SPYMATE
JF-Expert Member
- Apr 17, 2013
- 2,071
- 1,960
Yes hiyo ndio pay on delivery mzeeAkichomoa mnaishia hapo. Wapo wanaokubali. Anatuma mzigo unafika kwa yule mtumiwa yaani agent unaenda kuangalia Kama ndio ule ukiridhia unalipa mambo yanaishia hapo