Nimetapeliwa na muuza mkaa

Nimetapeliwa na muuza mkaa

Ushimen

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
40,828
Reaction score
99,523
Nilipotoka tu, nikavamia K-Vant kubwaaaaaaaa.

Kabla sijaimaliza, akapita muuza mkaa "simnajua gesi imepanda bei..!!"

Basi kwa mbwebwe kibwena nikamuagiza apeleke kwa nyumba na pesa nikamlipa kabisa kwa jinsi alivyojua kuujaza hadi kisunzu...😜😜

Sijakaa muda waifu kapiga simu kusema asante baba watoto, asante mume wangu, asante kwa kujali na kadhalika zote mnazozijua wababa.

Sasa haya ndio yalonikuta, muuza mkaa ameniharibia upendo kabisa wa leo. Na sijui kama wiki hii nitapewa...😶😑

IMG-20220406-WA0006.jpg
 
Hivi watu wanajiamini nini?
Ujasiri huu wanaupata wapi?
Pole sana, watu wanarisk sana maisha yao.
Watu sana stress zao, halafu unaongezea nyingine juu!
 
Nilipotoka tu, nikavamia K-Vant kubwaaaaaaaa.

Kabla sijaimaliza, akapita muuza mkaa "simnajua gesi imepanda bei..!!"

Basi kwa mbwebwe kibwena nikamuagiza apeleke kwa nyumba na pesa nikamlipa kabisa kwa jinsi alivyojua kuujaza hadi kisunzu...😜😜

Sijakaa muda waifu kapiga simu kusema asante baba watoto, asante mume wangu, asante kwa kujali na kadhalika zote mnazozijua wababa.

Sasa haya ndio yalonikuta, muuza mkaa ameniharibia upendo kabisa wa leo. Na sijui kama wiki hii nitapewa...😶😑

Hawa ndio watu mungu aliumba😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom