Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inaitwa ''personal initiative'' na ni jambo jema sanaWakati nipo chuoni nilitumia laptop yangu na bundle la bure kujifunza online namna ya kutengeneza graphics.
Kwasababu ya ''personal initiative' na si kwamba ulikwenda VETABaadae nikajifinza digital marketing. Nilianza kutengeneza pesa nikiwa mwaka wa pili, chuoni kunikuta na laki 5 mfukoni ilikuwa jambo la kawaida.
Sijui kama unajua kwamba Interview ni kitu ''subjective'. Kuna vitu vingi vina influence mtu kuchaguliwa.Na nikiwa mwaka wa 3 ilitangazwa kazi na kampuni moja nikaomba wakaniita interview japo sikuwa na experience nikajieleza nikawaonesha kazi zangu jamaa wakanichukua nikiwa bado mwanafunzi nikawa nasoma huku nafanya kazi. Kwenye interview nilikutana na watu wameshamaliza chuo wapo mtaani wanasaka ajira na wamesomea marketing wengine communication ila nikachukuliwa mimi. Kwa sababu dunia ipo kwenye ujuzi haipo tena kwenye vyeti.
Yes, nakubaliana na wewe ndio maana nasema kuna kitu knaitwa ''personal initiative'' kwa maana kwamba unaweza kuongeza maarifa juu ya msingi wa maarifa uliyo nayoVeta ni traditional lakini kuna online platform kibao za kujifunza ujuzi.
Ni kweli ! si kazi ya serikali kuajiri lakini ni kazi ya serikali kutengeneza mazingira yanayozalisha ajira.Tuwaambie vijana ukweli serikali haiwezi kuajiri wala kutoa mikopo kwa graduates laki 8. Waende veta wakaapte ujuzi.
Ujuzi ulioupata online ulikuwezesha kupata pesa ungali upo chuoni, ikawa hukosi laki 5 mfukoni. Bado ukaona ulazima wa kuajiriwa!Wakati nipo chuoni nilitumia laptop yangu na bundle la bure kujifunza online namna ya kutengeneza graphics. Baadae nikajifinza digital marketing. Nilianza kutengeneza pesa nikiwa mwaka wa pili, chuoni kunikuta na laki 5 mfukoni ilikuwa jambo la kawaida. Na nikiwa mwaka wa 3 ilitangazwa kazi na kampuni moja nikaomba wakaniita interview japo sikuwa na experience nikajieleza nikawaonesha kazi zangu jamaa wakanichukua nikiwa bado mwanafunzi nikawa nasoma huku nafanya kazi. Kwenye interview nilikutana na watu wameshamaliza chuo wapo mtaani wanasaka ajira na wamesomea marketing wengine communication ila nikachukuliwa mimi. Kwa sababu dunia ipo kwenye ujuzi haipo tena kwenye vyeti.
Veta ni traditional lakini kuna online platform kibao za kujifunza ujuzi.
Tuwaambie vijana ukweli serikali haiwezi kuajiri wala kutoa mikopo kwa graduates laki 8. Waende veta wakaapte ujuzi.
Huwa namlinganisha PM wetu na PM wa kanchi kadogo ka Barbados, Mia Amor Mottley, nashangaa tulivyojiwekea viwango vya chini vya weledi wa viongozi wetu. Tusishangae kusikia watu wakimpigia debe chalaboy au kondaboy kuchukua usukani 2030. Kwa nchi yetu hata kidoti anaweza kuwa prezooWee acha tu! maana inachekesha sana. Mbaya zaidi kauli ya PM ina wapiga debe! hawaoni wala kusikia
Kwamba, Nurse yupo VETA anajifunza kumwaga Oil
Journalist yupo VETA anajifunza kufungua rejeta za magari
Vertenary Officer na BVM yake kutoka SUA yupo VETA anapata ujuzi wa kushika grinder!
Mtaalamu wa Geology kutoka UDSM anapata ujuzi wa kufunga AC za Magari pale VETA
CPA naye yupo VETA anapata ujuzi wa kulisha ng'ombe kwa mashudu
Dah!
