Nimetapeliwa elfu hamsini (50,000/-)na huyu dada tuliyeheshimiana sana, nimfanye nini?

Nimetapeliwa elfu hamsini (50,000/-)na huyu dada tuliyeheshimiana sana, nimfanye nini?

Sasa ni Dada au mna mahusiano? Maana tu hawezi Sema tu hayo maneno, kuna namna unamwonea, na yeye aje ajieleze
uyo si kosa lake kosa ni kuleta urafik wa kijingq urafik wa mwanamke na mwanaume umeiona wap io ni wa mashaka matupu ni mke wangu nshamwambia ajenge urafik na vitoto vile vinatembea uch ila akishavaa bucta sitak mazoea
 
Hata wanaume. Kukopesha ni kama kamali. Wengi tumeacha kukopesha.
Pole mkuu !!! mwanamke ukimuazima hela ye anachukulia umempa io hela samehe anza moja mm nshajiapizq hata nimkute demu hospital anikope pesa qnunue vidonge simpi ata anioneshe cheki ya bank simpi simpiiiiiiiii
 
Hivi mtu kama huyo akikuitia mwizi na wewe ukagoma kukimbia ukakaa hapo hapo bila wasiwasi, wanamzengo wakija wanaweza kukuua???
 
Back
Top Bottom