Natafuta kiki
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 911
- 1,294
Daaah mkuu hebu uwe unakuja unatupa na sisi hizo odds maana wengine hatujawahi shinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3]umeona stake za jamaa lakini!!!!Mnatuharibia vijana hawataki kazi, wamebakia kubet!!
Mkuu mimi nimekuwa sipitishi wiki sijala, lakini mtaji wangu ni elfu kumi, na ikishuka chini ya hapo sijisikii kabisa kugusa betting app yoyote.mods msiunganishe huu uzi
Nimekua mtu wa kubet hapa na pale kwa muda mrefu bila mahesabu, yaani sijui napoteza kiasi gani wala napata kiasi gani.. Mwaka ulipoanza nikaamua nifanye kiufasaha kidogo, nikajipa miezi minne ni detail kila kitu, nijue napoteza au napata kiasi gani kwa muda huo..
Tar 1 January nikadeposit 500,000 kwenye account yangu nikaiandika kama debt mahali., nikaja na formula yangu, nafanya analysis kabla mechi hazijaanza lakini nakuja kuzibetia zikiwa live in play kutokana na trend itavyokwenda..
Nikaanza kuona mafanikio, ile laki 5 nikafanikiwa kuirejesha ilhali Nina pesa kwenye account yangu, nikatafuta safe deposit(sanduku la chuma) ambalo nikiwa naweka pesa zote ambazo nakua nime withdraw nikishinda, yani naweka zote sitoi ata hela ya bia kwenye hela niliyo withdraw...
Kuna ups and downs, kuna kipindi pesa kwenye account inaisha najikopesha tena naweka bila kugusa hela ya kwenye sanduku, wiki Jana nilifanikiwa kujilipa madeni yote niliyojikopesha, na kufanya deposit kwenye sanduku langu nikabaki na 473,000 kwenye account ambayo yote nimeipoteza
The thing is I feel like my game have been down this week and I decided to call it a day, sheria kubwa ya gambling inasema 'know when to walk away' and i feel its time.. Nimepanga sitabet tena mpaka ligi zianze august
Leo nimevunja sanduku langu na kupata ina kama 15.6M.... Nimesha draft plan ya kuifanyia 15M hii laki 6 ngoja nipambane na hii weekend kwanza
Hizi ni baadhi za bets za April tu maana nimeshindwa kuleta za kuanzia jan huko ingekua kazi kubwa, nimeleta Uzi huu nadhani kuna mtu anaweza jifunza kitu hapa, be responsible with your hard earned money, hakikisha you keep your records
Na hawa wazee hawana utani mwezi March niliweka M1 timu moja wakapita nayo
Betting is addictive be careful, bet what you can afford to lose....
Hongera kaka,mods msiunganishe huu uzi
Nimekua mtu wa kubet hapa na pale kwa muda mrefu bila mahesabu, yaani sijui napoteza kiasi gani wala napata kiasi gani.. Mwaka ulipoanza nikaamua nifanye kiufasaha kidogo, nikajipa miezi minne ni detail kila kitu, nijue napoteza au napata kiasi gani kwa muda huo..
Tar 1 January nikadeposit 500,000 kwenye account yangu nikaiandika kama debt mahali., nikaja na formula yangu, nafanya analysis kabla mechi hazijaanza lakini nakuja kuzibetia zikiwa live in play kutokana na trend itavyokwenda..
Nikaanza kuona mafanikio, ile laki 5 nikafanikiwa kuirejesha ilhali Nina pesa kwenye account yangu, nikatafuta safe deposit(sanduku la chuma) ambalo nikiwa naweka pesa zote ambazo nakua nime withdraw nikishinda, yani naweka zote sitoi ata hela ya bia kwenye hela niliyo withdraw...
Kuna ups and downs, kuna kipindi pesa kwenye account inaisha najikopesha tena naweka bila kugusa hela ya kwenye sanduku, wiki Jana nilifanikiwa kujilipa madeni yote niliyojikopesha, na kufanya deposit kwenye sanduku langu nikabaki na 473,000 kwenye account ambayo yote nimeipoteza
The thing is I feel like my game have been down this week and I decided to call it a day, sheria kubwa ya gambling inasema 'know when to walk away' and i feel its time.. Nimepanga sitabet tena mpaka ligi zianze august
Leo nimevunja sanduku langu na kupata ina kama 15.6M.... Nimesha draft plan ya kuifanyia 15M hii laki 6 ngoja nipambane na hii weekend kwanza
Hizi ni baadhi za bets za April tu maana nimeshindwa kuleta za kuanzia jan huko ingekua kazi kubwa, nimeleta Uzi huu nadhani kuna mtu anaweza jifunza kitu hapa, be responsible with your hard earned money, hakikisha you keep your records
Na hawa wazee hawana utani mwezi March niliweka M1 timu moja wakapita nayo
Betting is addictive be careful, bet what you can afford to lose....
Tupo pamoja mkuuDaaah mkuu hebu uwe unakuja unatupa na sisi hizo odds maana wengine hatujawahi shinda
Sijawahi kubeti kwa mhindiUmetumwa na mhindi
ni kweli mkuu kabla ya kugundua betting style yangu nilipigwa sanaUkifanya practical kuna downhills kibao tu, inabidi uwe mvumilivu tu, but its not like walking on a park
hyo ndo stratergy yangu na tangu nlivomaliza chuo 2016....maisha yanaenda kwa betting..kwa sasa naheshimu betting kuliko degreeHakuna biashara inayolipa kama betting muhimu ni kuacha tamaa na ujiwekee kanuni muhimu za uchezaji
Kwa mfano mimi kila mkeka sitaki uzidi 1.80 odds
Na hata mechi iwe na uhakika kiasi gani simpi direct win yoyote nacheza dc
Na odds ya ushindi ni under 2.5 HT inatoa sana hiyo
Muhimu ukishaina unakula usitake kujaribu odds nyingi utapigwa
Anza na laki moja ukiweka odds 1.80 unapata 150 faida ni 50 nakuhakikishia katika mwezi utakosa mara 4 au 5 tu
halijaona nyumbu ilo...stake izo ni mshahara wa mtu *****[emoji3][emoji3][emoji3]umeona stake za jamaa lakini!!!!
Unabet lak aha ha a hauko serious hiyo pressure zaidi ya maji ya zima moto. Bet hero/buku update laki siyo kubet laki upate buku.utakuja kuongea barabarani peke yako.Hakuna biashara inayolipa kama betting muhimu ni kuacha tamaa na ujiwekee kanuni muhimu za uchezaji
Kwa mfano mimi kila mkeka sitaki uzidi 1.80 odds
Na hata mechi iwe na uhakika kiasi gani simpi direct win yoyote nacheza dc
Na odds ya ushindi ni under 2.5 HT inatoa sana hiyo
Muhimu ukishaina unakula usitake kujaribu odds nyingi utapigwa
Anza na laki moja ukiweka odds 1.80 unapata 150 faida ni 50 nakuhakikishia katika mwezi utakosa mara 4 au 5 tu