Nimetabasamu kuona Manura na Inonga wamerejea ila ushauri wangu VIONGOZI na MAKOCHA msiupuuze.....

Nimetabasamu kuona Manura na Inonga wamerejea ila ushauri wangu VIONGOZI na MAKOCHA msiupuuze.....

CAPO DELGADO

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2020
Posts
8,542
Reaction score
18,340
WAKATI mashabiki wa Simba baadhi wakiwa hawana imani na kipa Ayoub Lakred kutokana na kuruhusu mabao katika mechi mbili za kimataifa, tabasamu limeanza kuonekana baada ya Aishi Manula kuanza mazoezi ya uwanjani.

Manula ambaye ni kipa namba moja wa Simba, amerejea kwenye uwanja cha mazoezi mara baada ya kuwa nje muda mrefu akiuguza majeraha ya mguu.

Manula ameanza rasmi mazoezi na magolikipa wenzake ndani ya klabu hiyo tofauti na awali alipokuwa akifanya binafsi kwa takribani wiki tatu.

Kwa mujibu wa duru za habari kutoka kwenye uongozi wa Simba, zinasema kuwa Manula kwa sasa yupo tayari kwa ajili ya kukaa kwenye milingoti mitatu ya Simba.

HUKU HARI YA MANURA IKIWA HIVYO INONGA NAYE KAREJEA KWA KISHINDO.

Kuhusu Hali ya Beki wa Simba Henoc Inonga,
kutoka DR Congo Henock Inonga Baka, anatarajia kurejea dimbani mapema zaidi ya ilivyodhaniwa, kufuatia jeraha lake kuendelea vizuri.

Daktari wa klabu hiyo, Edwin Kagaboamesema kuwa kuwa beki huyo maendeleo ya Afya yake ni mazuri Amekwisha Anza Mazoezi mepesi na wiki ILIYOPITA alianza Mazoezi na wenzake.

Daktari aliniambia Kilikuwa kidonda chenye sentimeta 10 kwa nne, Urefu na upana, matibabu yake ni kwamba alishonwa nyuzi 13, lakini kila kitu kwenye matibabu kilikwenda vizuri,”

USHAURI WANGU KIUFUNDI JUU YA INONGA NA MANURA KUELEKEA MCHEZO WA UFUNGUZI WA AFRICAN SUPER LEAGUE.
 
Siamini kwamba lakreb ni mbovu.. nilitamani nimuone zaidi, yule abeli ndio kabisa hapewi nafasi.

Hakuna kipa ambae hajawahi kufungwa goli la hovyo, hata manula alishafungwa mengi tu,
Kilichotokea kafanya kosa kipindi bado mapema, lau kama angekuwa kaishafanya mazuri ingeonekana ni bahati mbaya.

Mfano, chama akikosea kwenye game tutaona bahati mbaya au game imemkataa(hayuko vizuri siku hiyo) ila wengine kina onana tutawaona hawajui, sasa inabidi mchezaji apewe nafasi zaidi.
Kama kipa lakreb alivyokosea na kumuweka benchi huenda wakamuharibu kisaikolojia, ilibidi aoneshe kuaminiwa mpaka uwezo wake halisi ujitokeze.
 
Siamini kwamba lakreb ni mbovu.. nilitamani nimuone zaidi, yule abeli ndio kabisa hapewi nafasi.

Hakuna kipa ambae hajawahi kufungwa goli la hovyo, hata manula alishafungwa mengi tu,
Kilichotokea kafanya kosa kipindi bado mapema, lau kama angekuwa kaishafanya mazuri ingeonekana ni bahati mbaya.

Mfano, chama akikosea kwenye game tutaona bahati mbaya au game imemkataa(hayuko vizuri siku hiyo) ila wengine kina onana tutawaona hawajui, sasa inabidi mchezaji apewe nafasi zaidi.
Kama kipa lakreb alivyokosea na kumuweka benchi huenda wakamuharibu kisaikolojia, ilibidi aoneshe kuaminiwa mpaka uwezo wake halisi ujitokeze.
Ally Salim kafungwa magoli mengi ya hovyo kuanzia morroco, Namungo, Azam na goli tulilofungwa juzi.
Wampe nafasi Abel na sio kumsugulisha bench.
 
Siamini kwamba lakreb ni mbovu.. nilitamani nimuone zaidi, yule abeli ndio kabisa hapewi nafasi.

Hakuna kipa ambae hajawahi kufungwa goli la hovyo, hata manula alishafungwa mengi tu,
Kilichotokea kafanya kosa kipindi bado mapema, lau kama angekuwa kaishafanya mazuri ingeonekana ni bahati mbaya.

