Nimestushwa na Kauli ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Je ni kufilisika ki Maono kwa CCM?

Nimestushwa na Kauli ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Je ni kufilisika ki Maono kwa CCM?

Serikali inawawezeshaje kunufaika na sekta hio?
katika kilimo,
mazingira ni mazuri mno kwasababu ukilinganisha na wakati mwingine wote. Mathalani, upatikanaji wa pembejeo kama vile mbegu, mbolea, madawa na vifaa vya kilimo kama vile matrekta na power trilers ni rahisi sana na wa uhakika,

Mwaka uliopita October 2024, iliendeshwa program ya mafunzo kwa vijana kuhusu kilimo kidigitali, na vijana wake kwa waume zaidi ya laki5 walinufaika na matokeo yake yanaonekana kwenye ongezeko la uzalishaji wa mazao ya kilimo.

Mwezi uliopita February mwaka huu2025, serikali ilitangaza kutoa ufadhili wa 100% kwa vijana zaidi ya elfu3 kujiunga na vyuo vya mballimbali vya VETA, nchini vilivyoainishwa kwenye tangazo la ufadhili. Haya yote yanafanyika ili kuwawezesha vijana kujikwamua katika unyonge wa kiuchumi walionao.

Utakumbuka mwaka jana2024, pia Waziri wa Kilimo alianzisha program ya kilimo iliwawaweka vijana zaidi ya elfu1 kambini na kuwapatia mafunzo ya kilimo cha kisasa, na bilashaka matokeo ya program hiyo tutayaona kipindi cha mavuno mwaka huu, kwasabb vijana hao wapo kazini shambani mpaka sasa 🐒
 
Kwa mujibu wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), mitaala ya Elimu inayotolewa katika vyuo vikuu nchini ni Competence Based inayohakikisha mhitimu ana knowledge, skills na competencies katika eneo analosomea. Sasa inakuaje mtu ahitimu chuo kikuu na asiwe na skills mpaka aende VETA ?
Hapo naona TCU ndio wazushi mitaala yetu ni shida sana vijana wanaotoka vyuoni ni vilaza kabisa
 
Kauli ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuhusu vijana wenye degree kwenda Veta ikiwa ni sehemu ya kukabiliana na changamoto ya Ajira ni kauli ya kukosa maono na ni red sign kuwa CCM ni MUFILISI......

Ni kitu cha ajabu sana kumsikia kiongozi wa Serikali kuwaambia vijana mjiajiri wakati yeye carear path yake yote imeanzia kwenye kuajiriwa from his age of 27 to the age of 60 or so....na wengine hadi kwenye miaka 80 wanapambana na ajira........ what a shame!

Nilitegemea top management ya nchi mkae chini na muje na evidence based decision on how to handle the matter na sio kutanua goli.

Kama kujiajiri ni rahisi mbona nyie mpo kwenye ajira kwenye 80 ?

Kwa mfano, huku majuu ajira sio big issue....haina maana kuwa watu ni SMART, ni serikali imeweka mazingira rafiki...,Nesi, Daktari , maabara na Famasia waliomaliza degree yao wanaweza kuandaa proposal yao na Serikali ikatoa 300M na watu wakafungua Hospital with minimum interest .

Engineers, Architect and all that, wanafungua kampuni they get gvt loan fund with minimal interest ... hizo kampuni za construction ndio hao wanajenga barabara, buildings na gvt inawapa tenders..... hao watu pia wanaajiri na wengine .... that is why majuu kuajiriwa na gvt sio kitu muhimu.

Kampuni ya Straberg iliyojenga zile mwendokasi za mwanzo ilianzishwa na degree holder 2 waliopata gvt loan. Hizi ndio Strategies viongozi mkae chini mje na solutions , vijana sio wajinga.....ni nyie hamna weledi na maono ya nini cha kufanya…..resources mnazouza zinamnufaisha MTZ?

Barabara za TZ unakutana na wachina, nyie mmeshindwa kuandaa vijana wenu kufanya hizo kazi ?

Kujenga barabara nazo we need Mchina...Karine ya 21 . what a shame ?hivyo vyuo vinakazi gani ?

Mchina anauza maji hadi KKO, yaani mtu katoka chini kuja kuuza maji TZ halafu mnajiita viongozi

mtu kasomeshwa na bodi ya mikopo kamaliza shule halafu unamwambia kajiajiri..... are we mad ? At the same token mtu wa 80 yupo kwa ajira ! Experience my foot ..... nini ambacho anakifanya kijana wa 35 hawezi kukifanya....?

Acheni hizo mambo na kulewa madaraka ....lets be real ....kujiajiri kuna hitaji START UP, nyie kama viongozi kaeni chini mje na mikakati ya kuwasaidia vijana na sio kuwaambia waende Veta , huo ni UCHAWI maana hata Veta Itajaa.

