Zionist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2017
- 1,866
- 2,996
Watu wa jf mnaweza kumuua mtu kwa mawe ya maneno tu...!!Huo muda unautumia gym si bora ungeenda kubeba box upate hela ili uhame kwa shemeji yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa jf mnaweza kumuua mtu kwa mawe ya maneno tu...!!Huo muda unautumia gym si bora ungeenda kubeba box upate hela ili uhame kwa shemeji yako
Tafuta hela mdogo wangu!
Raha ya kitambi ni kufutia simu tu!
Google haiwezi kukushibisha bwashee!
Unautani mbaya sana ww [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Aende tu kwa Mwamposa huyu!
Unautani mbaya sana ww [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wooiiiiMsosi gani? Unamaanisha kiporo cha kande iliyochacha?
Unajua Salmon weweee? Unajua Brocoli wewee? Unayajua matunda ya peaches sewee? Unajua spanish eggs wewe?
Mzuka wanajamvi!
Yani tunaenda gym kila siku mara tano kwa wiki. Kujiweka fit kuwavutia akina dada. Lakini mibongo mengine imeshabughia na kushindilia viporo vya kande iliyochacha na kuvimbiwa mitumbo wanaanza kutuita wenye mwili wa mazoezi eti mashoga.
Hii chisel shape body yangu na six packs sitaki tena. Sasa hivi nasaka kitambi kwa udi na uvumba.
Wabongo tuna roho mbaya utakuta hata kwenye magari eti kuna magari flani ni ya wanawake mwanaume akiiendesha unachekwa.
Cc secret file
Ndo hapoKama hauhusiki na ushoga unawasiwasi gani mzee
mashoga tasnia ya kubeba vyuma ni kubwa mnoMzuka wanajamvi!
Yani tunaenda gym kila siku mara tano kwa wiki. Kujiweka fit kuwavutia akina dada. Lakini mibongo mengine imeshabughia na kushindilia viporo vya kande iliyochacha na kuvimbiwa mitumbo wanaanza kutuita wenye mwili wa mazoezi eti mashoga.
Hii chisel shape body yangu na six packs sitaki tena. Sasa hivi nasaka kitambi kwa udi na uvumba.
Wabongo tuna roho mbaya utakuta hata kwenye magari eti kuna magari flani ni ya wanawake mwanaume akiiendesha unachekwa.
Cc secret file
Kumbe unapiga gym kuvutia mabinti??,duh una taabu sana.Watoto wa watu wanataka cash siyo kifua chako,kifua peleka huko kubebea magunia.Mzuka wanajamvi!
Yani tunaenda gym kila siku mara tano kwa wiki. Kujiweka fit kuwavutia akina dada. Lakini mibongo mengine imeshabughia na kushindilia viporo vya kande iliyochacha na kuvimbiwa mitumbo wanaanza kutuita wenye mwili wa mazoezi eti mashoga.
Hii chisel shape body yangu na six packs sitaki tena. Sasa hivi nasaka kitambi kwa udi na uvumba.
Wabongo tuna roho mbaya utakuta hata kwenye magari eti kuna magari flani ni ya wanawake mwanaume akiiendesha unachekwa.
Cc secret file
sasa hizo hela mnawapa wanakuja kutupa sisi. Angalia jaky alivyokuwa anamfanyia mengiKumbe unapiga gym kuvutia mabinti??,duh una taabu sana.Watoto wa watu wanataka cash siyo kifua chako,kifua peleka huko kubebea magunia.
Sasa mbona jamaa(Mtoa Uzi),analalamika kuwa Six pack haijamsaidia kupata watoto wazuri?.Maisha ya kukalili kuwa wasichana wote wanapenda wanaume wenye vifua yanawapotosha sana vijana wengi.Tafuteni pesa sio vifua,kuna wasichana hawahitaji vifua,wao wanataka pesa na huduma bora kitandani.sasa hizo hela mnawapa wanakuja kutupa sisi. Angalia jaky alivyokuwa anamfanyia mengi
Hilo la ushoga na wajaa vifua sio mjadala tena...kulikuwa na mlinzi mmoja pale mjini posta alikuwa anashikishwa wall alikuwa akilinda ukumbi maarufu wa disco.Mzuka wanajamvi!
Yani tunaenda gym kila siku mara tano kwa wiki. Kujiweka fit kuwavutia akina dada. Lakini mibongo mengine imeshabughia na kushindilia viporo vya kande iliyochacha na kuvimbiwa mitumbo wanaanza kutuita wenye mwili wa mazoezi eti mashoga.
Hii chisel shape body yangu na six packs sitaki tena. Sasa hivi nasaka kitambi kwa udi na uvumba.
Wabongo tuna roho mbaya utakuta hata kwenye magari eti kuna magari flani ni ya wanawake mwanaume akiiendesha unachekwa.
Cc secret file