Nimetajiwa shilingi milioni tano mahali ya kuoa

Ha ha ha ha, hiyo kali kaka!

kweli kademu kalikuwa kaelitrea kamechanganyika na kamarekani cheusi hali ndiyo ilikuwa hivyo kwa kaka yangu wa kwanza. ila mimi siyo kaka ni dada
 
Heshima ya mahali naona imeshuka kutwa watu kulalamika kama hauko tayari usioe au tafuta wengine ambao mahali hawataki au wanataka ndogo.
 
zamani mahari ilikuwa ng'ombe 50-100, ungekuwa na ka milioni tano kako usinge oa
 
Kulaleki mie 2mil nikagoma nao wakakomaaa nasikilizia maana siku hizi kuoa ni mtaji mkubwa
 
mwambie mpenz utamwoa ukipata hiyo hela alafu pili unaju maana halisi ya ndoa??
 

hapo bado makorokocho ya harusi magharama ya nguo..sherehe..honeymoon....HUKO NI KUKOMOANA......umetetea ujinga.
 

mgonge mimba fasta uone kama mzigo hautopungua huo..atleast ulishaonesha nia
 
hiyo ni mahali ya mwanamke wa kawaida au malaika? Yaan utadhani unamnunua milele
 


Mkuu hilo dau ni kubwa sana ,ongea na gfriend wako washuke hata 2 m ,otherwise tafuta kwengine
 

Nahisi hata wakristo ndivyo inavyotakiwa kuwa. Tatizo ni ufukara, kama utakuwa umegundua mara nyingi familia masikini huwa wanatoza mahari kubwa sana nafikiri huwa wanaona kama ndo pakutokea, lakini ni mara chache sana kuona familia ambazo zinajiweza zikakupiga mahari kubwa.


Hahahahaaaaa duh, Kg 10 za dhahabu kwa haraka haraka ni kama Mil 500 tsh kwa mahari tu!! Pambafu!!!
Mkuu kwani huyo shemeji yako ni mzungu ama??
 
just be man enough to face them and tell them you don't have that money and for now you can pay like 1mil then tell them you will finish later after weeding! After weeding no one would come and remind you about it, wakikataa mweke binti pending! But convice that lady to be on your side no matter what
 

Hebu twende taratibu kwanza usitukokotekotete tu, huyo kaka yako aliambiwa atowe mahari ya kilo 10 ya dhahabu kwa sababu anatoka Africa, je ni bara gani hilo alilokwenda kuoa na ni nchi ipi hiyo? ebu tuanzie hapo kwanza.
 
Wape makavu live. Waambie it's over una mambo mengi ya kufikiria. Hiyo mahali waliyokutajia itakuongezea mawazo yasiyo ya msingi.
 

Sasa hapo "mahali" ulitaka pawe million ngapi? Si unajuwa ardhi imepanda bei siku hizi.

Au ulimaanisha "mahari"?

Punguani wahed.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…