Nimetengeneza 15,632,000/= kwenye betting ndani ya miezi minne

Nimetengeneza 15,632,000/= kwenye betting ndani ya miezi minne

mods msiunganishe huu uzi

Nimekua mtu wa kubet hapa na pale kwa muda mrefu bila mahesabu, yaani sijui napoteza kiasi gani wala napata kiasi gani.. Mwaka ulipoanza nikaamua nifanye kiufasaha kidogo, nikajipa miezi minne ni detail kila kitu, nijue napoteza au napata kiasi gani kwa muda huo..

Tar 1 January nikadeposit 500,000 kwenye account yangu nikaiandika kama debt mahali., nikaja na formula yangu, nafanya analysis kabla mechi hazijaanza lakini nakuja kuzibetia zikiwa live in play kutokana na trend itavyokwenda..

Nikaanza kuona mafanikio, ile laki 5 nikafanikiwa kuirejesha ilhali Nina pesa kwenye account yangu, nikatafuta safe deposit(sanduku la chuma) ambalo nikiwa naweka pesa zote ambazo nakua nime withdraw nikishinda, yani naweka zote sitoi ata hela ya bia kwenye hela niliyo withdraw...

Kuna ups and downs, kuna kipindi pesa kwenye account inaisha najikopesha tena naweka bila kugusa hela ya kwenye sanduku, wiki Jana nilifanikiwa kujilipa madeni yote niliyojikopesha, na kufanya deposit kwenye sanduku langu nikabaki na 473,000 kwenye account ambayo yote nimeipoteza

The thing is I feel like my game have been down this week and I decided to call it a day, sheria kubwa ya gambling inasema 'know when to walk away' and i feel its time.. Nimepanga sitabet tena mpaka ligi zianze august

Leo nimevunja sanduku langu na kupata ina kama 15.6M.... Nimesha draft plan ya kuifanyia 15M hii laki 6 ngoja nipambane na hii weekend kwanza

Hizi ni baadhi za bets za April tu maana nimeshindwa kuleta za kuanzia jan huko ingekua kazi kubwa, nimeleta Uzi huu nadhani kuna mtu anaweza jifunza kitu hapa, be responsible with your hard earned money, hakikisha you keep your records

Na hawa wazee hawana utani mwezi March niliweka M1 timu moja wakapita nayo

Betting is addictive be careful, bet what you can afford to lose....
Mkuu mimi nimekuwa sipitishi wiki sijala, lakini mtaji wangu ni elfu kumi, na ikishuka chini ya hapo sijisikii kabisa kugusa betting app yoyote.

Ngoja niandae mkakati wa mwaka wa fedha 2019/2020.
 
mods msiunganishe huu uzi

Nimekua mtu wa kubet hapa na pale kwa muda mrefu bila mahesabu, yaani sijui napoteza kiasi gani wala napata kiasi gani.. Mwaka ulipoanza nikaamua nifanye kiufasaha kidogo, nikajipa miezi minne ni detail kila kitu, nijue napoteza au napata kiasi gani kwa muda huo..

Tar 1 January nikadeposit 500,000 kwenye account yangu nikaiandika kama debt mahali., nikaja na formula yangu, nafanya analysis kabla mechi hazijaanza lakini nakuja kuzibetia zikiwa live in play kutokana na trend itavyokwenda..

Nikaanza kuona mafanikio, ile laki 5 nikafanikiwa kuirejesha ilhali Nina pesa kwenye account yangu, nikatafuta safe deposit(sanduku la chuma) ambalo nikiwa naweka pesa zote ambazo nakua nime withdraw nikishinda, yani naweka zote sitoi ata hela ya bia kwenye hela niliyo withdraw...

Kuna ups and downs, kuna kipindi pesa kwenye account inaisha najikopesha tena naweka bila kugusa hela ya kwenye sanduku, wiki Jana nilifanikiwa kujilipa madeni yote niliyojikopesha, na kufanya deposit kwenye sanduku langu nikabaki na 473,000 kwenye account ambayo yote nimeipoteza

The thing is I feel like my game have been down this week and I decided to call it a day, sheria kubwa ya gambling inasema 'know when to walk away' and i feel its time.. Nimepanga sitabet tena mpaka ligi zianze august

Leo nimevunja sanduku langu na kupata ina kama 15.6M.... Nimesha draft plan ya kuifanyia 15M hii laki 6 ngoja nipambane na hii weekend kwanza

Hizi ni baadhi za bets za April tu maana nimeshindwa kuleta za kuanzia jan huko ingekua kazi kubwa, nimeleta Uzi huu nadhani kuna mtu anaweza jifunza kitu hapa, be responsible with your hard earned money, hakikisha you keep your records

Na hawa wazee hawana utani mwezi March niliweka M1 timu moja wakapita nayo

Betting is addictive be careful, bet what you can afford to lose....
Hongera kaka,
Style yako ya stake kubwa imekulipa, kuliko kuweka behewa then anakuja mmoja anazingua.

