Nimetapeliwa kwenye ndoa ya Kikristo tena na mkristo mwenzangu

Nimetapeliwa kwenye ndoa ya Kikristo tena na mkristo mwenzangu

Ni kweli sikupata muda wa kumchunguza,kwani baba yake ni mchungaji, niliamini Kwa Hilo!😭
1. Bila kupepesa maneno, nikuambie tu kwamba wewe ni mhanga wa suala ambalo niliwahi kulileta humu kupitia uzi huu;


Mara nyingi watu hua mnajiaminisha kwamba kwavile huyu ni mkristo mwenzangu, tena mtoto wa mchungaji, basi huyu ni MALAIKA sina haja ya kumchunguza. Tena si ajabu ulikua na options zingine ukazikataa kisa sio "washarika" wenzio.

Big Mistake..!

2. Wanawake wengi mnaoolewa mkiwa MABIKIRA huwa mna matatizo. Moja, wengi mnadhani kwamba bikira ni kitu cha maana sana kwamba mwanaume akikukuta nacho baasi we umemaliza kila kitu. Ukweli ni kwamba bikra ni kitu kinatolewa ndani ya sekunde na kinasahaulika. Je, zaidi ya hiyo bikra, una nini? Bikra imeshatoka, haya una kipi sasa cha kumfanya huyo mwanaume aendelee kuwa na wewe? Unajua mapenzi? Una akili? Una kauli nzuri? Una heshima? Unajua kum-handle mwanaume? Kama vyote hivyo huna, si ajabu sasa kuona mwanaume anarudi kwa baby mama wake mwenye watoto wawili anakuacha hapo na bikra yako.

3. Kama ulivyosema, hapo upo kwenye mtego. Manake najua kabisa kutoka kwenye ndoa huthubutu unaogopa utaonekanaje na wakristo wenzio, kulipekela suala kanisani huthubutu manake unataka ndoa yenu iendelee kuonekana ya mfano. Huu unafki wakristo wengi sana unatutesa kutaka kuonekana ndoa yenu "imesimama" kumbe ndani hamna kitu!

Cha kukushauri hapo;
1. Usiongeze watoto! Huyo mwanaume anaweza kukuacha mda wowote, so hakikisha ukiachwa angalau uwe na mzigo mwepesi
2. Anza kujijenga wewe mwenyewe maana we ni singo maza mtarajiwa. Tafuta channel zako za kupata hela ili uweze kujitegemea
3. Anza kupunguza ukaribu na watu wa kanisani kwenu ikiwezekana hata kanisani usiende mara kwa mara. Au hama kanisa. Hii itakusaidia hata ukiachika usisengenywe sana. Watu wa kanisani wengi ni wanafki, wambea, wasengenyaji wakubwa!
4. Usiombe ushauri kwa watu wako wa karibu au wa kanisani. Wengi hamna cha maana watakachokushauri zaidi ya kukucheka na kukutangaza. Pambana kimya kimya
 
Kama huna amani RUDI KWENU, anza upya.
 
1. Bila kupepesa maneno, nikuambie tu kwamba wewe ni mhanga wa suala ambalo niliwahi kulileta humu kupitia uzi huu;


Mara nyingi watu hua mnajiaminisha kwamba kwavile huyu ni mkristo mwenzangu, tena mtoto wa mchungaji, basi huyu ni MALAIKA sina haja ya kumchunguza. Tena si ajabu ulikua na options zingine ukazikataa kisa sio "washarika" wenzio.

Big Mistake..!

2. Wanawake wengi mnaoolewa mkiwa MABIKIRA huwa mna matatizo. Moja, wengi mnadhani kwamba bikira ni kitu cha maana sana kwamba mwanaume akikukuta nacho baasi we umemaliza kila kitu. Ukweli ni kwamba bikra ni kitu kinatolewa ndani ya sekunde na kinasahaulika. Je, zaidi ya hiyo bikra, una nini? Bikra imeshatoka, haya una kipi sasa cha kumfanya huyo mwanaume aendelee kuwa na wewe? Unajua mapenzi? Una akili? Una kauli nzuri? Una heshima? Unajua kum-handle mwanaume? Kama vyote hivyo huna, si ajabu sasa kuona mwanaume anarudi kwa baby mama wake mwenye watoto wawili anakuacha hapo na bikra yako.

