Nimetengeneza 15,632,000/= kwenye betting ndani ya miezi minne

Nimetengeneza 15,632,000/= kwenye betting ndani ya miezi minne

Nachojua Bets huwa haziko constant. Lazma uwe na strategy ya kubadilisha mitindo ya kubet. Mfano kuna game ukibetia corners huwa zina uhakika wa kutoa maybe kwa ratio ya 8:2 meaning probability ya kushinda mara nane out of 10 times. Hapo utaona ni rahisi kutengeneza faida zaidi kuliko hasara.

Sasa unatakiwa u capitalize kwenye mbinu husika. Sio kuegama kwenye 3 way huku unaungua deile! Binafsi over/under ndo style nayoiona iko promising kwa upande wangu.
Naunga mkono

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Betting inapresha halafu ni ulevi. Hapa nilipo nawaza nitumie system IPI. Nimechoka kuliwa. Nami nataka niweke kikubwa nipate pakubwa.
Kweli kabisa, betting ni pasua kchwa mkuu. Lakini unachotakiwa kujua ni kuwa usifanye betting kama njia ya kujipatia kipato....ifanye tu kama mchezo wa kawaida; otherwise utaliwa mpaka utaitika: abeee!!! Be careful, betting is addictive!!
 
Kweli kabisa, betting ni pasua kchwa mkuu. Lakini unachotakiwa kujua ni kuwa usifanye betting kama njia ya kujipatia kipato....ifanye tu kama mchezo wa kawaida; otherwise utaliwa mpaka utaitika: abeeeeeeeeeeeeeeee!!! Be careful, betting is addictive!!
Kweli kabisa...
 
Mimi huwa nabet timu3@1.12=1.4,stake 2mil.=2800000,profit 800000,nabet mara2 tu kwa wiki(jmos&j2)=1600000,Option yangu ni "CLEN SHEET NO"kwa team mbovu.this season nimeliwa mara1 tu(lvpool alipigw3-0)..last season sikuliwa hata mara moja.
dah mkuu nipe kautaratibu
 
Nimekua mtu wa kubet hapa na pale kwa muda mrefu bila mahesabu, yaani sijui napoteza kiasi gani wala napata kiasi gani.. Mwaka ulipoanza nikaamua nifanye kiufasaha kidogo, nikajipa miezi minne ni detail kila kitu, nijue napoteza au napata kiasi gani kwa muda huo..

Tar 1 January nikadeposit 500,000 kwenye account yangu nikaiandika kama debt mahali., nikaja na formula yangu, nafanya analysis kabla mechi hazijaanza lakini nakuja kuzibetia zikiwa live in play kutokana na trend itavyokwenda..

Nikaanza kuona mafanikio, ile laki 5 nikafanikiwa kuirejesha ilhali Nina pesa kwenye account yangu, nikatafuta safe deposit(sanduku la chuma) ambalo nikiwa naweka pesa zote ambazo nakua nime withdraw nikishinda, yani naweka zote sitoi ata hela ya bia kwenye hela niliyo withdraw...

Kuna ups and downs, kuna kipindi pesa kwenye account inaisha najikopesha tena naweka bila kugusa hela ya kwenye sanduku, wiki Jana nilifanikiwa kujilipa madeni yote niliyojikopesha, na kufanya deposit kwenye sanduku langu nikabaki na 473,000 kwenye account ambayo yote nimeipoteza

The thing is I feel like my game have been down this week and I decided to call it a day, sheria kubwa ya gambling inasema 'know when to walk away' and i feel its time.. Nimepanga sitabet tena mpaka ligi zianze august

Leo nimevunja sanduku langu na kupata ina kama 15.6M.... Nimesha draft plan ya kuifanyia 15M hii laki 6 ngoja nipambane na hii weekend kwanza

Hizi ni baadhi za bets za April tu maana nimeshindwa kuleta za kuanzia jan huko ingekua kazi kubwa, nimeleta Uzi huu nadhani kuna mtu anaweza jifunza kitu hapa, be responsible with your hard earned money, hakikisha you keep your records

Na hawa wazee hawana utani mwezi March niliweka M1 timu moja wakapita nayo

Betting is addictive be careful, bet what you can afford to lose....View attachment 1082595View attachment 1082596View attachment 1082597View attachment 1082598View attachment 1082599View attachment 1082600View attachment 1082601View attachment 1082602View attachment 1082603View attachment 1082604View attachment 1082605
Mkuu Wall street kama upo hewani naomba sana uje hapa uwape wanao mbinu za kumla Kanjibai maana tumeliwa mpaka tumeitika abeeee! Si kwa kuliwa huku aisee! Spurs na Man City watatufilisi mwaka huu.
 