Kuna vile vimikopo vya 3M 🤣TAMISEMI.....huwa hata inawafikia walengwa... ? si wanakula kina Mchengerwa na kuongeza wake.....

Dr Megalodon Mushi, PhD candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Huu ni ukweli mtupu.👏
 
God teach us to number our days

Mungu atupe hekima ya kuzihesabu siku zetu na kila tukishiba tuwakumbuke na wenye jamaa na kubwa zaidi atupatie uzee wa heshima .

"Kauli Kama hizi zinafikirisha Sana "
 
God teach us to number our days

Mungu atupe hekima ya kuzihesabu siku zetu na kila tukishiba tuwakumbuke na wenye jamaa na kubwa zaidi atupatie uzee wa heshima .

"Kauli Kama hizi zinafikirisha Sana "
EAT MORE
By Joe Corrie

Eat more fruit!, the slogan say
More fish, more beef, more bread
But I’m on an employment pay
My third year now and wed
And so I wonder when I’ll see
The slogan when I pass
The only one that would suit me
Eat more bloody grass!

Ukifanya analysis ya huu ushairi ndipo unagundua mambo mengi na moja kwa moja kuhusu kauli ya PM wahitimu wa degree waende veta.

*Classes
*Unemployment
*Poverty
*Protest

E.t.c

Bado Kama taifa tuna safari ngumu na ndefu sanaa
 
Nimekuuliza specific, Daktari wa Meno (DDS) au Medicine (MD) au Nurse wanakwenda veta kupata ujuzi gani?

Mtu aliyemaliza Kilimo SUA, au Mass communication anakwenda veta kupata ujuzi gani?
Muongezee na hii,mtu kamaliza civil engineering,electrical engineering or mechanical engineering akirudi Veta anaanza upya kozi hizihizi alizograduate au.Au kauli yake inawalenga ambao wanadegree zisizo za ufundi?.
 
Njooni mtaani Tuwafundishe ufundi seremala sisi tusiojua kutofautisha R na L maana wasomi wetu ndicho munacho kijua.
 
nadhani hizo ni hulka na tabia za wavivu tu kuchukizwa na kughadhabishwa, hasa baada ya kuelezwa ukweli mtupu tena wenye manufaa binafsi ambayo ni wazi yanaweza kuwaondoa graduates wengi katika unyonge wa kiuchumi walionao,
na kuondokana na uzururaji usio koma wa kusaka ajira mijini ambazo pia ni chache ukilinganisha na wingi wao.

Ni wazi,
watakaozingatia mawaidha hayo mujarabu sana ya waziri mkuu, watanufaika kibinafsi na familia zao huku wavivu na washupaza shingo kama PhD holder wa mchongo na mtoa hoja wakikodoa macho na kushangaa graduates walioenda veta wakitusua maisha.

Tz kua maskini au tajiri ni uamuzi binafsi wa mtu [emoji205]
Watoto wenu ninyi mbona hawaendi VETA wanajazana kwenye siasa tu.

Jamaa katoa madini mujarabu sana, serikali ya CCM haijatengeneza mazingira ya hao vijana kujiajiri au kwenda VETA.
 
Watoto wenu ninyi mbona hawaendi VETA wanajazana kwenye siasa tu.

Jamaa katoa madini mujarabu sana, serikali ya CCM haijatengeneza mazingira ya hao vijana kujiajiri au kwenda VETA.
pamoja na madigrii nilioyonayo,
lakini pia nimepitia VETA kupata ujuzi wa kuendesha gari kwa umaskini, lakini pia mimi ni fundi welding mzuri mno, ujuzi ambao unanisaidia sana kutapeliwa na wajanja katika eneo hilo.

Hata hivyo,
serikali katika mwaka huu 2025 imetoa ufadhili wa wa 100% kwa vijana zaidi ya elfu3 waliotayari kujiunga na vyuo vya mballimbali vya VETA nchini vilivyoainishwa kwenye tangazo la ufadhili,

kwenye kilimo na ufugaji,
vijana zaidi ya elfu1 walikusanywa kambini kufundishwa kilimo na ufugaji wa kisasa, matokeo ya program hizo tunategemea kuyaona kipindi cha mavuno kwani vijana hao kwasasa wapo mashambani mwao.

October mwaka jana pia,
vijana zaidi ya laki5 walinufaika na mafunzo ya kilimo kidigitali na matokeo ya program hizo zote tunategemea kuoziona msimu wa mavuno,

mawaidha ya waziri mkuu ni muhimu sana yakachukuliwa kwa umuhimu mkubwa sana na vijana wa kiTanzania 🐒
 
Back
Top Bottom