3. Kama ulivyosema, hapo upo kwenye mtego. Manake najua kabisa kutoka kwenye ndoa huthubutu unaogopa utaonekanaje na wakristo wenzio, kulipekela suala kanisani huthubutu manake unataka ndoa yenu iendelee kuonekana ya mfano. Huu unafki wakristo wengi sana unatutesa kutaka kuonekana ndoa yenu "imesimama" kumbe ndani hamna kitu!

Cha kukushauri hapo;
1. Usiongeze watoto! Huyo mwanaume anaweza kukuacha mda wowote, so hakikisha ukiachwa angalau uwe na mzigo mwepesi
2. Anza kujijenga wewe mwenyewe maana we ni singo maza mtarajiwa. Tafuta channel zako za kupata hela ili uweze kujitegemea
3. Anza kupunguza ukaribu na watu wa kanisani kwenu ikiwezekana hata kanisani usiende mara kwa mara. Au hama kanisa. Hii itakusaidia hata ukiachika usisengenywe sana. Watu wa kanisani wengi ni wanafki, wambea, wasengenyaji wakubwa!
4. Usiombe ushauri kwa watu wako wa karibu au wa kanisani. Wengi hamna cha maana watakachokushauri zaidi ya kukucheka na kukutangaza. Pambana kimya kimya
Aondoke hapo akafanye mambo mengine. Tusicomplicate sana ndoa, huna furaha ondoka.
 
Mitume wengi kasoro nabii Issa na nabii Adam ,walioa mke zaidi ya mmoja
 
Kama alifanya udanganyifu wa kusema hana watoto wala hajawahi kuoa kabla ya kufunga ndoa na wewe, hiyo ndoa inavunjwa.

Ongea na paroko vizuri
 
Muombe Mungu akupe mtu mpya utakae mridhia moyoni!
Huyu binti anaonekana ni mpendwa. Nna uhakika kabla ya kuolewa alimuomba sana Mungu ampe mume mwema, matokeo yake ndio kapewa huyo! Sasa we unamshauri arudi tena kwa Mungu yule yule akamuombe mtu mpya?
 
1. Bila kupepesa maneno, nikuambie tu kwamba wewe ni mhanga wa suala ambalo niliwahi kulileta humu kupitia uzi huu;


Mara nyingi watu hua mnajiaminisha kwamba kwavile huyu ni mkristo mwenzangu, tena mtoto wa mchungaji, basi huyu ni MALAIKA sina haja ya kumchunguza. Tena si ajabu ulikua na options zingine ukazikataa kisa sio "washarika" wenzio.

Big Mistake..!

2. Wanawake wengi mnaoolewa mkiwa MABIKIRA huwa mna matatizo. Moja, wengi mnadhani kwamba bikira ni kitu cha maana sana kwamba mwanaume akikukuta nacho baasi we umemaliza kila kitu. Ukweli ni kwamba bikra ni kitu kinatolewa ndani ya sekunde na kinasahaulika. Je, zaidi ya hiyo bikra, una nini? Bikra imeshatoka, haya una kipi sasa cha kumfanya huyo mwanaume aendelee kuwa na wewe? Unajua mapenzi? Una akili? Una kauli nzuri? Una heshima? Unajua kum-handle mwanaume? Kama vyote hivyo huna, si ajabu sasa kuona mwanaume anarudi kwa baby mama wake mwenye watoto wawili anakuacha hapo na bikra yako.

3. Kama ulivyosema, hapo upo kwenye mtego. Manake najua kabisa kutoka kwenye ndoa huthubutu unaogopa utaonekanaje na wakristo wenzio, kulipekela suala kanisani huthubutu manake unataka ndoa yenu iendelee kuonekana ya mfano. Huu unafki wakristo wengi sana unatutesa kutaka kuonekana ndoa yenu "imesimama" kumbe ndani hamna kitu!

