Nimetafakari kuhusu matokeo Ya Mitihani, je kuna jambo lolote Serikali ya ccm imeshafanya vizuri kwa ufasaha zaidi ya kuiba kura kwa ufasaha?

Nimetafakari kuhusu matokeo Ya Mitihani, je kuna jambo lolote Serikali ya ccm imeshafanya vizuri kwa ufasaha zaidi ya kuiba kura kwa ufasaha?

Rasterman

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2015
Posts
33,894
Reaction score
44,117
Sio kwenye elimu tu, huko kwenye afya na kilimo mambo ni fyongo tu.

Tuje sasa kwenye uchaguzi, mwaka 2019 walishinda vijiji vyote kwa 100% na mwaka 2020 walishinda ngazi zote za uchaguzi kwa asilia 90-100%

Kama nguvu ile ya kuiba uchaguzi ingetumika kwenye Kilimo kusinge kuwa na njaa wala mfumuko wa bei.

Watoto wetu wangekula vizuri na kushiba.

Asikudanganye mtu usitarajie mtoto kufaulu masomo huku nyumbani Chakula anakula kwa manati.
Ndio maana Boarding na international schools quality of meals and food ni top priority.

Hata katika maisha ya kawaida hakuna kitu utafanya ukafanikiwa kama akili ina njaa , inawaza itapata chakula saa ngapi na lini.

Ni muda sasa CCM itoke madarakani.
 
Sio kwenye elimu tu, huko kwenye afya na kilimo mambo ni fyongo tu.

Tuje sasa kwenye uchaguzi, mwaka 2019 walishinda vijiji vyote kwa 100% na mwaka 2020 walishinda ngazi zote za uchaguzi kwa asilia 90-100%

Kama nguvu ile ya kuiba uchaguzi ingetumika kwenye Kilimo kusinge kuwa na njaa wala mfumuko wa bei.

Watoto wetu wangekula vizuri na kushiba.

Asikudanganye mtu usitarajie mtoto kufaulu masomo huku nyumbani Chakula anakula kwa manati.
Ndio maana Boarding na international schools quality of meals and food ni top priority.

Hata katika maisha ya kawaida hakuna kitu utafanya ukafanikiwa kama akili ina njaa , inawaza itapata chakula saa ngapi na lini.

Ni muda sasa CCM itoke madarakani.
Penye maslahi binafsi wana organize instruments zote na wanafanikiwa. Ila kwa mambo ya Taifa sasa......
 
Acha wanafunzi waendele kukata mauno

Ova
 
Back
Top Bottom