Nimetembea mikoa mingi Tanzania nimegundua kuwa Dodoma kuna nyoka wengi hatari kuliko mikoa yote Tanzania

Nimetembea mikoa mingi Tanzania nimegundua kuwa Dodoma kuna nyoka wengi hatari kuliko mikoa yote Tanzania

Huko Nachingwea nadhani kunaweza kuwa kunaongoza kwa Nyoka hapa Nchini.

Wale Nyoka wengi waliletwa na Wakoloni kipindi wanaendesha shughuli za kilimo kwenye yale mashamba yao ya kuanzia farm 1 hadi farm 17 ili kudhibiti panya na wadudu wengine waharibifu wa mazao.

Baada ya Wakoloni kuondoka waliacha wale Nyoka wamezaliana kupita kiasi na kuwatelekeza huko maporini.
Mkuu unapajua hadi huko farm 17 ...
Daaah tumepita huko kipindi nipo jkt pale
 
Dodoma ipi me nimekulia na kusomea dodoma ila hao nyoka nimekutana nao mara chache sana pia tuna mashamba kuanzia veyula,mzakwe,zanka na mayamaya kipindi cha kilimo muda mwingi huwa tunakuwa huko lakini ni mara chache sana utakutana na nyoka
Tunatafuta shamba maeneo hayo huna connection?
 
sasa kama inajulikana wazungu ndo waliowaleta ao nyoka kwanini adi leo hatujawashtaki walipe fidia au waondoe ao nyoka?
 
sasa kama inajulikana wazungu ndo waliowaleta ao nyoka kwanini adi leo hatujawashtaki walipe fidia au waondoe ao nyoka?
Hakuna Mkataba (makubaliano yenye nguvu ya Kisheria) uliowekwa. Hiyo bro, tuhesabu tu "Imekula kwetu" bwashee.
 
Habari za mida hii ndugu wananchi, kifupi mimi siyo mtaalamu wa wanyama ila ni mpenzi na mfuatiliaji wa masuala ya wanyama na makala zao kupitia TV na mitandao.

Nimetembea mikoa karibu yote Tanzania ila nimegundua kuwa dodoma ndo mkoa wenye NYOKA wengi hatari kuliko mikoa yote Tanzania. Pia nimekutana na watu wengine ambao pia wanadai dodoma hakufai, kisa wingi wa NYOKA.

Hii ni orodha ya nyoka ''HATARI" niliowaona kwa macho yangu katika ardhi ya Dodoma.

Koboko (black mamba)
Swila wa msituni (forest cobra)
Nyoka kijiti (twig snake)
Boomslang
Kifutu (puff adder)
Kifutu magamba (saw scalled viper)
Swila mweusi (spitting cobra)

THIBITISHENI AU BATILISHENI HILI KUHUSU DODOMA.
Dodoma hadi singida ni semi desert naturaly, so yes lazima ukitane na viumbe vya mazingira hayo
 
Bado haijafikia Nachingwea.......
Nimekaa Nachingwea miaka 16, sijawahi kusikia baadhi ya aina nyoka aliowata mtoa mada.
Nachingwea sijasikia kuonekana koboko
Nyoka kijiti.
Nachingwea, nyoka wengi ni aina ya kifutu, ambao inasemekana walipandwa na wakulima wa karanga, nyoka wa aina nyingine wapo ila siyo wengi.
 
Kondoa wanakaaa warangi kwa asili Sio watu wachacharikaji sana hawapo aggressive kwenye aspects za kimaisha, huwezi Kuta Mrangi kafanya Wonders katika jambo flan na hawana ushawishi wowote kisiasa waliofanya maajabu sana ni dogo janja na Juma Nkamia
Dogo janja ni wa huko?
 
Dodoma hakuna nyoka wengi, Cobra wako Kigoma, Dodoma kuna chatu wadogo wadogo
 
Back
Top Bottom