dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
- Thread starter
-
- #21
Mkuu kwa kwlei baada ya kuacha kilevi nimepoteza marafiki nimekuwa nakutana ana watu wa ajabu ajabu Mara wengine waimba kwaya Mara wengine wasengenyaji yaani acha kbsa watu wa ovyo tuWanakuogopa.Watu wasiobugia masanga wengi wao huwa wasengenyaji,malaya,watu wa kudharau wanywaji,wanawatisha wanywaji kwamba watachomwa Moto na huwa ni waongowaongo si wa kweli.Kinyume kabisa na wanywaji.Wewe nenda utafute wacheza bao au wanywa kahawa kwa kashata tu.
HV bavari moja Bei gani ,na je nikivitumia sinitaoneka Kama najiona special fln hv1. Hata kama hunywi pombe, agiza kinywaji ambacho walau muhudumu unampa uzito wa kukuhudumia, mf bavaria non alc, baltika, malta. Sio fanta kama binti wa kilokole yuko kwenye duka la kanisa anamsubiri mwanakwaya mwenzie.
2. Ukiacha pombe, usiende bar, utarudi tu. Ni sawa unasema umeacha nunua malaya halafu huishii kwenda Kimboka.
Umeona nuru, na siku zote nuru na giza havikai pamoja, jitahidi kubadili campany... Au tafuta hobby ingine🙏Wakuu Hili Jambo limenikera Sana
Iko HV ,Mimi nilikuwa mtumiaji wa pombe yaani kwa kifupi nilikuwa nabungia Kweli kweli pombe na pombe zangu ilikuwa ni kama ifuatavyo
Napenda kutumia
Kilimanjaro lager au
Safari lager au
Konyagi au
K vant au
Grants ,
Maserengeti lite na matakataka mengine ya type hyo situmii Wala vinywaji vya SBL sisipendi .
Sasa jusi Kuna jamaa angu hakujuwa Kama mm sasa hivi nimeacha pombe aliniita tukutane chakoni chako dodoma hapa Basi akijuwa kbsa mm Ni mdau muhimu wa bia za kilimanjaro,yey alikuwa anatupia castel lager .Basi akamuita muhudu akamuambia mletee huyu brazaa bia sita za barid zote ziwe hapa ndipo nikamuambia kuwa asante mkuu ile leo siko sawa nimetumiaa dawa za typhoid ila mm niliogapa kumchna live kuwa situmii kwa Sasa hivi vilevi. ikabidi nimuongopee kwa siku hyo basi mm nikaagiza fanta orange na kuendele kumpa kampani Yule jamaa angu huku tukiagiza kuku mzima Basi tukamaliza tuagaana freshi .
Mwezi wa sita mwanzoni nilisafri kwenda singida nikaktuana na jamaa angu pia ambae yeye hzo Serengeti lite akiweka mdomoni anakata yote,kweli aliniagiziaa akashanga kumuambia kuwa kwa sasa nimeacha kbsa hakuamini kbsa na Kweli hakufurahi kusikia hivyo Kama vile alihuzunika mm kuacha pombe haikupita Muda akanimbia tuondoke hapa wakt tukiwa pmj tunaweza kukaha had saa Saba tunapiga vyombo tu [emoji481] [emoji481].
Week iliyopita nilikutana na Yule jamaa angu wa mwanzo tulikuwa tunaangali ngumi kaweny pub moja hivi jamaa Kama kawa akagiza mapombe yake Kisha akaniagizia na mm ndipo nikamchna ukweli kuwa kwa SAS nimeacha pombe hat nikamuambia kuwa hata hyo siku tulivyokutana hapo chakonichako sikuwa naumwa Basi tu nimeamua kuacha [emoji41] Kama vile hajapenda hbr hzo
Jamaa alipiga bia 2 tu Kisha akasepa nikamuambia tulia mzee uletewe vitu akanigomea ofa zangu akaniaga Kama vile amechukizwa mm kuacha pombe na wkt kampani yake ilikuwa mm na jamaa wengine wa town .