🔫🔫🔫


👮♂️🚨🚓🚔Aliposema VETA sio lazima uwe fundi magali, unaweza kuwa nurse au MD doctor ukaenda kusoma VETA kushona, au kupaka rangi, wiring n.k.Wanataka nesi nae aende kujifunza Rejeta inavofanya kazi, kumwaga injini oil
Aisee
Kauli ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuhusu vijana wenye degree kwenda Veta ikiwa ni sehemu ya kukabiliana na changamoto ya Ajira ni kauli ya kukosa maono na ni red sign kuwa CCM ni MUFILISI......
Ni kitu cha ajabu sana kumsikia kiongozi wa Serikali kuwaambia vijana mjiajiri wakati yeye carear path yake yote imeanzia kwenye kuajiriwa from his age of 27 to the age of 60 or so....na wengine hadi kwenye miaka 80 wanapambana na ajira........ what a shame!
Nilitegemea top management ya nchi mkae chini na muje na evidence based decision on how to handle the matter na sio kutanua goli.
Kama kujiajiri ni rahisi mbona nyie mpo kwenye ajira kwenye 80 ?
Kwa mfano, huku majuu ajira sio big issue....haina maana kuwa watu ni SMART, ni serikali imeweka mazingira rafiki...,Nesi, Daktari , maabara na Famasia waliomaliza degree yao wanaweza kuandaa proposal yao na Serikali ikatoa 300M na watu wakafungua Hospital with minimum interest .
Engineers, Architect and all that, wanafungua kampuni they get gvt loan fund with minimal interest ... hizo kampuni za construction ndio hao wanajenga barabara, buildings na gvt inawapa tenders..... hao watu pia wanaajiri na wengine .... that is why majuu kuajiriwa na gvt sio kitu muhimu.
Kampuni ya Straberg iliyojenga zile mwendokasi za mwanzo ilianzishwa na degree holder 2 waliopata gvt loan. Hizi ndio Strategies viongozi mkae chini mje na solutions , vijana sio wajinga.....ni nyie hamna weledi na maono ya nini cha kufanya…..resources mnazouza zinamnufaisha MTZ?
Barabara za TZ unakutana na wachina, nyie mmeshindwa kuandaa vijana wenu kufanya hizo kazi ?
Kujenga barabara nazo we need Mchina...Karine ya 21 . what a shame ?hivyo vyuo vinakazi gani ?
Mchina anauza maji hadi KKO, yaani mtu katoka chini kuja kuuza maji TZ halafu mnajiita viongozi
mtu kasomeshwa na bodi ya mikopo kamaliza shule halafu unamwambia kajiajiri..... are we mad ? At the same token mtu wa 80 yupo kwa ajira ! Experience my foot ..... nini ambacho anakifanya kijana wa 35 hawezi kukifanya....?
Acheni hizo mambo na kulewa madaraka ....lets be real ....kujiajiri kuna hitaji START UP, nyie kama viongozi kaeni chini mje na mikakati ya kuwasaidia vijana na sio kuwaambia waende Veta , huo ni UCHAWI maana hata Veta Itajaa.
Kuna vile vimikopo vya 3M 🤣TAMISEMI.....huwa hata inawafikia walengwa... ? si wanakula kina Mchengerwa na kuongeza wake.....
Dr Megalodon Mushi, PhD candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Huyu mjinga mropokaji
PM yuko sahihi, UVCCM akina Mwashambwa waachane na UCHAWA wakasome VETA sasa ili kujipatia kipato halaliKauli ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuhusu vijana wenye degree kwenda Veta ikiwa ni sehemu ya kukabiliana na changamoto ya Ajira ni kauli ya kukosa maono na ni red sign kuwa CCM ni MUFILISI......
Ni kitu cha ajabu sana kumsikia kiongozi wa Serikali kuwaambia vijana mjiajiri wakati yeye carear path yake yote imeanzia kwenye kuajiriwa from his age of 27 to the age of 60 or so....na wengine hadi kwenye miaka 80 wanapambana na ajira........ what a shame!
Nilitegemea top management ya nchi mkae chini na muje na evidence based decision on how to handle the matter na sio kutanua goli.
Kama kujiajiri ni rahisi mbona nyie mpo kwenye ajira kwenye 80 ?
Kwa mfano, huku majuu ajira sio big issue....haina maana kuwa watu ni SMART, ni serikali imeweka mazingira rafiki...,Nesi, Daktari , maabara na Famasia waliomaliza degree yao wanaweza kuandaa proposal yao na Serikali ikatoa 300M na watu wakafungua Hospital with minimum interest .