Pili hii option ya magoli mengi 2nd half kumbe iko njema eee?
 
Wanasema the struggle is real mimi sioni tabu kuweka hata laki 2, na mda mwingi ninabutua tuuu, juzi nimeweka odds 8.kadhaa 150k arsenal tuu kaniua, hapo nilikuwa nivute kama 1.3M na sio mara moja nazivuta, hongera sana masta tatizo langu sijawahi kiweka hayo mahesabu ila madhani mhindi nimetandika zaidi ya 19M, ilannaye kanibutua kweli kweli ila haizidi hata milioni 3 ila si bet kila siku
 
Hakuna biashara inayolipa kama betting muhimu ni kuacha tamaa na ujiwekee kanuni muhimu za uchezaji

Kwa mfano mimi kila mkeka sitaki uzidi 1.80 odds

Na hata mechi iwe na uhakika kiasi gani simpi direct win yoyote nacheza dc


Na odds ya ushindi ni under 2.5 HT inatoa sana hiyo

Muhimu ukishaina unakula usitake kujaribu odds nyingi utapigwa



Anza na laki moja ukiweka odds 1.80 unapata 150 faida ni 50 nakuhakikishia katika mwezi utakosa mara 4 au 5 tu
hyo ndo stratergy yangu na tangu nlivomaliza chuo 2016....maisha yanaenda kwa betting..kwa sasa naheshimu betting kuliko degree
 
Daah me nimepigwa sana hizi jero jero na buku mpka saiz nahisi mhindi namdai kama 700k ila sasa nimegundua kitu na nimeishajua wapi nafeli ,mwaka wa fedha 2019/2020 nataka nifanye kitu special kwanza ni kuepukana na tamaa pili nataka nianze na 50k tu ila kwa nidham sana ,imagine sometime naweka timu kumi na NNE lakin timu moja au mbili zinaharibu tena normal sasa nikiamua kuwa na nidham atarudisha tu chenji zangu na faida kibao ,mapambano yanaendelea na ili ufanikiwe lazima uanze kwa kukosea ,sasa nimekosea sana na nasema imetosha sasa.
 
alafu kuna mabata yanakazana ooh tuache kubet...tufanye kazi...hayo mambo ya kufanya kazi kwa juhudi ni industrial age ndo ilikua ufanye kaz sana upate hela sana..sasa ivi this is information age...watu wanaobet kama kaz wana mawe mbaya...mshahara wa profesa unaingizwa kwa dk 90..mama...eee
 
Mkuu pole sana tena pole sana..., hapo nimefungua screen shot moja una wager mpaka 1.5m kwa wakati mmoja sasa with that amount of risk kwenye game moja na miezi minne una 10 times the amount ambayo sometimes unaweka in single bet kwakweli its a road to disaster...,

Kwa ushauri the house always win in the end hata kama leo ungepata millioni mia moja..., ukibet for a long time hio milioni mia moja itarudi kwao..., why ? Mathematically the Odds are against you..., labda ungekuwa unafanya Surebets kwenye different bookmakers ingawa nayo ni ngumu kupata good odds

Ushauri this is not business do it for leisure
 
Hakuna biashara inayolipa kama betting muhimu ni kuacha tamaa na ujiwekee kanuni muhimu za uchezaji

Kwa mfano mimi kila mkeka sitaki uzidi 1.80 odds

Na hata mechi iwe na uhakika kiasi gani simpi direct win yoyote nacheza dc


Na odds ya ushindi ni under 2.5 HT inatoa sana hiyo

Muhimu ukishaina unakula usitake kujaribu odds nyingi utapigwa



Anza na laki moja ukiweka odds 1.80 unapata 150 faida ni 50 nakuhakikishia katika mwezi utakosa mara 4 au 5 tu
Unabet lak aha ha a hauko serious hiyo pressure zaidi ya maji ya zima moto. Bet hero/buku update laki siyo kubet laki upate buku.utakuja kuongea barabarani peke yako.
 
Back
Top Bottom