Feisal2020
JF-Expert Member
- Nov 15, 2018
- 1,113
- 2,656
Imeandikwa sehemu kwenye katiba ya Afrika.. Hakuna kunywa chai siku ya Christmas, ni ku starve mpaka msosi uiveHapo toa hela ya vocha kwa ajili ya kununua mafuta ya kupikia.
Harafu hapo haujui asubuhi kifungua kinywa ni nini