Nimetajiwa shilingi milioni tano mahali ya kuoa

Nimetajiwa shilingi milioni tano mahali ya kuoa

WaJF naomba ushauri wenu nifanye je ?

Mchumba nampenda sana na nataka kuoa ila hiyo mahari niliyotajiwa imeniumiza kichwa kabisa.

Wazazi wake wanataka mahari 5mil.mi ntatoa wapi ?

Hii ni biashara ?mbona tunaumizana hivi ?nimejaribu kuzungumza na mchumba wangu ,anasema hana uwezo wa kubadili maamuzi ya kikao cha wazazi na ndugu zake ? Naomba wajf mnishauri please?

Nifanye je?

Naomba ushauri
Pole
 
Back
Top Bottom