Nimetengeneza 15,632,000/= kwenye betting ndani ya miezi minne

Nimetengeneza 15,632,000/= kwenye betting ndani ya miezi minne

Leo tukipitisha sheria ya ndoa za mashoga kama wazungu wanavyotaka tufanye, je, itakuwa ni halali kwa wewe kufokolewa kinyesi makalioni na mwanaume mwenzio as per the law?
Kaka,
Kwa context ya kidini au kiimani sio halali. Ni kama tu viwanda vya pombe, viko kisheria (Company Act 212), lakini kidini pombe sio halali.

For the purpose of this thread, let put aside religious and believes issues. Sometimes kwenye dunia kama hii ambayo hela ndio kila kitu basi imani hua inakua impaired Sana. Tukitaka tufuate kila kitu cha halali maisha yatakua magumu zaidi.

Turudi kwenye Mada. Strategy ya KeyserSoze aliyoitaja iko sahihi kabisa, Sema ina changamoto zifuatazo.
1) Low yield or High capital required.
Hapa unaona kua return per day ni approximately 5%. Kwamba ukiweka stake ya laki 1 utapata tuseme 5,000/= faida. Ili upate zaidi inabid uwe na mtaji mkubwa. 1mil stake utapata faida 50,000/=

2) Transaction Cost. Sijajua ku deposit hela kwenye kampuni yako utatumia njia gani isiyo na makato. Ki bongo bongo (default) sio makato kivile. Hapa pia namaanisha tuseme umecheza kampuni 3 tofauti na ulioshinda ni kampuni "B". Sasa ukitaka kubet tena kesho yake na stake kubwa unataka uiweke kampuni "A" itabidi uhamishe hamishe hapo.

3) Kodi. Kama yield ni ndogo basi pale inapokua taxed ndio inazidi kupungua zaidi. Makampuni ya nje hayana kodi, lakini wengi tumezoea kubeti kwenye haya yaliyoko hapa nchini. Na yenye kodi yaweza kua na odds ndogo.

4) Kupata Maximum odds. Ile website uliyoweka inatoa suggestions ya kampuni za nje, je odds zilizoonyeshwa pale zaweza kupatikana kwenye local companies na zika maximize profit?

5) Kubadilika kwa odds. Kuna makampuni yamekaa kitapeli. Odds unayoiona pale eti ukiwekea bet ndo wanakuambia imebadilika.

All in all ni strategy nzuri kwa wenye mtaji, coz at any point you must win
 
Kaka,
Kwa context ya kidini au kiimani sio halali. Ni kama tu viwanda vya pombe, viko kisheria (Company Act 212), lakini kidini pombe sio halali.

For the purpose of this thread, let put aside religious and believes issues. Sometimes kwenye dunia kama hii ambayo hela ndio kila kitu basi imani hua inakua impaired Sana. Tukitaka tufuate kila kitu cha halali maisha yatakua magumu zaidi.

Turudi kwenye Mada. Strategy ya KeyserSoze aliyoitaja iko sahihi kabisa, Sema ina changamoto zifuatazo.
1) Low yield or High capital required.
Hapa unaona kua return per day ni approximately 5%. Kwamba ukiweka stake ya laki 1 utapata tuseme 5,000/= faida. Ili upate zaidi inabid uwe na mtaji mkubwa. 1mil stake utapata faida 50,000/=

2) Transaction Cost. Sijajua ku deposit hela kwenye kampuni yako utatumia njia gani isiyo na makato. Ki bongo bongo (default) sio makato kivile. Hapa pia namaanisha tuseme umecheza kampuni 3 tofauti na ulioshinda ni kampuni "B". Sasa ukitaka kubet tena kesho yake na stake kubwa unataka uiweke kampuni "A" itabidi uhamishe hamishe hapo.

3) Kodi. Kama yield ni ndogo basi pale inapokua taxed ndio inazidi kupungua zaidi. Makampuni ya nje hayana kodi, lakini wengi tumezoea kubeti kwenye haya yaliyoko hapa nchini. Na yenye kodi yaweza kua na odds ndogo.

4) Kupata Maximum odds. Ile website uliyoweka inatoa suggestions ya kampuni za nje, je odds zilizoonyeshwa pale zaweza kupatikana kwenye local companies na zika maximize profit?

