toccara
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 540
- 202
Ha ha ha ha, hiyo kali kaka!
kweli kademu kalikuwa kaelitrea kamechanganyika na kamarekani cheusi hali ndiyo ilikuwa hivyo kwa kaka yangu wa kwanza. ila mimi siyo kaka ni dada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ha, hiyo kali kaka!
Kaka mahali ni muhimu... Familia ya mwanamke inakujaribu kupitia mahali. Kwamba kama huyu jamaa kweli ana uwezo wa kumtunza mwana wetu basi atoe kiasi fulani. Sasa hapo inaonesha ukichukua mtoto wa watu hata kupata hiyo milioni tano itakuwa shida kubwa sana. Hicho kiasi inawezekana ni kikubwa kwako. Ila kama kikubwa nenda kaangalie familia nyingine. Unataka kuchuma tunda tawi usilolifikia. Sehemu nyingine wanatoa watoto wao bure. Unaweza jaribu huko uone kwanini wanatoa watoto wao bure. Halafu ukioa familia nzima inahamia kwako. Utajua jinsi ya kuwapeleka shule na kuwyapa mitaji.
Usiseme nampenda nampenda tu, kwani hata tukishaoa na kuolewa tunapenda wangapi. Kuna maisha zaidi ya kupenda. Uzuri ukioa style ya huyo mwanamke unajifungia hata geti. Familia zao hazina tabia ya kutaka misaada kwa dada zao. Sasa mwenzangu kwa jinsi unavyolalama ukishaoa ukapata watoto utawapeleka wapi shule. Au ndio ile ya kusema tutajenga kwanza maisha. Kama bado hujajiandaa, usioe kwanza; jipange vizuri utaoa baadaye. Usikimbilie ndoa kama hujajipanga vizuri...
WaJF naomba ushauri wenu .nifanye je ?? Mchumba nampenda sana na nataka kuoa ila hiyo mahali niliyotajiwa imeniumiza kichwa kabisa .wazazi wake wanataka mahali 5mil.mi ntatoa wapi ?? Hii ni biashara ??mbona tunaumizana hivi ??nimejaribu kuzungumza na mchumba wangu ,anasema hana uwezo wa kubadili maamuzi ya kikao cha wazazi na ndugu zake ?? Naomba wajf mnishauri plz??Nifanye je ??Naomba ushauri
WaJF naomba ushauri wenu .nifanye je ?? Mchumba nampenda sana na nataka kuoa ila hiyo mahali niliyotajiwa imeniumiza kichwa kabisa .wazazi wake wanataka mahali 5mil.mi ntatoa wapi ?? Hii ni biashara ??mbona tunaumizana hivi ??nimejaribu kuzungumza na mchumba wangu ,anasema hana uwezo wa kubadili maamuzi ya kikao cha wazazi na ndugu zake ?? Naomba wajf mnishauri plz??Nifanye je ??Naomba ushauri
(Kwa Waislam) mahari ni haki ya mke mtarajiwa, yeye anaweza kuwaambia wanafamilia kuwa mahali yangu ni Tsh500/-, na hamna wa kuleta objection! Hili swala la mahari kutolewa mimacho mara kaka, mara mjomba ni upotofu mkubwa. Ama kuhusu wenzetu( Wakristo) sina hakika kwamba nani ni mwenye maamuz ya mwisho kutaja kiwango cha mahari. Kwa Waislam, kisheria anae taka kuolewa ana jibu la mwisho la kiwango cha fedha au mali kwa ajili ya Mahari, ijapokuwa anaweza kuwashirikisha wanafamilia pia.
kaka yangu aliambiwa apeleke kilo kumi za dhahabu kwa kuwa yeye anatoka africa, akamwambia mchumba wake hata gram mia sitoi rudi nyumbani, demu akang'ang'ania kwa bro, mara mimba ya kwanza, mtoto hajatembea vizuri mimba ya pili, ooh wazazi wakasema jamani fungeni ndoa mahari mtalipa kidogo kidogo tuu na mfumo wa mahari ukabadilishwa. muda mwingine mahari kubwa unayolipiwa msichana inaenda kukupa maisha ya tabu huko. pole kaka wewe peleka hata milioni moja waambie wataendelea kukudai mwishoe mnajukuu
kaka yangu aliambiwa apeleke kilo kumi za dhahabu kwa kuwa yeye anatoka africa, akamwambia mchumba wake hata gram mia sitoi rudi nyumbani, demu akang'ang'ania kwa bro, mara mimba ya kwanza, mtoto hajatembea vizuri mimba ya pili, ooh wazazi wakasema jamani fungeni ndoa mahari mtalipa kidogo kidogo tuu na mfumo wa mahari ukabadilishwa. muda mwingine mahari kubwa unayolipiwa msichana inaenda kukupa maisha ya tabu huko. pole kaka wewe peleka hata milioni moja waambie wataendelea kukudai mwishoe mnajukuu
zamani mahari ilikuwa ng'ombe 50-100, ungekuwa na ka milioni tano kako usinge oa
Ha ha ha hao wafanya biashara
WaJF naomba ushauri wenu nifanye je ?
Mchumba nampenda sana na nataka kuoa ila hiyo mahali niliyotajiwa imeniumiza kichwa kabisa.
Wazazi wake wanataka mahali 5mil.mi ntatoa wapi ?
Hii ni biashara ?mbona tunaumizana hivi ?nimejaribu kuzungumza na mchumba wangu ,anasema hana uwezo wa kubadili maamuzi ya kikao cha wazazi na ndugu zake ? Naomba wajf mnishauri please?
Nifanye je?
Naomba ushauri