Nimetengeneza 15,632,000/= kwenye betting ndani ya miezi minne

Duh ....very tempting. Huwa natamani kuwa karibu na watu km nyie nitembelee nyota....timu 10+? Hii kitu ni ngumu imenishindaga aisee...
 
unaona sasa mkeka umechanika!!
Ndomana nimesema 'naona chelsea' anashinda sio 'chelsea lazima ashinde', chochote kingetokea pale na kama kusingekua na sare united alikua analala .. halafu pia maelezo yangu nilisema upepo ulikaaga safi kama wiki mbili, ila all in all siwezag na sitaweza bet magoli maana nikifanyaga hivyo napigwa vizuri labda nitembelee nyota ya mtu ..kiufupi nimeshinda mara nyingi ila sio kwa double chance wala magoli (not my favourite options).
 

Juma mpemba unadharau sana kwahiyo sisi tunaotaka kuwa ma propesa bado unatuhakikishia hatutakuwa na pesa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
hasara roho pesa makaratasi.
kamari ni mchezo ya kujifurahisha.
kamari itakuwa mbaya kama utaifanya kuwa chanzo cha mapato yako.
 
Kuuza tips una guarantee ya profit.., siku wakiliwa ni jamaa wameliwa na wewe chako umechukua siku wakipata ndio furaha yako sababu na kesho watarudi ..., win, win situation
Sasa Ndugu,
Huoni jamaa sometimes anacheza singles?
Sio lazima ucheze behewa.

Pili kama unauza tips wanunuaji wako wakapoteze hapo win win situation iko wapi?
 
Hili linawezekana kwenye michezo ambayo kuna sare Kama vile mpira wa miguu. Hapo timu moja yaweza kuzidi 2odds, na ya pili nayo ikazidi 2odds but what about sare??

Pili usidhani Hawa jamaa (bookies) hizi odds wanajitungia tu, nao wananunua pia, na mara nyingi odds hukaribiana au kufanana. So ni nadra sana kukuta bookie mmoja kampa Chelsea Odds nyingi against Man U then mwengine akafanya tofauti.
 
Not in a million years, si useme ni kampuni gani? Au wana operate kwa siri?? Narudia tena hakuna hakuna!!
 
Sasa Ndugu,
Huoni jamaa sometimes anacheza singles?
Sio lazima ucheze behewa.
short term as a leisure kwamba nimeona hii team bookies wameipa odds ambazo sio za halisi unaweza mtu kuweka wager as a leisure; ila kumbuka kwenye kitu unpredictable its hard to do over a long term ukizingatia mwenye mchezo amekupa a wrong end of the stick..., kujikwaa ni kwingi sana hususan kama wagers zako ni kubwa na sio financially tu hata kwa afya

Pili kama unauza tips wanunuaji wako wakapoteze hapo win win situation iko wapi?
Mkuu ndio maana mganga huwa anapata pesa; mtoa tips hakwambiii utoe pesa kiasi gani, tena mara nyingi anatoa tips za singles, pili ukishindwa unasema bahati mbaya ukishinda unarudi unamlipa, ukishinda wote mnashinda.., ukishindwa yeye anashinda..., you win he wins; you lose he wins
 
cheki hapo juu kuna link nimetoa ya oddsportal kuna suggestions wanatoa za sure bets kila wiki bure..., ukishaona kabala haujafurahia kwamba umepata a gold mine nistue pia hapa hapa nikwambie even this though theoretically ni true ila na yenyewe ina hatari zake kubwa tu...,

mfano cheki hapo

1X21X2Profit
Premier League
03/05
14:00
Yenisey - FK Anzi Makhackala
1.65

4.40

7.80
4.0%

https://www.oddsportal.com/sure-bets/

Jamaa yako alisema nikimwonyesha popote pale atanipa 100K tangu jana nimemuonyesha nashangaa bado kimya sijui hajaona
Wall street
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…