kampuni nyingi tanzania now hamna kodi. Inarudishwa kama bonus labda odd changedeposit fee sio tatizo sana; commission na kama upo kwenye nchi kama Africa kodi ni 20% on winnings jambo ambalo UK na nchi nyingine hakuna kodi on winnings, pia kutumia kwenye option tofauti ni bora sababu unaweza kwenda kampuni A by the time unarudi Kampuni B odds zimeshabadilika
M bet wana kodi kubwa sana sportpesa pia na akuna cha bonuskampuni nyingi tanzania now hamna kodi. Inarudishwa kama bonus labda odd change
yaani mtu siriasi kabisa unabetj m-bet? Kampuni zisizo na kodi nyingi sana mkuu. Premier,princess,meridian, playmaster betpawa, na nyingine nimesahau.M bet wana kodi kubwa sana sportpesa pia na akuna cha bonus
Huyu jamaa watu hawamuelewi tu! Umenikumbusha kisa cha dogo mmoja wa Australia alifungiwa na kampuni kwa ajili ya Abitrage na kuanzia hapo nadhani kampuni zote za betting zinachukua odds kwenye source moja so ile variation ya odds inakuwa ndogo sanaaa so watu hawaoni umuhimu tena kuwekeza kwenye sure bets..Hujui unachoongea mkuu sure odds hakuna kitu kama hicho kuna sure bets maana yake ni sports arbitrage unatumia odds za kampuni tofauti mbili ambazo odds zake ni zaidi ya 100 percent unabet kampuni hii kiasi fulani timu A kushinda na Kampuni nyingine Timu A kushindwa hence no matter the outcomes unashinda pesa
Tatizo letu binadamu kitu ambacho hujui ukiambiwa unaona mtu anakusema vibaya badala ya kuuliza huenda ukajua kitu.., nobody knows everything and even a Genius asks questions..., na kila anayekwambia kitu sio negativity bali ana mtizamo tofauti kwahio jibu kwa Hoja kwanini betting ni long term business..
huwezi kulinganisha risks involved kwenye kilimo a betting..., odds za ukilima sehemu yenye mvua nyingi, na uwezekano wa kumwagilizia propability ya kupanda mchicha ukavuna bangi sio sawa na probability ya kubet mfano Barcelona msimu mzima kwamba wanashinda the reality is mwenye kubet mwisho wa siku atalia
Huyu jamaa watu hawamuelewi tu! Umenikumbusha kisa cha dogo mmoja wa Australia alifungiwa na kampuni kwa ajili ya Abitrage na kuanzia hapo nadhani kampuni zote za betting zinachukua odds kwenye source moja so ile variation ya odds inakuwa ndogo sanaaa so watu hawaoni umuhimu tena kuwekeza kwenye sure bets..
Pia sio rahisi kama unavyodhani! Inahitaji utulivu wa hali ya juu na kumbuka odds zinabadilika within a second hasa bookmakers wapo very sharp na sensitive sana wanahisi kuna loophole sehemu! Ingawa kuna kampuni zinajulikana kutoa odds za juu kidogo ili kuvutia watejanaweza kusema nimeelewa vizuri sana. Na hii unaweza pia kutumia kwa option tofauti pia.
Huu hasa ndio ufa nilikuwa nautafuta siku zote.
Shida tu hapa labda kwa kutumia mbinu hii watu watakwama kwenye deposit fee.
Jamani naomba ushauri ni kampuni gan nzuri ya kubet yenye single bet. Maana hawa superbet naona kodi kubwa
Boss mimi ni mfanyabiashara wa Mazao kwa miaka kadhaa sasa. Lakini kitu kimoja lazima tukikubali, tuko kwenye uchumi wa kibepari, uchumi ambao kila kitu kinafanyika. Kile ambacho kikiitwa halali na sheria ya nchi basi hicho ni sehemu ya kupeleka hela kwenye kapu la Taifa. So anachokifanya huyu Wallstreet hakina tofauti na ninachokifanya mimi cha kununua na kuuza mazao. Zote ni shughuli halali za kiuchumi.Sasa tujadili bila mipasho. Sijasema hujasaidia chochote katika uchumi, bali nimeuliza, UMEZALISHA NINI katika uchumi wa taifa? Mfano, chukulia pesa zote zilizopo Tanzania (Za serikali na raia wake wote ni shs.10), huu ni mfano tu, na hii shs.10 tukaiweka kwenye kikapu, tuite huu ndio uchumi wetu wa sh.10. Tusema wewe ndie raia mmoja wapo una miliki shs.3 kati ya hizo 10 zilizopo ndani ya kikapu. Sasa basi, tukachukua shs. 1 yako toka katika 3 ulizokua nazo ndani ya kikapu, maana yake unabaki na 2 ndani ya hilo kapu, halafu zile 7 za serikali tukaziongezea ile moja tuliyokukata kodi, kwahiyo serikali inakuwa na nane, kwahiyo 2 za kwako jumlisha 8 za sasa za serikali tunapata 10 ile ile iliyokuwapo awali kwenye kapu (uchumi wa taifa), hujaongeza chochote. Ila endapo utalima mfano korosho zenye thamani ya shs.3 ambazo mwanzo hazikuwepo katika mahesabu (zimezalishwa bidhaa) maananyakr ni kwamba sasa ndani ya kapu tuna shs. 13/=, hili ni ongezeko katika GDP / uchumi. Sasa legeza ubongo na ujadili kwa nia ya kunielewa na sio kunipinga tu kwa mindset uliyonayo, uwe tayari kujifunza wazo jipya na usiwe rigid, ni hayo tu.
