Nimetapeliwa elfu hamsini (50,000/-)na huyu dada tuliyeheshimiana sana, nimfanye nini?

Nimetapeliwa elfu hamsini (50,000/-)na huyu dada tuliyeheshimiana sana, nimfanye nini?

Zee Korofi

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2021
Posts
1,604
Reaction score
1,430
Khali gani JF, wanamfungo nawatakia ufungaji mwema,

Jana nimenusurika kuitiwa mwizi na huyu dada. Niliyemuamini sanaaa, na niliyemheshimu sana. Alikuja analia nimkope 40k, card yake ya bank ili crack na home walimuambia after 4 days watamtumia hela.

Nikatoa 50k kwa bahati mbaya mfukoni wakati natoa akaona. Akasema niongeze na hiyo nyingine atanilipa zote. Zimepita week nne wakati aliahidi siku nne tu.

Akasema wazee wake watamtumia 300k na atanilipa. Huyu binti sio kuwa kwao hawana hela, wana hela sana tu na hiyo kunikopa ni kutokana na card yake ya bank kupata matatizo.

Basi bhana na kweli after siku nne akatumiwa laki 4. Na muamala akanionesha kuwa kesho yake atanitumia 50k yangu. Nikasubiri kesho aitume ukizingatia hata mwenyewe nilikuwa vibaya kiuchumi.

Mpaka saa 4 usiku hakuna muamala, natuma txt hajibu, simu hapokei. Tunakaa jirani tu si huwa tunaonana sometimes, tukionana salamu hatoi yaani alinichunia.

Nikamfuata hostel kwake, cha ajabu nilipogusia suala la hela na kumuambua nina shida mno, akanibadilikia mpaka sauti. Na akaanza kunikoromea, uvumilivu ukanishida nikaja juu, akaanza kuita mwizi serious kabisa.

Uzuri nina mbio sana, nikaepuka kisanga kile, akaanza kutangaza kwa watu kuwa mimi jogoo hapandi mtungi. Na wakati nilimheshimu na tuliheshimiana kama kaka na dada tu.

Nimeumia sana japo ni muda kidogo umepita, kwa nini wema wangu unaniponza? Nipeni approach nzuri ya kumfanyia umafia (si kumbaka) huyu mtu.

NB: Sikuwahi kuonesha hisia wala viashiria vyovyote vya kumtaka kimapenzi, tuliheshimiana na tulikuwa na mipaka.
 
Sasa ni Dada au mna mahusiano? Maana tu hawezi Sema tu hayo maneno, kuna namna unamwonea, na yeye aje ajieleze
 
Sasa ni Dada au mna mahusiano? Maana tu hawezi Sema tu hayo maneno, kuna namna unamwonea, na yeye aje ajieleze
Hatuna na hatukuwahi kuwa na MAHUSIANO YA MAPENZI, ACHILIA MBALI KU SEX.
 
Khali gani JF, wanamfungo nawatakia ufungaji mwema,

Jana nimenusurika kuitiwa mwizi na huyu dada,

Niliyemuamini sanaaa, na niliyemheshimu sana,

Alikuja analia nimkope 40k, card yake ya bank ili crack na home walimuambia after 4 days watamtumia hela.


Nikatoa 50k kwa bahati mbaya mfukoni wakati natoa akaona,

Akasema niongeze na hiyo nyingine atanilipa zote,

Zimepita week nne wakati aliahidi siku nne tu,

Akasema wazee wake watamtumia 300k na atanilipa.


