Nimestaajabu sana huu utani wa mashemeji

Nimestaajabu sana huu utani wa mashemeji

Maisha ni vile unayachukulia na kuyapangilia uishije.

Ukitaka kijeshijeshi basi kwata itakuhusu kwenye maisha yako.

Ukitaka kipemba pemba basi urojo utakuhusu kwenye maisha yako.

Sio kesi, kutoa gesi ukiwa peke yako raha sana, nayo ni uchaguzi wa maisha.
Safi ,,"mtazamo tu " There is nothing like good or bad except the mindset that creates so
 
Back
Top Bottom