasi ya kura
 
Mkuu mimi sichangii kuhusu ufeki au uhalali wa wa hizo kura, ila nakupa angalizo tu kuwa HAKUNA karatasi ya kura inayobeba utambulisho wa mpiga kura kwa namna yoyote ile, labda kama unachozungumzia sio karatasi ya kura
Mwulize jamaa huyu anayeongea hapa; huwezi kuja na kura bandia zisikamatwe

 
Usishangae ndugu yangu...unafika wakati unashindwa kuamini kwamba kweli huyu ndiye yule uliyemfahamu! Acha tu, ndivyo dunia ilivyo!
Hawa wako wengi, ndiyo watu wa Slaa hawa, na yule Mzee Mwanakijiji, hawa wakati wa Kikwete walikuwa mstari wa mbele kuongoza mijadala humu. Baada ya Magufuli kutinga kwenye U Rais wakalala mbele ati tatizo ni Lowasa. Hadi leo hawaoni haya yanayoyafanywa na huyu bwana maana suala la kuua watu hata Kikwete (Mafia Boss) hakuua hivyo.

Mie ingawa ni mkatoliki kwa dini, naamini Mwanakijiji, na wengine kama hawa walikuwa biased sana ---- kwa nini hawaoni haya? Angalia Slaa na Mwanakijiji kimyaaaaaaa ..... Hivi angekuwa Kikwete wangekaa kimya?.... Miafrika ndiyo tulivyo> Very sad
 
Hiyo ni porojo tu; wala sikusumbue kutafuta ushahidi kwani haupo labda ule wa kupikwa tu kama zile "kura feki" ambazo hazikuwa na namba ya mpiga kura wakakimbilia kuzichoma kuficha ushahidi..
We ullipiga kura kweli au porojo...karatasi ya kura uliona wapi ina namba ya mpiga kura
 
Kimsingi binafsi nilisimamia uchaguzi, jioni msimamizi ngazi ya kata akanipigia simu akauliza nipe matokeo, nikampa, akauliza mbona yako hivi nikamwambia wewe ulitakaje? Akasema mbona matokeo yako hivi nikamuuliza ulitaka ya namna gani, akasema kwani kwenye semina hukuwepo nikamwambia nilikuepo na nilielewa.

Kwa kweli yale mafundisho yaliyokuwa yanatolewa kwenye semina na mashinikizo ya wakurugenzi! Nilifika hatua nikakereka mno.

Baadae msimamizi akaniuliza na mawakala umewapa nakala ya haya matokeo, nikamwambia kila mmoja amepata, akaniambia jaza fomu za matokeo upya nikamwambia hapa nasubiri malipo tu ukiona hayafai endelea, kimsingi niliondoka tulipokuwa. Kiufupi haukuwa uchaguzi.
[emoji23][emoji23][emoji23] haya bhan mtenda haki
 
Stupid..I'd mnadhan watanzania Ni mafala eeeh...hi tungo kila mtu anaweza kuitunga Wala sio shida...maamuzi ya watanzania mnayadharau hivi mnadhani watanzania hawana akili..tafuteni kazi nyingine za kufanya huku hampawezi
Zwazwa kwenye ubora wako
 
Ila kiuhalisia mwaka huu ni sehemu chache sana alishinda amepitwa kura wewe kuwa na msimamo usigeuze kana kwamba ni Tanzania nzima wengine walishinda mbona kuna sehemu watu zaidi ya mia mbili wanampa kura za halali na unakuta wengine hata kura mia hazifiki.

punguzeni hila yaani umeitwa kusimamia wewe unamaliza na unataka uaminishe watu ulichokifanya na kuona ni kote usieneze chuki kwenye jamii.
 
We ullipiga kura kweli au porojo...karatasi ya kura uliona wapi ina namba ya mpiga kura
Kama ninapiga porojo mwulize jamaa huyu anayeongea hapa; huwezi kuja na kura bandia zisikamatwe. Wewe ni mmoja wa wapiga filimbi za kulalamika bila kjua msemalo.

