Nimetajiwa shilingi milioni tano mahali ya kuoa

Jipange kwanza ndpo uoe, maisha ya sasa ml5 n ki2 gan? Kama unadhan mchumba wako ni wa thaman na hawez kulinganishwa ni kiasi chchte cha pesa acha kulalamika, chukua hatua namna ya kupata mahali ama lah huwezi, achia ngaz mwenyewe uwezo huo ndye mkewe. Pongez kwa bint kusimama upande wa wazaz maana asingelikuwa upande wao ungelimpata kama karanga.
 
5m ya Tanzania au ya Zimbabwe? anyway MPE mimba fasta wenyewe watakuletea mke mpaka mlangon
 
Mimi dhana ya mahari huwa naikataa kabisa hila kama wewe unaamini dhana hiyo basi hiyo pesa uliyotajiwa ni ndogo sana kulingana na thamani ya mwanamke.

Je we unafikiri mke wako mtarajiwa sio wa thamani hiyo na kama siyo unafikiri ni wa sh ngapi?
 
Huyo wanamuuza we mnunuetu ukitaka,ila kwa wapendanao mahari haina nafasi!
 
Hapo unanunua K au binadamu?

Halafu kwenu wao wanatoa kitu gani?

Kwani wewe hukulelewa?

Mnaoana au unaoa?
Waelimishe hao wajinga kwamba binadamu siyo bidhaa wa kununua.

Mwambie huyo unaetaka kuishi nae aache ujinga pamoja na wazazi wake.
 
Tatizo nini huna uwezo? umemtuma mshenga akanegotiate? Unaji express vipi kwa wake, maana huwezi kuonekana pedeshje harafu wakutajie laki tano.
 
Huwii 5mi? C unapata gar y ktembelea?
 
heee mbona hiyo ni ndogo sana mwenzio alitaijiwa 10M na akatoa yote
 
bora umemjibu best kumbe wakati mwingine unakuwaga na akili wewe
Mimi dhana ya mahari huwa naikataa kabisa hila kama wewe unaamini dhana hiyo basi hiyo pesa uliyotajiwa ni ndogo sana kulingana na thamani ya mwanamke.

Je we unafikiri mke wako mtarajiwa sio wa thamani hiyo na kama siyo unafikiri ni wa sh ngapi?
 

Mahali lazima ila milioni tano no way..kabda kama mchumba wako alikufagilia huko wakajua una mkwanza or kama mdau alivosema hapo juu hawakutaki na akufukuzae hakwambii toka kamwe
 
mimi nilishasema mahali ikizidi milioni 1.8 hapo ni biashara
sasa milioni 5 au wazazi wanataka kumfanya mtoto wao kama chombo cha wao kumaliza matatizo yao yote ya ki uchumi?

hata 1.8 nying tu bado. Kwan unamnunua?
 
mahari hutolewa kwa kadri ya mila na desturi za kiafrica ili kuunganisha koo mbili.hiyo mahali ili base mila za kabila ngani ili watu waweze kutoa maoni kwa kadri ya mila za kabila hilo,mimi naona mahali uliyitajiwa si ya kimila ni ya mjini mjini.mila za hilo kabila kwa mahali ya milioni tano huko watu wa vijijini hasingeoa.mchumba wako ana role kubwa kuwasihi wazazi wake upunguza mahali.halafu je huko ukweni ulikwenda kwa mikwala wakadhani mna hela za IPTL?Tuma washenga waombe kupunguziwa mahali ila unatakiwa kuwa na washenga wenye kujenga hoja sio domo zege.wasipopunguza kwa kiwango utakacho kubali achana na mipango hiyo.in short watakuwa wamekutajia mahali ambayo wanataka ushindwe. dunia imabadirika sio vizuri kwenda kwenye familia ambao indirect hawakutaki ndoa ina commitment nyingi baba mkwe bora wewe ni mototo wake haweze kukukwaza kiasi hicho
 
mgonge mimba fasta uone kama mzigo hautopungua huo..atleast ulishaonesha nia

Ni mlokole .swala la sex haiwezekani kabisa .amesema mpaka ndoa ndiyo atanipa penzi .kwa hiyo haiwezekani kumpa mimba.mbaya zaidi 5mil ni mahari tu bila vitu vingine .jumla yote ni kama 8mil hv .yaani nilishangaa sana hawa Wasukuma .wameniacha hoi
 
njoo unyamwezini utapata sawa ns bure kabisaaaa. ila uwe tayari kishea k na wenzio
 
Bado hujafanya maamuz mpaka leo? Watu wengne waliwapa shida sana waalimu wao hasa waalimu wa hesabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…