Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Hili tuwaachie wa mikoa mingine, kasema dar nzima hakuna. Vp wa huko AR, mz, nk.Ziko nyingi tu na za kila aina hapo Mohan's na kwa Mawela kama ana pajua. Pia Mlimani City shopping center anaweza pata red wines nzuri tu
Jina lake hili hapa mkuu, ukiiona sehemu nistue 'BentWing Coonawara Cabernet Sauvignon'Hiyo wine haina jina mkuu?
Utasumbuka sanaNani ana access na mahali ninapo weza kuipata?
I am thinking of flying to Dizonga in case kama nitaendelea kuikosa.
With much thanks in advance
Vitu vingi kodi kubwa mkuu ndio maana kupata hivyo unaona kama sio huduma...kuvileta pana vipengere vya kutosha ukiwa mgeni unaweza kuona kama unatapeliwa kumbe ni malipo harali ya Serikali...Dar kuna tabu moja.. kuna vitu vilipaswa patikana hapa kwa wepesi sana.. Ila sasa sijui tabu Nini ... Kma huna pesa ya gharama ... Utaishia mikononi mwa local +++ hutaamini
. Kila kitu hapa kimcwekwa kma ufahari na si huduma[emoji3][emoji3] dalili za ;- ushamba..ulimbukeni... Ufahari... Hata huwa sielewi ... Yaan wine moaka uombe msaada huku..,[emoji56][emoji56][emoji56][emoji56]