5) Kubadilika kwa odds. Kuna makampuni yamekaa kitapeli. Odds unayoiona pale eti ukiwekea bet ndo wanakuambia imebadilika.

All in all ni strategy nzuri kwa wenye mtaji, coz at any point you must win
Mkuu that is not a strategy at all, karibia kampuni zote odds zina vary kidogo sana, kupata odds kama 1.65win, 4.40 draw, 7.50 win unaweza kuzipata once in a year

Kama jamaa anabisha mwambie atutaftie odds kama hizo kwenye any upcoming event,
 
Kaka,
Kwa context ya kidini au kiimani sio halali. Ni kama tu viwanda vya pombe, viko kisheria (Company Act 212), lakini kidini pombe sio halali.

For the purpose of this thread, let put aside religious and believes issues. Sometimes kwenye dunia kama hii ambayo hela ndio kila kitu basi imani hua inakua impaired Sana. Tukitaka tufuate kila kitu cha halali maisha yatakua magumu zaidi.

Turudi kwenye Mada. Strategy ya KeyserSoze aliyoitaja iko sahihi kabisa, Sema ina changamoto zifuatazo.
1) Low yield or High capital required.
Hapa unaona kua return per day ni approximately 5%. Kwamba ukiweka stake ya laki 1 utapata tuseme 5,000/= faida. Ili upate zaidi inabid uwe na mtaji mkubwa. 1mil stake utapata faida 50,000/=

2) Transaction Cost. Sijajua ku deposit hela kwenye kampuni yako utatumia njia gani isiyo na makato. Ki bongo bongo (default) sio makato kivile. Hapa pia namaanisha tuseme umecheza kampuni 3 tofauti na ulioshinda ni kampuni "B". Sasa ukitaka kubet tena kesho yake na stake kubwa unataka uiweke kampuni "A" itabidi uhamishe hamishe hapo.

3) Kodi. Kama yield ni ndogo basi pale inapokua taxed ndio inazidi kupungua zaidi. Makampuni ya nje hayana kodi, lakini wengi tumezoea kubeti kwenye haya yaliyoko hapa nchini. Na yenye kodi yaweza kua na odds ndogo.

4) Kupata Maximum odds. Ile website uliyoweka inatoa suggestions ya kampuni za nje, je odds zilizoonyeshwa pale zaweza kupatikana kwenye local companies na zika maximize profit?

5) Kubadilika kwa odds. Kuna makampuni yamekaa kitapeli. Odds unayoiona pale eti ukiwekea bet ndo wanakuambia imebadilika.

All in all ni strategy nzuri kwa wenye mtaji, coz at any point you must win
Mimi sijaongelea kuhusu masuala ya imani au dini, nimeongelea OBJECTIVELY and with a logical and common sense approach, hatuwezi tukawa na taifa la watu wanaotegemea kuishi bila kuzalisha bidhaa au huduma yoyote ile, its plain simple economics, hakuna uzalisha maana yake hakuna uchumi, unahitaji imani ndio ikwambie hii si sawa?
 
Mkuu that is not a strategy at all, karibia kampuni zote odds zina vary kidogo sana, kupata odds kama 1.65win, 4.40 draw, 7.50 win unaweza kuzipata once in a year

Kama jamaa anabisha mwambie atutaftie odds kama hizo kwenye any upcoming event,
Ngoja niangalie link aliyoweka kisha kwenye bookies wetu
Mimi sijaongelea kuhusu masuala ya imani au dini, nimeongelea OBJECTIVELY and with a logical and common sense approach, hatuwezi tukawa na taifa la watu wanaotegemea kuishi bila kuzalisha bidhaa au huduma yoyote ile, its plain simple economics, hakuna uzalisha maana yake hakuna uchumi, unahitaji imani ndio ikwambie hii si sawa?
Nina mashaka na ufahamu wako katika maswala ya uchumi,
Hata bila betting kuwepo still watu wanaoishi bila kuzalisha walikuwepo na wataendelea kuwepo. Hakuna nchi isiyo na watu wa aina hii hata nchi zisizoruhusu betting. Si kila mtu katika kila nchi ni mzalishaji.

Lakini uwepo wa watu hawa haimaanishi basi hakuna sekta ingine hazipo, wazalishaji wapo na wasiozalisha pia wapo.
 
