WaJF naomba ushauri wenu nifanye je ?
Mchumba nampenda sana na nataka kuoa ila hiyo mahari niliyotajiwa imeniumiza kichwa kabisa.
Wazazi wake wanataka mahari 5mil.mi ntatoa wapi ?
Hii ni biashara ?mbona tunaumizana hivi ?nimejaribu kuzungumza na mchumba wangu ,anasema hana uwezo wa kubadili maamuzi ya kikao cha wazazi na ndugu zake ? Naomba wajf mnishauri please?
Nifanye je?
Naomba ushauri