Huyu binti sio kuwa kwao hawana hela, wana hela sana tu na hiyo kunikopa ni kutokana na card yake ya bank kupata matatizo,

Basi bhana na kweli after siku nne akatumiwa laki 4,


Na muamala akanionesha kuwa kesho yake atanitumia 50k yangu,


Nikasubiri kesho aitume ukizingatia hata mwenyewe nilikuwa vibaya kiuchumi,


Mpaka saa 4 usiku hakuna muamala, natuma txt hajibu, simu hapokei,


Tunakaa jirani tu si huwa tunaonana sometimes, tukionana salamu hatoi yaani alinichunia,

Nikamfuata hostel kwake, cha ajabu nilipogusia suala la hela na kumuambua nina shida mno, akanibadilikia mpaka sauti,

Na akaanza kunikoromea, uvumilivu ukanishida nikaja juu, akaanza kuita mwizi serious kabisa,


Uzuri nina mbio sana, nikaepuka kisanga kile, akaanza kutangaza kwa watu kuwa mimi jogoo hapandi mtungi.


Na wakati nilimheshimu na tuliheshimiana kama kaka na dada tu,


Nimeumia sana japo ni muda kidogo umepita, kwa nini wema wangu unaniponza?


Nipeni approach nzuri ya kumfanyia umafia(si kumbaka) huyu mtu. Nataka aumie iwe physically au mentally


NB: Sikuwahi kuonesha hisia wala viashiria vyovyote vya kumtaka kimapenzi, tuliheshimiana na tulikuwa na mipaka.
Muachie Mungu
 
Hakuna urafiki wa simba na swala mkuu! Huyo alikua karibu na wewe ili umle sasa wewe unaleta habari za kuheshimiana unamuheshimu mwanamke ni baba yako huyo!!

Hata maandiko yanasema tuwapende nawao watuheshimu!!! Wewe rudisha ukaribu nae uje umle kimasihara tu then deni liwe limelipwa kiivyo.
 
Khali gani JF, wanamfungo nawatakia ufungaji mwema,

Jana nimenusurika kuitiwa mwizi na huyu dada,

Niliyemuamini sanaaa, na niliyemheshimu sana,

Alikuja analia nimkope 40k, card yake ya bank ili crack na home walimuambia after 4 days watamtumia hela.


Nikatoa 50k kwa bahati mbaya mfukoni wakati natoa akaona,

Akasema niongeze na hiyo nyingine atanilipa zote,

Zimepita week nne wakati aliahidi siku nne tu,

Akasema wazee wake watamtumia 300k na atanilipa.


Huyu binti sio kuwa kwao hawana hela, wana hela sana tu na hiyo kunikopa ni kutokana na card yake ya bank kupata matatizo,

Basi bhana na kweli after siku nne akatumiwa laki 4,


Na muamala akanionesha kuwa kesho yake atanitumia 50k yangu,


Nikasubiri kesho aitume ukizingatia hata mwenyewe nilikuwa vibaya kiuchumi,


Mpaka saa 4 usiku hakuna muamala, natuma txt hajibu, simu hapokei,


Tunakaa jirani tu si huwa tunaonana sometimes, tukionana salamu hatoi yaani alinichunia,

Nikamfuata hostel kwake, cha ajabu nilipogusia suala la hela na kumuambua nina shida mno, akanibadilikia mpaka sauti,

Na akaanza kunikoromea, uvumilivu ukanishida nikaja juu, akaanza kuita mwizi serious kabisa,


Uzuri nina mbio sana, nikaepuka kisanga kile, akaanza kutangaza kwa watu kuwa mimi jogoo hapandi mtungi.


Na wakati nilimheshimu na tuliheshimiana kama kaka na dada tu,


Nimeumia sana japo ni muda kidogo umepita, kwa nini wema wangu unaniponza?


Nipeni approach nzuri ya kumfanyia umafia(si kumbaka) huyu mtu. Nataka aumie iwe physically au mentally


NB: Sikuwahi kuonesha hisia wala viashiria vyovyote vya kumtaka kimapenzi, tuliheshimiana na tulikuwa na mipaka.
Pole mkuu !!! mwanamke ukimuazima hela ye anachukulia umempa io hela samehe anza moja mm nshajiapizq hata nimkute demu hospital anikope pesa qnunue vidonge simpi ata anioneshe cheki ya bank simpi simpiiiiiiiii
 
Back
Top Bottom