Nimetapeliwa hela na rafiki wa karibu

Nimetapeliwa hela na rafiki wa karibu

Daah..inaumiza sana, hela yenyewe inapatikana kwa tabu, halafu mtu akuletee uhuni.
 
🤣🤣🤣🤣🤣watu kama nyie mnatapeliwa kirahisi sana..
Kanywa biaa hela yote..
sasa mimi sina shida, pesa bado Mungu amenipa, ila tatizo ni kwake, hata kupiga simu kwangu nadhani atakuwa anaogpoa na nikienda mkoani kwake akiniona lazima atakimbia, inamtesa hadi imefika nawaza sijui nimwambie awe na amani tu nilimsamehe? lakin naona kama nitamdekeza kwa sababu hana shukrani na hana tabia ya uaminifu asije kutokwua mwaminifu kwa wengine.
 
Back
Top Bottom