Kumbe pasipo kujuwa yule jamaa akaenda kuzambaza habar kwa marafiki zangu na Wana wengine kuwa kwa Sasa hivi mimu nimeokoka ,hvyo nitengwe
Leo nimegundua Hilo baada ya kuona jpili imekuwa ndefu mno nikampigia mshikaji wangu mwingine kuumuliza Yuko pande zipi ndipo akanichana live kuwa Sasa hivi hutumia pombe naenda kufanya nn bar na wao wanakunywa na hata hvyo anajuwa kwa sasa mm nimeoka . nimeshangazwa na taarifa zake za ulokole wangu wakt mm binafis sijaokoka ila nimaamuzi tu nimefikia baada ya kutokuona faida yoyote Zaid ya hasara kwa vile nilikuwa naweza kwa siku tatu yaani ijumaa ,jmosi ,jpili nikatumia Zaid ya 230,000 nearly
Kwa Kweli mm siwezi kukaha nyumbani Muda wote napendelea kuwepo na washakaji tukichill mahali either kuchoma mbuzi au ku hang sehemu tulivu na kuenjoy SAS sahv leo nawacheki Wana wote wamenikataa kbsa naona Niko peke angu tu nawaza kutengua kauli zangu au nimove tu na maisha ya bila pombe
nilikwensa bar Jana nikaawa nimeagiza Fanta orange Kama muhudumu alionesha dharau fln baada ya mm kudai chenji yangu shilingi Mia mbili
Nifanyeje hi Hali nizoee
Sent from my technology
Ushone kabisa na mashati ya vitenge yenye mifuko mipana uwe unaweka vitabu vya dini.Mkuu kwa kwlei baada ya kuacha kilevi nimepoteza marafiki nimekuwa nakutana ana watu wa ajabu ajabu Mara wengine waimba kwaya Mara wengine wasengenyaji yaani acha kbsa watu wa ovyo tu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nashukuru sitaki nirudi huko kbsa had ndugu zangu , familia wanashangaa imekuaje situmii pombeUmeona nuru, na siku zote nuru na giza havikai pamoja, jitahidi kubadili campany... Au tafuta hobby ingine[emoji120]
[emoji23][emoji23][emoji23]Ushone kabisa na mashati ya vitenge yenye mifuko mipana uwe unaweka vitabu vya dini.
Jitahidi wewe ndiye uwe mtu wa kuwatenga marafiki, si wa kutengwa na marafiki.Wakuu Hili Jambo limenikera Sana
Iko HV ,Mimi nilikuwa mtumiaji wa pombe yaani kwa kifupi nilikuwa nabungia Kweli kweli pombe na pombe zangu ilikuwa ni kama ifuatavyo
Napenda kutumia
Kilimanjaro lager au
Safari lager au
Konyagi au
K vant au
Grants ,
Maserengeti lite na matakataka mengine ya type hyo situmii Wala vinywaji vya SBL sisipendi .
Sasa jusi Kuna jamaa angu hakujuwa Kama mm sasa hivi nimeacha pombe aliniita tukutane chakoni chako dodoma hapa Basi akijuwa kbsa mm Ni mdau muhimu wa bia za kilimanjaro,yey alikuwa anatupia castel lager .Basi akamuita muhudu akamuambia mletee huyu brazaa bia sita za barid zote ziwe hapa ndipo nikamuambia kuwa asante mkuu ile leo siko sawa nimetumiaa dawa za typhoid ila mm niliogapa kumchna live kuwa situmii kwa Sasa hivi vilevi. ikabidi nimuongopee kwa siku hyo basi mm nikaagiza fanta orange na kuendele kumpa kampani Yule jamaa angu huku tukiagiza kuku mzima Basi tukamaliza tuagaana freshi .