Mfano, chama akikosea kwenye game tutaona bahati mbaya au game imemkataa(hayuko vizuri siku hiyo) ila wengine kina onana tutawaona hawajui, sasa inabidi mchezaji apewe nafasi zaidi.
Kama kipa lakreb alivyokosea na kumuweka benchi huenda wakamuharibu kisaikolojia, ilibidi aoneshe kuaminiwa mpaka uwezo wake halisi ujitokeze.

AYOUB hakuna Golikipa pale mkuu.

Alisajiliwa Simba kwa UHUNI WA WACHACHE wapige Hela.

Simba iliacha magolikipa wazuri mno.

John Noble. Golikipa No 3 WA Nigeria.
Lott omosola KIPA WA Cameroon

Ilikuwa Lazima atafutiwe mzungu au Mwarabu....
Ili UHUNI ufanyike.
 
Ally Salim kafungwa magoli mengi ya hovyo kuanzia morroco, Namungo, Azam na goli tulilofungwa juzi.
Wampe nafasi Abel na sio kumsugulisha bench.

Ni kweli mkuu.

Nafasi ya Golikipa si ya MAJARIBIO.

Mnapokuwa na Golikipa Bora mnakuwa na 60% za ushindi.

Ally SALUM AENDE Mti wa huko akajifunze zaidi.
 
AYOUB hakuna Golikipa pale mkuu.

Alisajiliwa Simba kwa UHUNI WA WACHACHE wapige Hela.

Simba iliacha magolikipa wazuri mno.

John Noble. Golikipa No 3 WA Nigeria.
Lott omosola KIPA WA Cameroon

Ilikuwa Lazima atafutiwe mzungu au Mwarabu....
Ili UHUNI ufanyike.
Na hata kwa makocha uhuni huo huo uliofanyika. Kuna makocha wazuri tu hapa Africa waliitaka Simba, na mashabiki tukajua this time around viongozi wetu wataachana na huu upuuzi wa kupendelea ngozi nyeusi walete kocha mkali Mwafrika, anayelijua soka la Africa. Mara ghaflaaaa... Robertinho huyu hapa! Manina zao. 😡
 
Na hata kwa makocha uhuni huo huo uliofanyika. Kuna makocha wazuri tu hapa Africa waliitaka Simba, na mashabiki tukajua this time around viongozi wetu wataachana na huu upuuzi wa kupendelea ngozi nyeusi walete kocha mkali Mwafrika, anayelijua soka la Africa. Mara ghaflaaaa... Robertinho huyu hapa! Manina zao. 😡
Hahahah 🤣🤣🤣
 
Na hata kwa makocha uhuni huo huo uliofanyika. Kuna makocha wazuri tu hapa Africa waliitaka Simba, na mashabiki tukajua this time around viongozi wetu wataachana na huu upuuzi wa kupendelea ngozi nyeusi walete kocha mkali Mwafrika, anayelijua soka la Africa. Mara ghaflaaaa... Robertinho huyu hapa! Manina zao. 😡
Robertinho ana shida gani? Au sifa ya kocha mzuri ni kupoteza mechi?
 
WAKATI mashabiki wa Simba baadhi wakiwa hawana imani na kipa Ayoub Lakred kutokana na kuruhusu mabao katika mechi mbili za kimataifa, tabasamu limeanza kuonekana baada ya Aishi Manula kuanza mazoezi ya uwanjani.

Manula ambaye ni kipa namba moja wa Simba, amerejea kwenye uwanja cha mazoezi mara baada ya kuwa nje muda mrefu akiuguza majeraha ya mguu.

Manula ameanza rasmi mazoezi na magolikipa wenzake ndani ya klabu hiyo tofauti na awali alipokuwa akifanya binafsi kwa takribani wiki tatu.

Kwa mujibu wa duru za habari kutoka kwenye uongozi wa Simba, zinasema kuwa Manula kwa sasa yupo tayari kwa ajili ya kukaa kwenye milingoti mitatu ya Simba.

HUKU HARI YA MANURA IKIWA HIVYO INONGA NAYE KAREJEA KWA KISHINDO.

Kuhusu Hali ya Beki wa Simba Henoc Inonga,
kutoka DR Congo Henock Inonga Baka, anatarajia kurejea dimbani mapema zaidi ya ilivyodhaniwa, kufuatia jeraha lake kuendelea vizuri.

Daktari wa klabu hiyo, Edwin Kagaboamesema kuwa kuwa beki huyo maendeleo ya Afya yake ni mazuri Amekwisha Anza Mazoezi mepesi na wiki ILIYOPITA alianza Mazoezi na wenzake.