 
Mwulize jamaa huyu anayeongea hapa; huwezi kuja na kura bandia zisikamatwe


Ahaa, kumbe ulimnukuu huyu? Basi wote wawili yaani wewe na yeye, mmekosea. Namba ya kitambulisho inanakiliwa kwenye shina la kitabu cha karatasi, halafu karatasi inachanwa na shina linabaki. Karatasi ya kura ikiwa na utambulisho wowote ni batili, hata kama mpiga kura ameandika jina lake
 
Ahaa, kumbe ulimnukuu huyu? Basi wote wawili yaani wewe na yeye, mmekosea. Namba ya kitambulisho inanakiliwa kwenye shina la kitabu cha karatasi, halafu karatasi inachanwa na shina linabaki. Karatasi ya kura ikiwa na utambulisho wowote ni batili, hata kama mpiga kura ameandika jina lake
Siyo kweli; unapopewa ballot paper inanyofolewa kwenye kile kitabu ikiwa ina namba yake na kile kishina chake kianchobaki pia kina namba hiyo hiyo. Namba ya mpiga kura inaandikwa kwenye kishina kile. Kama kuna kura haramu italinganishwa na zile zilizo kwenye vishina.
 
Kama ninapiga porojo mwulize jamaa huyu anayeongea hapa; huwezi kuja na kura bandia zisikamatwe. Wewe ni mmoja wa wapiga filimbi za kulalamika bila kjua msemalo.


We ni mpuuzi ndo mana nimekuuliza umepiga kura au poyoyo umeleta video ya baba watoto wako


Karatasi ya kura haina namba full stop
 
We ni mpuuzi ndo mana nimekuuliza umepiga kura au poyoyo umeleta video ya baba watoto wako


Karatasi ya kura haina namba full stop
Ina namba; wewe hukupiga kura kwa hiyo hujui hili! Wasiokuwa na akili kama wewe huwa ni wepesi sana wa kutumuia lugha za matusi.. Nyingyi ndio mlimadanganya Lissu kuwa ana wafuasi mtandani lakini kumbe hamkupiga kura.
 
Kama unadhani mimi mpuuzi, basi mwulize jamaa huyu anayeongea hapa. Kuna watu wa aina yako ambao hufuata mkumbo kutoka kwa akina Lissu bila hata kutafuta ukweli wenyewe. Sasa elewa kuwa ukweli ndio huo; huwezi kuja na kura bandia zisikamatwe


Pathetic, wewe umeonyeshwa kura zote na polisi walikuwa wanawalinda wenye kura fake wasidhuliwe, wewe unajito ufahamu. Unamwambia huyu jamaa awe na impartial, la, wewe ndiyo upo biased. Unaona nyeupe unasema nyeusi, nyeusi nyeupe.

Lissu alisema siku moja kabla ya ballot box kula jumla zipo 15million, za magufuli zipo 12million, zake 3million. Sasa jumlisha kura zote za wapinzani utaona kuwa Lisu alisema 100 correct.
 
Pathetic, wewe umeonyeshwa kura zote na polisi walikuwa wanawalinda wenye kura fake wasidhuliwe, wewe unajito ufahamu. Unamwambia huyu jamaa awe na impartial, la, wewe ndiyo upo biased. Unaona nyeupe unasema nyeusi, nyeusi nyeupe. Lisu alisema siku moja kabla ya ballot box kula jumla zipo 15million, za magufuli zipo 12million, zake 3million. Sasa jumlisha kura zote za wapinzani utaona kuwa Lisu alisema 100 correct.
Pathetic-tft;

Wewe unakuja na maneno ya muota ndoto kama ushahidi hapa? Alizitoa wapi namba hizo? Mtu alyezowea kuropoka wewe unamwona ni nabii anayejua mambo kabla hayajatimia?
 
Nashukuru kwa sababu sikusimamia hilo zoezi. Maana nisingefanya ujinga wowote bora niache hiyo fwedha.
 
Kimsingi binafsi nilisimamia uchaguzi, jioni msimamizi ngazi ya kata akanipigia simu akauliza nipe matokeo, nikampa, akauliza mbona yako hivi nikamwambia wewe ulitakaje? Akasema mbona matokeo yako hivi nikamuuliza ulitaka ya namna gani, akasema kwani kwenye semina hukuwepo nikamwambia nilikuepo na nilielewa.

Kwa kweli yale mafundisho yaliyokuwa yanatolewa kwenye semina na mashinikizo ya wakurugenzi! Nilifika hatua nikakereka mno.

Baadae msimamizi akaniuliza na mawakala umewapa nakala ya haya matokeo, nikamwambia kila mmoja amepata, akaniambia jaza fomu za matokeo upya nikamwambia hapa nasubiri malipo tu ukiona hayafai endelea, kimsingi niliondoka tulipokuwa. Kiufupi haukuwa uchaguzi.
Hongeza Mkuu kwa kusimamia HAKI, kuna ndugu yangu Moja yeye alizidiwa na matisho na maelekezo ya semina akatimiza matakwa ya Mkurugenzi sasa nafsi yake inauma.....nimemwacha tu kwanza ila sijui hata wanapaswa kufanyiwa nini?
 
Back
Top Bottom