Nani anajua na anafanyaje.., huwezi kuniambia kwamba tucheze mchezo wenye probability ya matokeo aina tatu au mbili wewe ukishinda nakupa 60% mimi nikishinda unanipa 30% alafu useme long term hicho kitu kinawezekana wewe kumshinda mwenye mchezo..., for your information nina about 40 documents za betting systems and strategies na nyingine ambazo theoretically mwisho wa siku utashinda (not practically) na zote mwisho wa siku they are doomed to failure..., if you want to play cheza kama game (leisure) its neither a business nor money making scheme..
Karibu kwenye kilimo ndugu ndio utajua kuwa kilimo ni zaidi ya kubet....mwaka jana jua iliangamiza mipunga, mwaka huu mafuriko yamebeba mpungana yaliyopatikana bei ndio imekuwa ya Hasara ni mara kumi napataga pesa kwenye mtandao Forex na betting 100k havinipgag chenga ila kilimo ni kama vikoba haina faida yoyote unawek 3M unakuja kupata 5M after six months or more. Mtu anaekushaur kuhusu kilimo hakutakii mema anataka uwe maskn wa kutupwa usione tu watu wanapga picha wakiwa mashambani wanaopata faida ni wanaolima mashamba makubwa 50 acres and above ila wa 1-5acres bora bora ufanye shuguli zngne unaweza ukalima vizur kila kitu kikaa poa ngoja uje uvune utavuna gunia 5 alaf kitu kilishona hatar, nyie sikien tu kwenye whatsapp UCHAWI ni noma.
Betting, Forex and other online businesses are the best businesses i can say coz zna risk kubwa na kipato kikubwa.
 
Umekuza kipato chako bila kufanya kazi (kuzalisha huduma / bidhaa), kwa lugha nyingine tunaita wizi / utapeli. Na ndio maana kuna vita inapigwa kuzifungia hivi vichaka vya wezi na matapeli.
Kiongozi dunia ishahama huko now tupo ulimwengu mwingine kwahyo wakina Diamond, Alikiba hawkuz kipato cha nchi?? tatzo umekariri na kama ungesoma Economics usingepata shida. Uchumi unakuzwa kwa njia nyingi kuna watu wanatumia akili ila wanalipa Tax wanajenga nchi na kuna wengine wanatumia nguvu nao wanajenga nchi ila usikwepe tu Government tax sasa mtu anaeBET analipa tax kwenye slip yake anayopewa akishnda kama akipgwa hile aliyoBetia inakatwa 20% ya TRA.
Alaf hakuna aliewahi kutajirika kwa kufanya kazi ngumu utabaki tu unajiona kuwa wewe ndio bora ila ukianza kuzeeka utaanza kuwapa nduguyo shida kukutunza.

Na kwa kuwa kila mtu analisha fsmilia yake na anajilisha mwenyewe mwacheni afanye kazi ameona ina manufaa.
Kazi ngumu zingekuwa znalipa wakulima vijijin wasingekuwa wanaomba nguo kutoka mjni wanalima miaka nenda rudi na life style ni hile hile .
 
Nimekua mtu wa kubet hapa na pale kwa muda mrefu bila mahesabu, yaani sijui napoteza kiasi gani wala napata kiasi gani.. Mwaka ulipoanza nikaamua nifanye kiufasaha kidogo, nikajipa miezi minne ni detail kila kitu, nijue napoteza au napata kiasi gani kwa muda huo..

