African Geek
JF-Expert Member
- Jul 29, 2022
- 817
- 1,470
Mpunga wa marketing ndio tatizo π₯Hongera create yako usicopy huenda ipo siku utatoboa
inagharimu kiasi gani?Mpunga wa marketing ndio tatizo π₯
Kampuni kama META na zinginezo zinatia mabilioni ya pesa kwenye kutangaza mitandao yao. Na ndio maana wamefanikiwa kukusanya watu wengi kwenye mitandao yaoinagharimu kiasi gani?
kwa level zao ni sawa ila kwa unaeanza huwezi kuwekeza sana kwenye matangazo ni uwe mbunifu ili watu wavutiwe na ubunifu unaopatikana kwenye app yakoKampuni kama META na zinginezo zinatia mabilioni ya pesa kwenye kutanganza mitandao yao. Na ndio maana wamefanikiwa kukusanya watu wengi kwenye mitandao yao
Yah lazima wanishtaki kama nikiipublish kwa mfanano huo. Hata hivyo sijaifanya kuwa serious projectOngezea LTE mbele ya app utishe au wata kuban kwenye Copyright
Karibu mkuu. Muda wako tuNamimi nifundixhe kutengeneza app
Bado utahitaji pesa ili ubunifu wako uweze kuonekana na watu wengi. Pia ni ngumu kuwa mbunifu kama hauko financially stable.kwa level zao ni sawa ila kwa unaeanza huwezi kuwekeza sana kwenye matangazo ni uwe mbunifu ili watu wavutiwe na ubunifu unaopatikana kwenye app yako
Nifundixhe sasa nianzishe app naomba process kakaKaribu mkuu. Muda wako tu
Unavyoongea hivi unadhani kutengeneza app ni kama kulima majaruba au sioNifundixhe sasa nianzishe app naomba process kaka
Jifunze programming language kwanza.Nifundixhe sasa nianzishe app naomba process kaka
Nimempa homework aanze kujifunza programming language moja ili apate tasteUnavyoonge hivi unadhani kutengeneza app ni kama kulima majaruba au sio
inawezekana ikawa hivyo lakini zipo app ambazo zilianza kawaida ila kutokana na ubunifu na uniqueness yake zikakua na kukuza soko lake. Baada ya hapo ndio mengineyo hufuataBado utahitaji pesa ili ubunifu wako uweze kuonekana na watu wengi. Pia ni ngumu kuwa mbunifu kama hauko financially stable.
Kwahiyo pesa ni mandatory
Kingereza auJifunze programming language kwanza.
Aiseee kazi ipo π€£π€£π€£π€£π€£Kingereza au