Engineers, Architect and all that, wanafungua kampuni they get gvt loan fund with minimal interest ... hizo kampuni za construction ndio hao wanajenga barabara, buildings na gvt inawapa tenders..... hao watu pia wanaajiri na wengine .... that is why majuu kuajiriwa na gvt sio kitu muhimu.
Kampuni ya Straberg iliyojenga zile mwendokasi za mwanzo ilianzishwa na degree holder 2 waliopata gvt loan. Hizi ndio Strategies viongozi mkae chini mje na solutions , vijana sio wajinga.....ni nyie hamna weledi na maono ya nini cha kufanya…..resources mnazouza zinamnufaisha MTZ?
Barabara za TZ unakutana na wachina, nyie mmeshindwa kuandaa vijana wenu kufanya hizo kazi ?
Kujenga barabara nazo we need Mchina...Karine ya 21 . what a shame ?hivyo vyuo vinakazi gani ?
Mchina anauza maji hadi KKO, yaani mtu katoka chini kuja kuuza maji TZ halafu mnajiita viongozi
mtu kasomeshwa na bodi ya mikopo kamaliza shule halafu unamwambia kajiajiri..... are we mad ? At the same token mtu wa 80 yupo kwa ajira ! Experience my foot ..... nini ambacho anakifanya kijana wa 35 hawezi kukifanya....?
Acheni hizo mambo na kulewa madaraka ....lets be real ....kujiajiri kuna hitaji START UP, nyie kama viongozi kaeni chini mje na mikakati ya kuwasaidia vijana na sio kuwaambia waende Veta , huo ni UCHAWI maana hata Veta Itajaa.
Kuna vile vimikopo vya 3M 🤣TAMISEMI.....huwa hata inawafikia walengwa... ? si wanakula kina Mchengerwa na kuongeza wake.....
Dr Megalodon Mushi, PhD candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Kwa mujibu wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), mitaala ya Elimu inayotolewa katika vyuo vikuu nchini ni Competence Based inayohakikisha mhitimu ana knowledge, skills na competencies katika eneo analosomea. Sasa inakuaje mtu ahitimu chuo kikuu na asiwe na skills mpaka aende VETA ?Kama haya ni mawazo ya PhD candidate basi taifa lina kazi kubwa sana ya kutoka hapa tulipo.
Majaliwa yupo sahihi sana vijana kama wewe mnaongeza makaratasi mnayaita vyeti mnataka yatumike kuwaletea pesa nendeni veta au tafuteni namna ya kuwa na skills ulimwengu huu haulipwi sababu ya hayo makaratasi yako utalipwa kwa ujuzi ulionao. Achana na hiyo PhD nenda veta kwanza.
Mchina anakuja kufungua biashara ya kuosha kucha wewe mpuuzi unakusanya makaratasi unataka serikali ikutafutie ajira
Kama kweli unaishi Canada utakuwa unawaona kwawingi self employed plumbers,electricians,joiners,builders na fani zinginezo,handy jobs nisehemu Nyengine dunia inakoelekea,Nambie kwa maono yako kwadunia yaleo ilivyo na masoftware uhasibu sijui procurement unaajiri Watu wengi kuliko hizo trades based skills?Naomana watoto wengi wanakufa njaa sababu mtu kashasoma lidigrii lake Hana ujuzi mwengine ispokuwa hapo Tu,Badala yakubeza na kuwafanya kuwa lazy wahamasishe watafute ujuzi mbadala waendeshe maisha,we huoni mtu akiwa na degree yeyote Ile plus akawa na ujuzi inakuwa nirahisi kwake kujiendesha na hata kuwa na kampuni kubwa Tu?Kauli ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuhusu vijana wenye degree kwenda Veta ikiwa ni sehemu ya kukabiliana na changamoto ya Ajira ni kauli ya kukosa maono na ni red sign kuwa CCM ni MUFILISI......
Ni kitu cha ajabu sana kumsikia kiongozi wa Serikali kuwaambia vijana mjiajiri wakati yeye carear path yake yote imeanzia kwenye kuajiriwa from his age of 27 to the age of 60 or so....na wengine hadi kwenye miaka 80 wanapambana na ajira........ what a shame!
Nilitegemea top management ya nchi mkae chini na muje na evidence based decision on how to handle the matter na sio kutanua goli.
