Nimestushwa na Kauli ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Je ni kufilisika ki Maono kwa CCM?

Nimestushwa na Kauli ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Je ni kufilisika ki Maono kwa CCM?

Naona mmemuamulia waziri mkuu

Lakini vip wale waliosema vijana mkalime na kujiajiri bila kuzingatia mitaji na fani husika.😀😀 Mfan umesomea HR ukajiajiri au uingie shamba kupanga n kuchagua
Ukajiajiri ki HR🤣
 
Umejiajiri au upo kwenye ajira ?
sifahamu kua kiongozi wa wananchi ni ajira au utumishi gentleman, maana nimejaa tele eneo hilo, lakini pia kwenye kilimo na ufugaji biashara ndio haswa sebuleni na chumbani pangu 🐒
 
sifahamu kua kiongozi wa wananchi ni ajira au utumishi gentleman, maana nimejaa tele eneo hilo, lakini pia kwenye kilimo na ufugaji biashara ndio haswa sebuleni na chumbani pangu 🐒
Kama ww ni kiongozi wa wananchi basi umeajiriwa. Then huewezi kuelewa kunachojqdiliwa
 
You had a Start up
Not bad .
Kwanini ulipomaliza tu shule ukaajiriwa badala ya kujiajiri?
Niliajiriwa kwa sababu nilikuwa nna ujuzi. Mimi niliajiriwa tangu nipo chuoni wakati huo kuna watu mtaani graduates waliachwa.
Majaliwa ana point kwa sababu hupewi ajira kwa kuwa una vyeti nenda veta kapate ujuzi.
 
Kama ww ni kiongozi wa wananchi basi umeajiriwa. Then huewezi kuelewa kunachojqdiliwa
Gentleman,
kwamba kuzurura kiholela mjini kwa graduates wasaka ajira wasio na ujuzi na wasio ajirika ni suala linalohitaji PhD kulitambua right?🐒
 
Kauli ya PM ni yake binafsi kama Majaliwa sio kauli rasmi ya serikali. Mimi pia siungi mkono kauli yake.
Alikuwa katika hafla kama mgeni rasmi (Waziri Mkuu). Huwezi kutenga kauli zake binafsi akiwa katika shughuli za serikali. Ni kauli ya Serikali na ya Chama kwasababu ana kofia mbili zinazompa hadhi ya Uwaziri Mkuu.
 
Gentleman,
kwamba kuzurura kiholela mjini kwa graduates wasaka ajira wasio na ujuzi na wasio ajirika ni suala linalohitaji PhD kulitambua right?🐒
Sawa. Tusaidie vijana tuwawekee mazingira ya kujiajiri Senior
 
Ujuzi utaomuwezesha kupata ajira. Nikihitaji graphic designer natafuta form four leaver mwenye uwezo wa kutumia adobe photoshop/Illustrator, sihitaji mavyeti yako ya udsm.
Nimekuuliza specific, Daktari wa Meno (DDS) au Medicine (MD) au Nurse wanakwenda veta kupata ujuzi gani?

Mtu aliyemaliza Kilimo SUA, au Mass communication anakwenda veta kupata ujuzi gani?
 
Nimekuuliza specific, Daktari wa Meno (DDS) au Medicine (MD) au Nurse wanakwenda veta kupata ujuzi gani?

Mtu aliyemaliza Kilimo SUA, au Mass communication anakwenda veta kupata ujuzi gani?
Wa sua wakalime wawezeshwe na serikali
Daktari atabaki kuwa daktari

Ova
 
Sawa. Tusaidie vijana tuwawekee mazingira ya kujiajiri Senior
kwanza kuzingati na kutekeleza kwa vitendo mawaidha aliyoyatoa waziri mkuu dhidi ya graduates wasaka ajira mtaani kupata ujuzi veta na kujiari,

Lakini pili,
graduates waje seketa ya kilimo na ufugaji biashara ambayo ina ajira za uhakika na kutosheleza waTanzania wote.

Kuhusu utajiri kwenye sekta hizi, ni wa wazi na wa uhakika zaidi tena bila uchawi wala ushirikiana.

Hakuna haja kwa vijana kupoteza muda kwa kuzurura na kuchakaza viatu mijini na bahasha za kaki hali ya kua ajira nyingi za uhakika zipo shambani 🐒
 
What a joke

MDs kibao kwa sasa wanazurura mitaani
Watu hawaoni hoja yako, wamekariri VETA.! Sasa kama Veta i mworabaini kuna sababu gani ya kuwa na Vyuo vya Kati na Vyuo vikuu? Yaani Engineer aende VETA kufundishwa na Fundi Mchundo!

Kazi ya Engineer si kuchomea (welding) au kufungua bolts and nuts, kazi ya Engineer ni nyingi ikiwemo ku design na kusimamia. Halafu hawataki kujibu hoja ya kwamba kwanini graduate wa SUA asipewe mkopo wa Trekta eti aende Veta! kuna ujuzi gani wa Kilimo VETA ambao SUA haupo!

Sina uhakika kama Waziri Mkuu alishauriwa vema kabla hajasema. VETA ilianzishwa kwasababu ya kupata Watalaam wa kada ya kati na ambao hawakuweza kupata nafasi za kuendelea na masomo.

Wahitimu wa ''University' wakifurika VETA, huyu wa Form 4 au 6 hatapata nafasi tena kwasababu wa Chuo kikuu atakuwa bora huko VETA! Je hapo watakuwa wame solve tatizo la ajira?




JokaKuu
 
Back
Top Bottom