magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Akili zako zinashangaza kuliko za mleta mada. Kwa hiyo mtu akileta habari za ITV hapa panakuwa ITV?Sasa hapa ni Instagramu!? kwa akili hizi lazima utapeliwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili zako zinashangaza kuliko za mleta mada. Kwa hiyo mtu akileta habari za ITV hapa panakuwa ITV?Sasa hapa ni Instagramu!? kwa akili hizi lazima utapeliwe
HAUJA TAPELIWA...wewe upo masomoni shuleni ...endelea kujifunza kuhusu duniaNime tapeliwa laki 4 hapa Instagram na mtu alie dai kua yeye ni muuza simu anae patikana Pemba chake chake, ushahidi wote ninao lakini Ushilikiano wa kufatilia iyo kesi na vyombo husika ume kua mgumu naomba Ushauri
Kwani hapa ni Instagram?Nime tapeliwa laki 4 hapa Instagram na mtu alie dai kua yeye ni muuza simu anae patikana Pemba chake chake, ushahidi wote ninao lakini Ushilikiano wa kufatilia iyo kesi na vyombo husika ume kua mgumu naomba Ushauri
Hao wabara wanaowadanganya wanauza vitu wako zenj, wewe mwambie kuwa uko zenj unataka uende ofisini kwake basi ataacha jibu hata sms zako.Nime tapeliwa laki 4 hapa Instagram na mtu alie dai kua yeye ni muuza simu anae patikana Pemba chake chake, ushahidi wote ninao lakini Ushilikiano wa kufatilia iyo kesi na vyombo husika ume kua mgumu naomba Ushauri
Na ukimuambia upoSiku nyingine ukiona mtu anauza Vifaa vya umeme na yuko Pemba jua ni tapeli yuko zake Dar au mahali anaku zoom tu.
Ukiona mtu anakuambia store iko chanika au pembezoni mwa mji.. mara nyingi anataja eneo ambao anajua utaona uvivu kufika jua ni tapeli.. Na huwa wanaanza na mitego kukuuliza we uko wapi tukuletee. Hapa utajichanganya kusema ulipo sasa yeye anakwepesha na hapo na anataja mbali sana
Simu zimejaa kariakoo, mlimani city, mwenge ww unakwenda kununua chakechake Pemba!?Nime tapeliwa laki 4 hapa Instagram na mtu alie dai kua yeye ni muuza simu anae patikana Pemba chake chake, ushahidi wote ninao lakini Ushilikiano wa kufatilia iyo kesi na vyombo husika ume kua mgumu naomba Ushauri
Kwenye maduka hukujui?, mnapenda kitonga mno, hao jamaa wameweka Simu, Tv's huko Mtandaoni na vifaa vingine, wakidai wapo huko Pemba, wanawapiga kweli watu...pole sana.Nime tapeliwa laki 4 hapa Instagram na mtu alie dai kua yeye ni muuza simu anae patikana Pemba chake chake, ushahidi wote ninao lakini Ushilikiano wa kufatilia iyo kesi na vyombo husika ume kua mgumu naomba Ushauri
Mimi kuna yule Barke wa Darajani Zanzibar wanasema ni trustworth but sikushawishika kutanguliza pesa só why nilimwambia tufanye "pay on delivery" akachomoa boas. ...🤣
Pemba Kuna wauza simu online?
Unatakiwa kuweka makubaliano kwamba atume mzigo ndio umlipe akikataa hapo unaagana nae
Akichomoa mnaishia hapo. Wapo wanaokubali. Anatuma mzigo unafika kwa yule mtumiwa yaani agent unaenda kuangalia Kama ndio ule ukiridhia unalipa mambo yanaishia hapoMimi kuna yule Barke wa Darajani Zanzibar wanasema ni trustworth but sikushawishika kutanguliza pesa só why nilimwambia tufanye "pay on delivery" akachomoa boas. ...
Mkuu kumbe umemzoom isitoshe alikuwa najifanya mjuaji kweli kweli kwa kutumia id yake ya mwanzo ila sasa yamemkuta anaogopa kutumia id yake iliozoeleka akihofia kuchekwa🤣🤣Mkitapeliwa mnakuja na ID mpya mpya jamaa wakiwa wanatoa taarifa za utapeli mnabaki kutukana ukishatapeliwa ndio basi tena hata ukiwa na ushahidi mkubwa kama Meli wahuni ndio washapotea hivyo..