Tar 1 January nikadeposit 500,000 kwenye account yangu nikaiandika kama debt mahali., nikaja na formula yangu, nafanya analysis kabla mechi hazijaanza lakini nakuja kuzibetia zikiwa live in play kutokana na trend itavyokwenda..

Nikaanza kuona mafanikio, ile laki 5 nikafanikiwa kuirejesha ilhali Nina pesa kwenye account yangu, nikatafuta safe deposit(sanduku la chuma) ambalo nikiwa naweka pesa zote ambazo nakua nime withdraw nikishinda, yani naweka zote sitoi ata hela ya bia kwenye hela niliyo withdraw...

Kuna ups and downs, kuna kipindi pesa kwenye account inaisha najikopesha tena naweka bila kugusa hela ya kwenye sanduku, wiki Jana nilifanikiwa kujilipa madeni yote niliyojikopesha, na kufanya deposit kwenye sanduku langu nikabaki na 473,000 kwenye account ambayo yote nimeipoteza

The thing is I feel like my game have been down this week and I decided to call it a day, sheria kubwa ya gambling inasema 'know when to walk away' and i feel its time.. Nimepanga sitabet tena mpaka ligi zianze august

Leo nimevunja sanduku langu na kupata ina kama 15.6M.... Nimesha draft plan ya kuifanyia 15M hii laki 6 ngoja nipambane na hii weekend kwanza

Hizi ni baadhi za bets za April tu maana nimeshindwa kuleta za kuanzia jan huko ingekua kazi kubwa, nimeleta Uzi huu nadhani kuna mtu anaweza jifunza kitu hapa, be responsible with your hard earned money, hakikisha you keep your records

Na hawa wazee hawana utani mwezi March niliweka M1 timu moja wakapita nayo

Betting is addictive be careful, bet what you can afford to lose....View attachment 1082595View attachment 1082596View attachment 1082597View attachment 1082598View attachment 1082599View attachment 1082600View attachment 1082601View attachment 1082602View attachment 1082603View attachment 1082604View attachment 1082605
Kwahiyo unataka sisi tufanyeje engine hatuwezi kbs kubet labda nikole hela we unifsnyie hiye makita ila BETTING MNA ROHO JAMANI
 
We kiazi umeona ajira ndo kila kitu .?
Mwambie kwamba watu tunaobet ndiowatengenezaji wakubwa wa ajira hapa nchini. Mkumbushe kwamba makampuni ya betting yameajiri mamilioni ya watanzania kama mafundi, mawakala, masekretaries, wahudumu wa ofisi na ajira nyingine kedekede. Sisi tukiacha kubet, ajira zote hizi zitapotea. Hajui kuunganisha nukta huyo mshamba, anahitaji kuelimishwa...hakwenda shule. Angekuwa ameenda shule angefahamu maana ya multiplier effect.
We kiazi umeona ajira ndo kila kitu .?
 
Karibu kwenye kilimo ndugu ndio utajua kuwa kilimo ni zaidi ya kubet....mwaka jana jua iliangamiza mipunga, mwaka huu mafuriko yamebeba mpungana yaliyopatikana bei ndio imekuwa ya Hasara ni mara kumi napataga pesa kwenye mtandao Forex na betting 100k havinipgag chenga ila kilimo ni kama vikoba haina faida yoyote unawek 3M unakuja kupata 5M after six months or more. Mtu anaekushaur kuhusu kilimo hakutakii mema anataka uwe maskn wa kutupwa usione tu watu wanapga picha wakiwa mashambani wanaopata faida ni wanaolima mashamba makubwa 50 acres and above ila wa 1-5acres bora bora ufanye shuguli zngne unaweza ukalima vizur kila kitu kikaa poa ngoja uje uvune utavuna gunia 5 alaf kitu kilishona hatar, nyie sikien tu kwenye whatsapp UCHAWI ni noma.
Betting, Forex and other online businesses are the best businesses i can say coz zna risk kubwa na kipato kikubwa.

Kwa hiyo mzee tusizike mamillion kwenye kilimo...tuendelee kuweka mzigo kwenye mikeka yetu tuu
 
Back
Top Bottom