Daktari aliniambia Kilikuwa kidonda chenye sentimeta 10 kwa nne, Urefu na upana, matibabu yake ni kwamba alishonwa nyuzi 13, lakini kila kitu kwenye matibabu kilikwenda vizuri,”

USHAURI WANGU KIUFUNDI JUU YA INONGA NA MANURA KUELEKEA MCHEZO WA UFUNGUZI WA AFRICAN SUPER LEAGUE.
Mi ndo sijui kusoma au nini? Maana sijaona huo ushauri wako!
 
WAKATI mashabiki wa Simba baadhi wakiwa hawana imani na kipa Ayoub Lakred kutokana na kuruhusu mabao katika mechi mbili za kimataifa, tabasamu limeanza kuonekana baada ya Aishi Manula kuanza mazoezi ya uwanjani.

Manula ambaye ni kipa namba moja wa Simba, amerejea kwenye uwanja cha mazoezi mara baada ya kuwa nje muda mrefu akiuguza majeraha ya mguu.

Manula ameanza rasmi mazoezi na magolikipa wenzake ndani ya klabu hiyo tofauti na awali alipokuwa akifanya binafsi kwa takribani wiki tatu.

Kwa mujibu wa duru za habari kutoka kwenye uongozi wa Simba, zinasema kuwa Manula kwa sasa yupo tayari kwa ajili ya kukaa kwenye milingoti mitatu ya Simba.

HUKU HARI YA MANURA IKIWA HIVYO INONGA NAYE KAREJEA KWA KISHINDO.

Kuhusu Hali ya Beki wa Simba Henoc Inonga,
kutoka DR Congo Henock Inonga Baka, anatarajia kurejea dimbani mapema zaidi ya ilivyodhaniwa, kufuatia jeraha lake kuendelea vizuri.

Daktari wa klabu hiyo, Edwin Kagaboamesema kuwa kuwa beki huyo maendeleo ya Afya yake ni mazuri Amekwisha Anza Mazoezi mepesi na wiki ILIYOPITA alianza Mazoezi na wenzake.

Daktari aliniambia Kilikuwa kidonda chenye sentimeta 10 kwa nne, Urefu na upana, matibabu yake ni kwamba alishonwa nyuzi 13, lakini kila kitu kwenye matibabu kilikwenda vizuri,”

USHAURI WANGU KIUFUNDI JUU YA INONGA NA MANURA KUELEKEA MCHEZO WA UFUNGUZI WA AFRICAN SUPER LEAGUE.
Manura ndio nini mkuu?
 
Na hata kwa makocha uhuni huo huo uliofanyika. Kuna makocha wazuri tu hapa Africa waliitaka Simba, na mashabiki tukajua this time around viongozi wetu wataachana na huu upuuzi wa kupendelea ngozi nyeusi walete kocha mkali Mwafrika, anayelijua soka la Africa. Mara ghaflaaaa... Robertinho huyu hapa! Manina zao. 😡

Kosa letu mashabiki ni Hatuna ela na hatutoi ela yoyote kwenye timu ila Sisi ni watu wa kutaka wachezaji wazuri Tu it's like wananunuliwa kama bia

Hapo ulipo no wonder hata kulipia app ya club Tu unaona hasara

But unamataka kipa wa Nigeria

Viongozi wacha wafanye wanachoweza Tu hakuna jinsi
 
Hii
Kosa letu mashabiki ni Hatuna ela na hatutoi ela yoyote kwenye timu ila Sisi ni watu wa kutaka wachezaji wazuri Tu it's like wananunuliwa kama bia

Hapo ulipo no wonder hata kulipia app ya club Tu unaona hasara

But unamataka kipa wa Nigeria

Viongozi wacha wafanye wanachoweza Tu hakuna jinsi
Simba app ambayo haina lolote? Nimeidownload ila haina kitu sana sana naona mauza uza tu.
 
Siamini kwamba lakreb ni mbovu.. nilitamani nimuone zaidi, yule abeli ndio kabisa hapewi nafasi.

Hakuna kipa ambae hajawahi kufungwa goli la hovyo, hata manula alishafungwa mengi tu,
Kilichotokea kafanya kosa kipindi bado mapema, lau kama angekuwa kaishafanya mazuri ingeonekana ni bahati mbaya.

Mfano, chama akikosea kwenye game tutaona bahati mbaya au game imemkataa(hayuko vizuri siku hiyo) ila wengine kina onana tutawaona hawajui, sasa inabidi mchezaji apewe nafasi zaidi.
Kama kipa lakreb alivyokosea na kumuweka benchi huenda wakamuharibu kisaikolojia, ilibidi aoneshe kuaminiwa mpaka uwezo wake halisi ujitokeze.
Shida makipa 4 wote wa nini? Kutafutiana lawama tuu na kushushana viwango kwa watoto wa watu...
 
Back
Top Bottom