OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
unaona sasa ☹☹☹☹Hahahaa. Lol.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unaona sasa ☹☹☹☹Hahahaa. Lol.
Sawabe a gentleman usimuulize tena hiyo pesa ukikutana naye kuwa normal kama hakijatokea kitu alafu kaaa tulia utaona guilty itakavyomtafuna
Sitaki kusikia huu upuuziMuachie Mungu
[emoji23][emoji23][emoji23]Ushukuru hata umekopesha mdada ipo siku mtaelewana, huku tunakopwa tena sehemu nyeti ila hawarejeshi
Hakika Swahiba. Japo nadhani atumie busara zaidi.50k inauma aisee hasa nyakati hizi
angalau dume mtakoromeana kiume na watu wakijq kuamulia kuna usawa
ila demu lazima uoge mvua ona apo mchizi kaitiwa mwiz mara jogoo awik ugomv wa demu na dume hamna balance no fair demu anabebwa
Simhitaji, hajanivutia japo wa kishua kidogo.Hakuna urafiki wa simba na swala mkuu! Huyo alikua karibu na wewe ili umle sasa wewe unaleta habari za kuheshimiana unamuheshimu mwanamke ni baba yako huyo!! Hata maandiko yanasema tuwapende nawao watuheshimu!!! Wewe rudisha ukaribu nae uje umle kimasihara tu then deni liwe limelipwa kiivyo.
Nataka mbinu ya kumfanyizia n not otherwiseHapo kwenye "jogoo hapandi mtungi" ndipo mzizi wa tatizo ulipo. Kuna kitu ulitakiwa kupewa, ila ukawa mzito kujiongeza.
NB: kwenye huu uzi wako sijaona uzee, wala sijaona ukorofi. Nakushauri ubadili jina.
Sawa ila nataka mbinuPole mkuu !!! mwanamke ukimuazima hela ye anachukulia umempa io hela samehe anza moja mm nshajiapizq hata nimkute demu hospital anikope pesa qnunue vidonge simpi ata anioneshe cheki ya bank simpi simpiiiiiiiii
Kabisa, ila toa mbinuSifa moja ya kukopesha, kuposha mtu pesa usiyokua na matumizi nayo au iliyo ndani ya nafasi yako. Kudai ni gharama na upotevu wa muda kuliko kukopesha.
Ndio maana zikaletwa taasisi kusaidia ilo
Safi ila nimedhamiria kuumizauyo si kosa lake kosa ni kuleta urafik wa kijingq urafik wa mwanamke na mwanaume umeiona wap io ni wa mashaka matupu ni mke wangu nshamwambia ajenge urafik na vitoto vile vinatembea uch ila akishavaa bucta sitak mazoea
Kama zepi hizo mkuu?Ndio mana mimi watu wananiona shetani. Ila napenda sana hizi amri za ibilisi.
Umeona eeeh? Nishadhamiria kumuumiza, nina hasira naye. Sitaki kusikia eti sijui kusameheKuna viumbe hawana hiyo guilty ndgu yangu, ukitegemea hiyo utasamehe wengi sana.
Toa mbinu nataka nimuumize mtuMmh!
Sina kitambi, nipe mbinu.Najaribu kuimagine hizo mbio ukiwa hostel za wanachuo.. na kama kitambi kipo im sure kila mtu alijua umetoka kufumaniwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mmmh naona aibu ni sms yenye maneno makali sana.Mtumie sms unataka kumnyonya mataqo badala ya hiyo hela. Hizo sms anazo Carlos The Jackal
Yeah na atajutia huenda maisha yake yote. Nikichukia sina huruma. Nashukuru kuwa hivi.Nnalo basi Swahiba. Nimechoka hiyo eti anataka amfanyie umafia. Lol
Dah.....hili ndilo tatizo.....hata hilo la kuhusu mtungi na jogoo linaweza kuwa kweli 🤣🤣🤣🤣🤣Sina hisia naye, katumiwa laki 4 sasa kwa nini asitoe 50k yangu anipe?