Nimestaajabishwa na kufungwa kwa restaurants za Chief Asili & Mwambao Jijini Dodoma

Nimestaajabishwa na kufungwa kwa restaurants za Chief Asili & Mwambao Jijini Dodoma

Econometrician

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2013
Posts
16,879
Reaction score
31,253
Leo nimeenda kupata chakula hapa Dodoma katika Restaurant ya Chief Asili nimeshangaa kuambiwa imefungwa, nikasogea mbele pale Mwambao nayo imefungwa.

Kuulizia nikaambiwa wamiliki ni Muslims-kwa kweli Mimi nimestaajabishwa sana, nikajiuliza ina maana kwenye Nchi za kiarabu napo Restaurants zao zinafungwa mwezi wa Ramadhani.
 
Leo nimenda kupata chakula hapa Dodoma katika Restaurant ya Chief Asili nimeshangaa kuambiwa imefungwa,nikasogea mbele pale Mwambao nayo imefungwa.

Kuulizia nikaambiwa wamiliki ni Muslims-kwa kweli Mimi nimesitajabishwa sana,nikajiuliza ina maana kwenye Nchi za kiarabu napo Restaurants zao zinafungwa.
Dini
 
Hahaha na mimi nimepita saiv naona chef asili na mwambao wamefunga tukaribue futari tu
 
Nadhani sio kufunga direct isipokua wanabadili ratiba kama shishifood anaanza kuuza jioni muda wa futari hadi usiku.
Hawako seriouse na biashara hawa..wana shindwa kuacha mgahawa uendeshwe na asie funga
 
Kuna rafiki yangu mmoja anafanya kazi pale, zaidi ya asilimia 85 ya wahudumu na wapishi pale ni Waislamu.

Huenda mmiliki ameamua kuheshimu imani zao, maana kumfanya Mpishi akupikie chakula bila kuonja chumvi sio sahihi na wao wako kwenye mfungo
 
Kuna rafiki yangu mmoja anafanya kazi pale, zaidi ya asilimia 85 ya wahudumu na wapishi pale ni Waislamu.

Huenda mmiliki ameamua kuheshimu imani zao, maana kumfanya Mpishi akupikie chakula bila kuonja chumvi sio sahihi na wao wako kwenye mfungo
Labda shida imeanzia hapo kuwa na wafanyakazi wengi waislamu,ambapo napo sio jambo zuri ni kama ubaguzi
 
Hawako seriouse na biashara hawa..wana shindwa kuacha mgahawa uendeshwe na asie funga
Mbona sisi jumamosi hatufanyi kazi yoyote ikiwemo hata biashara hamtusemi?
Na wengine hawafanyi biashara zao jumapili mko kimya?
Mimi naona heri hao wanafunga kwa muda si kwa siku nzima
 
Hiyo ni kawaida ,hata Azam huwezi kupata Ice Cream kabla ya saa 12 jioni hata maji hawakuuzii
Nadhani ni utaratibu mzuri waliojiwekea
Labda,ndio maana nikauulize huko katika Nchi za Waisalma pure napo ni hivyo hivyo.

Yani huko SAUDIA,Turkey,Misri,Algeria ,Tunisia,Afghanistan, Pakistan,Iran,Iraq,Kuwait Leo hii kote Restaurant zimefungwa?
 
Back
Top Bottom