uyo si kosa lake kosa ni kuleta urafik wa kijingq urafik wa mwanamke na mwanaume umeiona wap io ni wa mashaka matupu ni mke wangu nshamwambia ajenge urafik na vitoto vile vinatembea uch ila akishavaa bucta sitak mazoeaSasa ni Dada au mna mahusiano? Maana tu hawezi Sema tu hayo maneno, kuna namna unamwonea, na yeye aje ajieleze