Usijitie wazimu, mfanya biashara anazalisha huduma.muhimu sana ya kutoa bidhaa kutoka ilipozalishwa na kuipeleka sokoni inapohitajika, vinginevyo kila mtu angekuwa anaenda TBL na chupa tupu ya bia na kupanga foleni kununua bia moja na kurudi nayo nyumbani. Yeye anazalisha nn?Boss mimi ni mfanyabiashara wa Mazao kwa miaka kadhaa sasa. Lakini kitu kimoja lazima tukikubali, tuko kwenye uchumi wa kibepari, uchumi ambao kila kitu kinafanyika. Kile ambacho kikiitwa halali na sheria ya nchi basi hicho ni sehemu ya kupeleka hela kwenye kapu la Taifa. So anachokifanya huyu Wallstreet hakina tofauti na ninachokifanya mimi cha kununua na kuuza mazao. Zote ni shughuli halali za kiuchumi.
Mimi nikinunua Mpunga inyonga mpanda wa thamani ya Mil 3 na kwenda kuuza Singida nikaingiza 10 Mil na kisha nikanunua gari..
Na huyu bwana akaweka mil 1 akaingiza Mil 10 akanunua gari hilo hilo
Wote tumefanya shughuli za kiuchumi za halali kwa mujibu wa sheria za nchi.
Dunia inabadilika sana... Dunia ya kuwork hard imepita sana, just work smart!
Hajazalisha, amecheza kamali ametengeneza Mil 15 ambayo ni shughuli halali kabisa na analipa kodi.Usijitie wazimu, mfanya biashara anazalisha huduma.muhimu sana ya kutoa bidhaa kutoka ilipozalishwa na kuipeleka sokoni inapohitajika, vinginevyo kila mtu angekuwa anaenda TBL na chupa tupu ya bia na kupanga foleni kununua bia moja na kurudi nayo nyumbani. Yeye anazalisha nn?
Kutengeneza pesa bila kuzalisha bidhaa au huduma ni utapeli. Sheria isiwe kisingizio, kuna nchi hadi machangudoa wanalipa kodi na wana leseni, lakini haibadiliki kuwa kitendo halali kufanya uchangudoa.Hajazalisha, amecheza kamali ametengeneza Mil 15 ambayo ni shughuli halali kabisa na analipa kodi.
Kama sheria za nchi zimeruhusu, unasemaje si shughuli halali?Kutengeneza pesa bila kuzalisha bidhaa au huduma ni utapeli. Sheria isiwe kisingizio, kuna nchi hadi machangudoa wanalipa kodi na wana leseni, lakini haibadiliki kuwa kitendo halali kufanya uchangudoa.
Leo tukipitisha sheria ya ndoa za mashoga kama wazungu wanavyotaka tufanye, je, itakuwa ni halali kwa wewe kufokolewa kinyesi makalioni na mwanaume mwenzio as per the law?Kama sheria za nchi zimeruhusu, unasemaje si shughuli halali?
Hivi mkuu hauna kazi Ya kufanya Hadi ubishane Na huyo Jamaa? Huoni watu wamempotezea..Kama sheria za nchi zimeruhusu, unasemaje si shughuli halali?
Nadhani hujui maana ya neno HALALI.Leo tukipitisha sheria ya ndoa za mashoga kama wazungu wanavyotaka tufanye, je, itakuwa ni halali kwa wewe kufokolewa kinyesi makalioni na mwanaume mwenzio as per the law?
Dah, nisamehe mkuu! Sintorudia tena. [emoji28]Hivi mkuu hauna kazi Ya kufanya Hadi ubishane Na huyo Jamaa? Huoni watu wamempotezea..
Jibu hoja..Nadhani hujui maana ya neno HALALI.