Kama kujiajiri ni rahisi mbona nyie mpo kwenye ajira kwenye 80 ?
Kwa mfano, huku majuu ajira sio big issue....haina maana kuwa watu ni SMART, ni serikali imeweka mazingira rafiki...,Nesi, Daktari , maabara na Famasia waliomaliza degree yao wanaweza kuandaa proposal yao na Serikali ikatoa 300M na watu wakafungua Hospital with minimum interest .
Engineers, Architect and all that, wanafungua kampuni they get gvt loan fund with minimal interest ... hizo kampuni za construction ndio hao wanajenga barabara, buildings na gvt inawapa tenders..... hao watu pia wanaajiri na wengine .... that is why majuu kuajiriwa na gvt sio kitu muhimu.
Kampuni ya Straberg iliyojenga zile mwendokasi za mwanzo ilianzishwa na degree holder 2 waliopata gvt loan. Hizi ndio Strategies viongozi mkae chini mje na solutions , vijana sio wajinga.....ni nyie hamna weledi na maono ya nini cha kufanya…..resources mnazouza zinamnufaisha MTZ?
Barabara za TZ unakutana na wachina, nyie mmeshindwa kuandaa vijana wenu kufanya hizo kazi ?
Kujenga barabara nazo we need Mchina...Karine ya 21 . what a shame ?hivyo vyuo vinakazi gani ?
Mchina anauza maji hadi KKO, yaani mtu katoka chini kuja kuuza maji TZ halafu mnajiita viongozi
mtu kasomeshwa na bodi ya mikopo kamaliza shule halafu unamwambia kajiajiri..... are we mad ? At the same token mtu wa 80 yupo kwa ajira ! Experience my foot ..... nini ambacho anakifanya kijana wa 35 hawezi kukifanya....?
Acheni hizo mambo na kulewa madaraka ....lets be real ....kujiajiri kuna hitaji START UP, nyie kama viongozi kaeni chini mje na mikakati ya kuwasaidia vijana na sio kuwaambia waende Veta , huo ni UCHAWI maana hata Veta Itajaa.
Kuna vile vimikopo vya 3M 🤣TAMISEMI.....huwa hata inawafikia walengwa... ? si wanakula kina Mchengerwa na kuongeza wake.....
Dr Megalodon Mushi, PhD candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Mnajiropokea tuKama kweli unaishi Canada utakuwa unawaona kwawingi self employed plumbers,electricians,joiners,builders na fani zinginezo,handy jobs nisehemu Nyengine dunia inakoelekea,Nambie kwa maono yako kwadunia yaleo ilivyo na masoftware uhasibu sijui procurement unaajiri Watu wengi kuliko hizo trades based skills?Naomana watoto wengi wanakufa njaa sababu mtu kashasoma lidigrii lake Hana ujuzi mwengine ispokuwa hapo Tu,Badala yakubeza na kuwafanya kuwa lazy wahamasishe watafute ujuzi mbadala waendeshe maisha,we huoni mtu akiwa na degree yeyote Ile plus akawa na ujuzi inakuwa nirahisi kwake kujiendesha na hata kuwa na kampuni kubwa Tu?
Kauli ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuhusu vijana wenye degree kwenda Veta ikiwa ni sehemu ya kukabiliana na changamoto ya Ajira ni kauli ya kukosa maono na ni red sign kuwa CCM ni MUFILISI......
Ni kitu cha ajabu sana kumsikia kiongozi wa Serikali kuwaambia vijana mjiajiri wakati yeye carear path yake yote imeanzia kwenye kuajiriwa from his age of 27 to the age of 60 or so....na wengine hadi kwenye miaka 80 wanapambana na ajira........ what a shame!
Nilitegemea top management ya nchi mkae chini na muje na evidence based decision on how to handle the matter na sio kutanua goli.
Kama kujiajiri ni rahisi mbona nyie mpo kwenye ajira kwenye 80 ?
Kwa mfano, huku majuu ajira sio big issue....haina maana kuwa watu ni SMART, ni serikali imeweka mazingira rafiki...,Nesi, Daktari , maabara na Famasia waliomaliza degree yao wanaweza kuandaa proposal yao na Serikali ikatoa 300M na watu wakafungua Hospital with minimum interest .
