Nimestuka sana leo nilivyoambiwa nimelipiwa bili ,mpaka sasa natahamaki

Nimestuka sana leo nilivyoambiwa nimelipiwa bili ,mpaka sasa natahamaki

Leo nilibahatika kutembelea moja ya mgahawa mjini kupata chochote kitu baada ya mihangaiko ya hapa na pale.kwenye mgahawa ule niliagiza chakula ambacho nilikuwa nakihitaji "menu ilikuwa ya nguvu".

Nilifanikiwa kumaliza msosi wangu. Vizuri nikaenda zangu kuosha mikono na kuelekea counter kwenda kulipia bili nionfoke zangu cha kushangaza wakati natoa pesa yule manager kaniambia umeshalipiwa kanirudishia pesa zangu nikastuka sababu nilikuja mwenyewe kwenye mgahawa ule na pia ndani ya mgahawa ule sikumuona mtu ninaye mfahamu.Ikabidi nimkazie jamaa nimelipiwa na nani wakati nipo pekee yangu akawa anakataa kupokea hela akisema huwa hawapokei bill mara mbili hivyo niende zangu nimeshalipiwa.Kumuuliza vizuri akasema jamaa mmoja hivi kavaa kapelo na miwani ndiye kanilipia ikabidi niondoke zangu nikiwa na hali ya mshangao

Kutoka nje nafungua simu niingie whatsap nakuta bundle hakuna palikuwepo na kiduka nje ya mgahawa ule nikaenda kuagizia vocha ya voda cha kushangaza yule muuza duka akakataa kupokea hela yangu akidai kuna mtu kanilipia aise nilikuwa mbogo lakini alisema bro kuna mtu kashalipa tayar nikamtupia vocha yake na kusepa zangu

Wadau leo nimekuwa nikijiuliza maswali mengi ni nani huyu anayelipia watu ? Ana nia gani ? Na kwann


Ile hoteli siendi tena na tayari wameshampoteza mteja

Mpaka sasa sielewi kwa mantiki ipi from nowhere uambiwe imelipiwa bili
Kajitazame ktk kioo je una tacko la kike??
 
Angalia vizuri na huku umeshakuwa Platnum member..
 
Ungeenda atm au kwa wauza magari uone kitatokea nini.
hahahah! kesho aingie show room moja anajifanya kama anataka kununua gari. mtu wa kapero na miwani anaweza kumlipia
 
we ni mwanaume au mwanamke?? kama mwanaume kuna mawili...

Demu kakupenda anakutega

Kuna linjemba linakuvizia either kwa mabaya (Mungu pitisha mbali) au mazuri !
 
Mmmmmmmmh hatari hiyooo...ila kwa hali ya sasa ningeshukuru mungu tu
 
Umejaza msosi na mr kapelo kakujaza Bill.. Usihofu ni promotion ya tiGo hio
 
Kumbe ni jukwaa la chit chat....no wonder!
 
Leo nilibahatika kutembelea moja ya mgahawa mjini kupata chochote kitu baada ya mihangaiko ya hapa na pale.kwenye mgahawa ule niliagiza chakula ambacho nilikuwa nakihitaji "menu ilikuwa ya nguvu".

Nilifanikiwa kumaliza msosi wangu. Vizuri nikaenda zangu kuosha mikono na kuelekea counter kwenda kulipia bili nionfoke zangu cha kushangaza wakati natoa pesa yule manager kaniambia umeshalipiwa kanirudishia pesa zangu nikastuka sababu nilikuja mwenyewe kwenye mgahawa ule na pia ndani ya mgahawa ule sikumuona mtu ninaye mfahamu.Ikabidi nimkazie jamaa nimelipiwa na nani wakati nipo pekee yangu akawa anakataa kupokea hela akisema huwa hawapokei bill mara mbili hivyo niende zangu nimeshalipiwa.Kumuuliza vizuri akasema jamaa mmoja hivi kavaa kapelo na miwani ndiye kanilipia ikabidi niondoke zangu nikiwa na hali ya mshangao

Kutoka nje nafungua simu niingie whatsap nakuta bundle hakuna palikuwepo na kiduka nje ya mgahawa ule nikaenda kuagizia vocha ya voda cha kushangaza yule muuza duka akakataa kupokea hela yangu akidai kuna mtu kanilipia aise nilikuwa mbogo lakini alisema bro kuna mtu kashalipa tayar nikamtupia vocha yake na kusepa zangu

Wadau leo nimekuwa nikijiuliza maswali mengi ni nani huyu anayelipia watu ? Ana nia gani ? Na kwann


Ile hoteli siendi tena na tayari wameshampoteza mteja

Mpaka sasa sielewi kwa mantiki ipi from nowhere uambiwe imelipiwa bili
Unapotunga hadithi uwe unajiongeza kuangalia nani watasoma bandiko lako,mfano huyo mlipaji wako alijuaje utakwenda kununua vocha duka hilo na sio duka jingine?
 
Back
Top Bottom