Hivi haka kauzi kanahusiana na wazee wa forex..maana hata yule mzee was forex alikujaga hivi hivi na stori za mashamba baadae utasikia natoa kozi...all in all uchumi unaoendeshwa na betting ni uchumi mfu .....BET for fun ila fanya kazi za kuingizia taifa...unawapotosha watoto
 
Hivi haka kauzi kanahusiana na wazee wa forex..maana hata yule mzee was forex alikujaga hivi hivi na stori za mashamba baadae utasikia natoa kozi...all in all uchumi unaoendeshwa na betting ni uchumi mfu .....BET for fun ila fanya kazi za kuingizia taifa...unawapotosha watoto
kusema nimeshinda kunapotosha vipi watu? Kuna watoto humu ndani ambao hawawezi kufanya maamuzi yao binafsi?

Na kwenye betting hakuna sure outcome, ikitokea mtu akikuambia umpe hela akupe odds utakua mjinga wa kiwango cha lami,

Naona ushaniattack hapo kua sina kazi!!! Unanifahamu???
 
Wengine manyani wazee bana tushazoea mishale mingi humu jf alianzaga jamaa anaitwa ontario na forex...weye ndugu yetu nawe umekuja na mamilioni ye alikuja na sijui kulima mashamba kwa siku 30 akapiga mamilion....
kusema nimeshinda kunapotosha vipi watu? Kuna watoto humu ndani ambao hawawezi kufanya maamuzi yao binafsi?

Na kwenye betting hakuna sure outcome, ikitokea mtu akikuambia umpe hela akupe odds utakua mjinga wa kiwango cha lami,

Naona ushaniattack hapo kua sina kazi!!! Unanifahamu???
Ila wadau walikuja mwona hapa https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1529567/
 
Mi nimetoa insights zangu nashangaa kuna watu wanatoa mapovu
Ontario alijibu hv 'i never realy invested energy in forex..because i knew from the roots you get rich by inducting it to losers.'kuna neno wanasema ukiona mtu anakupeleka kukuonyesha fursa....basi ujue we ndo fursa.....
 
Wengine manyani wazee bana tushazoea mishale mingi humu jf alianzaga jamaa anaitwa ontario na forex...weye ndugu yetu nawe umekuja na mamilioni ye alikuja na sijui kulima mashamba kwa siku 30 akapiga mamilion....Ila wadau walikuja mwona hapa https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1529567/
Sasa mkuu mi sielewi kwenye betting mtu anakutapeli vipi kwa mfano??

Kuna wapuuzi wanatapeliwa eti unauziwa sure fixed odds!! Ukifika stage hio ya kuuziwa odds basi utakua mjinga kiwango cha lami na una kila haki ya kutapeliwa
 
Maisha Hayako Fair Kabisa, Yaani mshahara wa mwalimu wa miezi kumi, mtu kwenye betting anaupata ndani ya dk 15 tu, hahaha
tapatalk_1552155167195.jpeg
 
Ni angalizo tu kiongozi...hongers kwa ushindi wako mnono...ila tatizo watanzania tuna ile kasumba ya unyumbu wasijetokea wadau wakaitumia fursa hiyo kuwapotosha wengine....na lazima tukubalianebetting is very addictive game ndo maana lazima uwe na miaka 18 ila hv katibuni nchi imekua inaendeshwa na betting na we ni shahidi watoto hawaendi shule wanashinda kwe vibanda vya kubet...all in all ni kama kuuza banghe....tupac alisema kwe changes "I made a G today" But you made it in a sleazy waySellin' crack to the kid. " I gotta get paid, "Well hey, well that's the way it is
Sasa mkuu mi sielewi kwenye betting mtu anakutapeli vipi kwa mfano??

Kuna wapuuzi wanatapeliwa eti unauziwa sure fixed odds!! Ukifika stage hio ya kuuziwa odds basi utakua mjinga kiwango cha lami na una kila haki ya kutapeliwa
 
Wewe huwa unafanya kazi ili upate nn, acha mawazo Mfuu
Pole kijana. Nipe mfano wa mtu au watu waliotoboa maisha kwa kubeti . wanaoingiza pesa kwa kazi ndio hufanikiwa Na kutoboa sio kubeti . ila endeleeni siku mkiangukia pua ndio mtatubu Na kujua kiwa kubeti hufilisi! Akili na nguvu
 
Back
Top Bottom