Cha kukushauri hapo;
1. Usiongeze watoto! Huyo mwanaume anaweza kukuacha mda wowote, so hakikisha ukiachwa angalau uwe na mzigo mwepesi
2. Anza kujijenga wewe mwenyewe maana we ni singo maza mtarajiwa. Tafuta channel zako za kupata hela ili uweze kujitegemea
3. Anza kupunguza ukaribu na watu wa kanisani kwenu ikiwezekana hata kanisani usiende mara kwa mara. Au hama kanisa. Hii itakusaidia hata ukiachika usisengenywe sana. Watu wa kanisani wengi ni wanafki, wambea, wasengenyaji wakubwa!
4. Usiombe ushauri kwa watu wako wa karibu au wa kanisani. Wengi hamna cha maana watakachokushauri zaidi ya kukucheka na kukutangaza. Pambana kimya kimya
🙏🙏🙏
 
Mnaweza kuamini nimefunga harusi naye kanisani na kunihakikishia hajaoa kumbe ni mume wa mtu!

Ninaomba msaada wa kisheria wa kuachana naye
 
Kwa standard za JF we bado bikra, mtu mmoja tuu??? Hongera kwa kujitunza madam na hili balaa liishe kwa amani
 
Mnaweza kuamini nimefinga harusi naye kanisani na kunihakikishia hajaoa kumbe ni mume wa mtu!

Ninaomba msaada wa kisheria wa kuachana naye
Shida unataka kuachana nae on the spot.
Jipange kwanza jua watoto wako wataishije. Tafta shughli y kukuingizia kipato. Jipange vzr kisaikolojia
 
Mnaweza kuamini nimefinga harusi naye kanisani na kunihakikishia hajaoa kumbe ni mume wa mtu!

Ninaomba msaada wa kisheria wa kuachana naye
Kuna baadhi ya mambo hujayaweka wazi ili uweze kusaidika vizuri;

1. Pamoja na yote uliyoyasema, hakuna sehemu ambayo umesema huyo mwanaume anakunyanyasa, au unakosa huduma muhimu wewe na mwanao, au anakupiga, au ni mlevi unaenda kumuokota majalalani nk.

2. Unataka kuachana nae ili utafute mwanaume mwingine au? Maana wanaume wote tuko hivyo so kama hilo ndio lengo lako mi naona bora ubaki na huyo huyo angalau umeshamjua mapungufu yake.
 
Pole sana mamii hali unayopitia ni ngumu na inaumiza ukizingatia wewe ulijitunza na kujiheshimu.

Cha kufanya inabidi ukubaliane na hiyo hali, usikubali kuumiza moyo wako kwa mambo ambayo umeshathibitisha kwamba ni halisi.
Siri ni ujipende uwe bora kuliko huyo mke mkubwa ili huyo mwanaume amtenge kidogokidogo...kadri unavyoumia utachoka huku mke mkubwa akipendeza jambo litakalosababisha wewe kuchokwa.

Changamoto kama hizi nyinyi wanawake mmeumbiwa kuzimudu na kuzikubali tofauti na sisi wanaume ambapo mambo yangekuwa ni kuua au kufukuza.

Pole sana yaone maisha katika mwanga ulio bora zaidi ili baraka za Mungu zimiminike kwako kwa wingi
 
Kuna mambo mengi naona umeyaruka na haujaelezea kinaga ubaga.
Kwasasa sina la kukushauri mkuu....
Pole sana
 
Kuna baadhi ya mambo hujayaweka wazi ili uweze kusaidika vizuri;

1. Pamoja na yote uliyoyasema, hakuna sehemu ambayo umesema huyo mwanaume anakunyanyasa, au unakosa huduma muhimu wewe na mwanao, au anakupiga, au ni mlevi unaenda kumuokota majalalani nk.

2. Unataka kuachana nae ili utafute mwanaume mwingine au? Maana wanaume wote tuko hivyo so kama hilo ndio lengo lako mi naona bora ubaki na huyo huyo angalau umeshamjua mapungufu yake.
Kipengele cha kwanza,uko sawa 100% .
Mateso ,manyanyaso ni makubwa mno. Hata ninaogopa kuyataja
 
Yan upate mwanaume ambae anakazi, biashara, pesa, mjengo from nowhere afu eti unatamba nae kua niwako naunaolewa chap.... Ukitaka mume wapekeako anzanae chin akiwa hohehahe
Hapo ndo wanapokosea hawataki kuanza na mtu zero wanataka wakute mtu kashajipata kumbe kuna mtu atoka nae from zero alafu yeye anataka aje kula bata simple lazima ujute
 
Back
Top Bottom