Nimetapeliwa elfu hamsini (50,000/-)na huyu dada tuliyeheshimiana sana, nimfanye nini?

Nimetapeliwa elfu hamsini (50,000/-)na huyu dada tuliyeheshimiana sana, nimfanye nini?

Ushukuru hata umekopesha mdada ipo siku mtaelewana, huku tunakopwa tena sehemu nyeti ila hawarejeshi
[emoji23][emoji23][emoji23]

Wapi huko wanakubali mkopo ngiche

Huyu domo zege katongozwa na bibie hatongozeki ikabidi apigwe mkopo ili akili ichangamke bado napo kichwa hakikufunguka kazidi kuwa mzitoo ikabidi binti amwambie tu ni kibaka na Sio rizikii...
 
Mnaopenda kukopesha, endeleeni lakini msilete hapa malalamiko.
angalau dume mtakoromeana kiume na watu wakijq kuamulia kuna usawa

ila demu lazima uoge mvua ona apo mchizi kaitiwa mwiz mara jogoo awik ugomv wa demu na dume hamna balance no fair demu anabebwa
 
Hakuna urafiki wa simba na swala mkuu! Huyo alikua karibu na wewe ili umle sasa wewe unaleta habari za kuheshimiana unamuheshimu mwanamke ni baba yako huyo!! Hata maandiko yanasema tuwapende nawao watuheshimu!!! Wewe rudisha ukaribu nae uje umle kimasihara tu then deni liwe limelipwa kiivyo.
Simhitaji, hajanivutia japo wa kishua kidogo.
 
Hapo kwenye "jogoo hapandi mtungi" ndipo mzizi wa tatizo ulipo. Kuna kitu ulitakiwa kupewa, ila ukawa mzito kujiongeza.

NB: kwenye huu uzi wako sijaona uzee, wala sijaona ukorofi. Nakushauri ubadili jina.
Nataka mbinu ya kumfanyizia n not otherwise
 
Pole mkuu !!! mwanamke ukimuazima hela ye anachukulia umempa io hela samehe anza moja mm nshajiapizq hata nimkute demu hospital anikope pesa qnunue vidonge simpi ata anioneshe cheki ya bank simpi simpiiiiiiiii
Sawa ila nataka mbinu
 
uyo si kosa lake kosa ni kuleta urafik wa kijingq urafik wa mwanamke na mwanaume umeiona wap io ni wa mashaka matupu ni mke wangu nshamwambia ajenge urafik na vitoto vile vinatembea uch ila akishavaa bucta sitak mazoea
Safi ila nimedhamiria kuumiza
 
Najaribu kuimagine hizo mbio ukiwa hostel za wanachuo.. na kama kitambi kipo im sure kila mtu alijua umetoka kufumaniwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sina kitambi, nipe mbinu.
 
Back
Top Bottom