Engineers, Architect and all that, wanafungua kampuni they get gvt loan fund with minimal interest ... hizo kampuni za construction ndio hao wanajenga barabara, buildings na gvt inawapa tenders..... hao watu pia wanaajiri na wengine .... that is why majuu kuajiriwa na gvt sio kitu muhimu.
Kampuni ya Straberg iliyojenga zile mwendokasi za mwanzo ilianzishwa na degree holder 2 waliopata gvt loan. Hizi ndio Strategies viongozi mkae chini mje na solutions , vijana sio wajinga.....ni nyie hamna weledi na maono ya nini cha kufanya…..resources mnazouza zinamnufaisha MTZ?
Barabara za TZ unakutana na wachina, nyie mmeshindwa kuandaa vijana wenu kufanya hizo kazi ?
Kujenga barabara nazo we need Mchina...Karine ya 21 . what a shame ?hivyo vyuo vinakazi gani ?
Mchina anauza maji hadi KKO, yaani mtu katoka chini kuja kuuza maji TZ halafu mnajiita viongozi
mtu kasomeshwa na bodi ya mikopo kamaliza shule halafu unamwambia kajiajiri..... are we mad ? At the same token mtu wa 80 yupo kwa ajira ! Experience my foot ..... nini ambacho anakifanya kijana wa 35 hawezi kukifanya....?
Acheni hizo mambo na kulewa madaraka ....lets be real ....kujiajiri kuna hitaji START UP, nyie kama viongozi kaeni chini mje na mikakati ya kuwasaidia vijana na sio kuwaambia waende Veta , huo ni UCHAWI maana hata Veta Itajaa.
Kuna vile vimikopo vya 3M 🤣TAMISEMI.....huwa hata inawafikia walengwa... ? si wanakula kina Mchengerwa na kuongeza wake.....
Dr Megalodon Mushi, PhD candidate
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Mkuu hawa vijana "wakakamavu" wakikosa ajira ni hatari sana kwa taifa😄wanatoka wakiwa na ujuzi wa awali wa "UKAKAMAVU" (elewa neno UKAKAMAVU) Na kutunukiwa vyeti vya ukakamavu🔫🔫🔫
👮♂️🚨🚓🚔
Serikali inawawezeshaje kunufaika na sekta hio?kwanza kuzingati na kutekeleza kwa vitendo mawaidha aliyoyatoa waziri mkuu dhidi ya graduates wasaka ajira mtaani kupata ujuzi veta na kujiari,
Lakini pili,
graduates waje seketa ya kilimo na ufugaji biashara ambayo ina ajira za uhakika na kutosheleza waTanzania wote.
Kuhusu utajiri kwenye sekta hizi, ni wa wazi na wa uhakika zaidi tena bila uchawi wala ushirikiana.
Hakuna haja kwa vijana kupoteza muda kwa kuzurura na kuchakaza viatu mijini na bahasha za kaki hali ya kua ajira nyingi za uhakika zipo shambani 🐒
🗑Wakati nipo chuoni nilitumia laptop yangu na bundle la bure kujifunza online namna ya kutengeneza graphics. Baadae nikajifinza digital marketing. Nilianza kutengeneza pesa nikiwa mwaka wa pili, chuoni kunikuta na laki 5 mfukoni ilikuwa jambo la kawaida. Na nikiwa mwaka wa 3 ilitangazwa kazi na kampuni moja nikaomba wakaniita interview japo sikuwa na experience nikajieleza nikawaonesha kazi zangu jamaa wakanichukua nikiwa bado mwanafunzi nikawa nasoma huku nafanya kazi. Kwenye interview nilikutana na watu wameshamaliza chuo wapo mtaani wanasaka ajira na wamesomea marketing wengine communication ila nikachukuliwa mimi. Kwa sababu dunia ipo kwenye ujuzi haipo tena kwenye vyeti.
Veta ni traditional lakini kuna online platform kibao za kujifunza ujuzi.
Tuwaambie vijana ukweli serikali haiwezi kuajiri wala kutoa mikopo kwa graduates laki 8. Waende veta wakaapte ujuzi.
Hana jibu hakuna inachoweza kuwawezesha akili yao ilipoishia vijana wote wasio na ajira wawe bodaboda hao waa kiume na vijana wa kike waende wakajiuze, hapo ndio akili zao zilipoishiaSerikali inawawezeshaje kunufaika na sekta hio?