Nimetembea na mchumba wa Marehemu binamu yangu

Nimetembea na mchumba wa Marehemu binamu yangu

Mnafanya mambo marahisi… siku hizi jamii imeelimika huoni itakuwa ni hatari
Basi mkuu achana nae, Mungu hapendi wewe kumla mchumba wa marehemu binamu, tafuta mwingine...naona kichwa yako nzito nzito tu.
 
Kabla ya yote nini kilimuua binamu yako? Ukishajua hakuna dhambi kumrithi huyo bibie
 
binadamu nyama ya hamu,kama unaoa embu oa usituchoshe huko
 
Hapo laana ipo kwasababu ya uzinzi na si sababu zingine.
Huyo binamu ameshakufa, hata hivyo hawajafunga ndoa.
Hata kama wangefunga ndoa na mmoja kufa hapo hakuna kifungo tena.
Vijana acheni uzinzi, mnalaani maisha yenu wenyewe
 
Yeah,kwakuwa ni marehemu inaweza sound vibaya,wakafikiria labda ulikuwa unamzunguka marehemu.
Inaweza kuleta minong'ono au lawama pia.
Busara ni kuachana naye tu
Lakini hakuna laana yoyote ni vile jamii itakuchukulia hasa ndugu zake na marehemu.
 
Wakuu hapa nimevurugwa.. ni hivi wote tulikuwa hatufahamu yaani hatufahamiani..

Nimeanza kujuana na huyu binti kitambo japo alikuwa ananikataa kumbe alikuwa yupo na binamu yangu. Binamu yangu sasa ni marehemu.

Juzi wakati tunapiga story huyu mwanamke akaanza kuniuliza mimi mtu wa wapi i mean nyumbani ni sehemu gani, nikamuambia akaniuliza unamfahamu baba fulani nikasema simfahamu.. akaniambia aliwahi kufika hiyo sehemu kwa ajili ya kumzika mtu wake si ndio nikahoji huyo mchumba ake yupoje akanielezea aisee ni binamu yangu kabisa damu kabisa

Sasa wakuu nawaza hapa hakuna laana kutembea na mchumba wa binamu yangu tena walikuwa na uchumba rasmi, japo mimi simfahamu binamu yangu ila ndugu zangu wanamfahamu tena mzee wangu ndio anamfahamu kabisa mpk msibani alienda

Je niedelee na uhusiano hakuna shida yoyote ama nimpige chini… kichwa kinaniuma yaani huyu dada mmh
Hiyo mbona hakuna kipingamizi kabisa, watu wanaoa binamu zao sembuse huyo mchumba wa binamu tena binamu mwenyewe ameshatangulia mbele ya haki. Chukua ngoma hiyo.
 
Back
Top Bottom