Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Mkuu unapajua hadi huko farm 17 ...Huko Nachingwea nadhani kunaweza kuwa kunaongoza kwa Nyoka hapa Nchini.
Wale Nyoka wengi waliletwa na Wakoloni kipindi wanaendesha shughuli za kilimo kwenye yale mashamba yao ya kuanzia farm 1 hadi farm 17 ili kudhibiti panya na wadudu wengine waharibifu wa mazao.
Baada ya Wakoloni kuondoka waliacha wale Nyoka wamezaliana kupita kiasi na kuwatelekeza huko maporini.
Dogo na mm hapa naona kama yupo nyuma yangu..chaa nyoka au story za nyoka haizjawahi niacha salamaOngeeni bila kutuma picha pleaseee!
Maneno tu yananiogopesha
Usjie ukauza shamba lako kisa nyoka maana huko ni potential areaSasa Msalato na veyula yale mashamba ya TPDF na Magereza si itakuwa hatari kupakana nayo maana ni mapori mazito sana
Tunatafuta shamba maeneo hayo huna connection?Dodoma ipi me nimekulia na kusomea dodoma ila hao nyoka nimekutana nao mara chache sana pia tuna mashamba kuanzia veyula,mzakwe,zanka na mayamaya kipindi cha kilimo muda mwingi huwa tunakuwa huko lakini ni mara chache sana utakutana na nyoka
Ahahaahahah😃😃😃Dodoma ni kama jangwani hasa miezi hii.hapa tu navyo comment nipo nakimbizwa hospitali baada ya kugongwa na nyoka hapa chinangari
Sahihi mkuuUsjie ukauza shamba lako kisa nyoka maana huko ni potential area
Hakuna Mkataba (makubaliano yenye nguvu ya Kisheria) uliowekwa. Hiyo bro, tuhesabu tu "Imekula kwetu" bwashee.sasa kama inajulikana wazungu ndo waliowaleta ao nyoka kwanini adi leo hatujawashtaki walipe fidia au waondoe ao nyoka?
Nyoka wapo maporini e.g. Kongwa, Mpwapwa (kule Ving'awe) n.k. - hawapo mjini na viunga vyake.Mbona hatujasikia wanafunzi UDOM wakilalamikia hilo suala na wapo ndichi kule
Sawa sawa mkuuNyoka wapo maporini e.g. Kongwa, Mpwapwa (kule Ving'awe) n.k. - hawapo mjini na viunga vyake.
Dodoma hadi singida ni semi desert naturaly, so yes lazima ukitane na viumbe vya mazingira hayoHabari za mida hii ndugu wananchi, kifupi mimi siyo mtaalamu wa wanyama ila ni mpenzi na mfuatiliaji wa masuala ya wanyama na makala zao kupitia TV na mitandao.
Nimetembea mikoa karibu yote Tanzania ila nimegundua kuwa dodoma ndo mkoa wenye NYOKA wengi hatari kuliko mikoa yote Tanzania. Pia nimekutana na watu wengine ambao pia wanadai dodoma hakufai, kisa wingi wa NYOKA.
Hii ni orodha ya nyoka ''HATARI" niliowaona kwa macho yangu katika ardhi ya Dodoma.
Koboko (black mamba)
Swila wa msituni (forest cobra)
Nyoka kijiti (twig snake)
Boomslang
Kifutu (puff adder)
Kifutu magamba (saw scalled viper)
Swila mweusi (spitting cobra)
THIBITISHENI AU BATILISHENI HILI KUHUSU DODOMA.
Anhaa 🤔ni hatari endapo utamsumbua kwani hushambulia pindi anapoona maisha yake yako hatarini
Nimekaa Nachingwea miaka 16, sijawahi kusikia baadhi ya aina nyoka aliowata mtoa mada.Bado haijafikia Nachingwea.......
Dogo janja ni wa huko?Kondoa wanakaaa warangi kwa asili Sio watu wachacharikaji sana hawapo aggressive kwenye aspects za kimaisha, huwezi Kuta Mrangi kafanya Wonders katika jambo flan na hawana ushawishi wowote kisiasa waliofanya maajabu sana ni dogo janja na Juma Nkamia
Ni Mrangi yule sema mzaliwa wa Arusha na kilugha chake anakijua vzrDogo janja ni wa huko?
Nilijua ni wa ugwenoNi Mrangi yule sema mzaliwa wa Arusha na kilugha chake anakijua vzr
Naunga mkono morogoro hasa chuo cha ualimu dakawa miaka 2007 palikuwa na nyoka sio mchezo stori za wazee wakasema waliletwa na wazulu kwa maana wapiginia Uhuru wa S.A.Umefika Morogoro?