Mwezi wa sita mwanzoni nilisafri kwenda singida nikaktuana na jamaa angu pia ambae yeye hzo Serengeti lite akiweka mdomoni anakata yote,kweli aliniagiziaa akashanga kumuambia kuwa kwa sasa nimeacha kbsa hakuamini kbsa na Kweli hakufurahi kusikia hivyo Kama vile alihuzunika mm kuacha pombe haikupita Muda akanimbia tuondoke hapa wakt tukiwa pmj tunaweza kukaha had saa Saba tunapiga vyombo tu [emoji481] [emoji481].
Week iliyopita nilikutana na Yule jamaa angu wa mwanzo tulikuwa tunaangali ngumi kaweny pub moja hivi jamaa Kama kawa akagiza mapombe yake Kisha akaniagizia na mm ndipo nikamchna ukweli kuwa kwa SAS nimeacha pombe hat nikamuambia kuwa hata hyo siku tulivyokutana hapo chakonichako sikuwa naumwa Basi tu nimeamua kuacha [emoji41] Kama vile hajapenda hbr hzo
Jamaa alipiga bia 2 tu Kisha akasepa nikamuambia tulia mzee uletewe vitu akanigomea ofa zangu akaniaga Kama vile amechukizwa mm kuacha pombe na wkt kampani yake ilikuwa mm na jamaa wengine wa town .
Kumbe pasipo kujuwa yule jamaa akaenda kuzambaza habar kwa marafiki zangu na Wana wengine kuwa kwa Sasa hivi mimu nimeokoka ,hvyo nitengwe
Leo nimegundua Hilo baada ya kuona jpili imekuwa ndefu mno nikampigia mshikaji wangu mwingine kuumuliza Yuko pande zipi ndipo akanichana live kuwa Sasa hivi hutumia pombe naenda kufanya nn bar na wao wanakunywa na hata hvyo anajuwa kwa sasa mm nimeoka . nimeshangazwa na taarifa zake za ulokole wangu wakt mm binafis sijaokoka ila nimaamuzi tu nimefikia baada ya kutokuona faida yoyote Zaid ya hasara kwa vile nilikuwa naweza kwa siku tatu yaani ijumaa ,jmosi ,jpili nikatumia Zaid ya 230,000 nearly
Kwa Kweli mm siwezi kukaha nyumbani Muda wote napendelea kuwepo na washakaji tukichill mahali either kuchoma mbuzi au ku hang sehemu tulivu na kuenjoy SAS sahv leo nawacheki Wana wote wamenikataa kbsa naona Niko peke angu tu nawaza kutengua kauli zangu au nimove tu na maisha ya bila pombe
nilikwensa bar Jana nikaawa nimeagiza Fanta orange Kama muhudumu alionesha dharau fln baada ya mm kudai chenji yangu shilingi Mia mbili
Nifanyeje hi Hali nizoee
Sent from my technology
Mkuu Niko ilazo karibu na bar maarufu mborikoUje hapa samaki samaki uzungushe raundi
Kazi utakayobakia nayo ni kutembea huku unapiga miluzi laini ukijiimbia hymns.Unapiga na tu-makofi kwa mbali kwa mwendo wa wapendwa.🙏😂
Siyo sawa mkuu lzm kampani iendee Ila mm simply sitaki kuziaa hata harufu ya pombe yoyoteUmeshawahi kuwaona swala wanaishi na simba? Kwa sasa tafuta watu mnaoendena kwenye hizo novida.
Duh mzee acha kunitamanisha walai napenda kampni Ila mipombe sitaki kbsaaMwanangu karibu la vant hapa pande za iringa road
Kwanza nikupe hongera .Pili hoja yangu usiwalazimishe .Tafuta washikaji wengine.Siyo sawa mkuu lzm kampani iendee Ila mm simply sitaki kuziaa hata harufu ya pombe yoyote
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sahih mkuu , cement imepanda Bei kufikia 21500kataa pombe kwa maslahi mapana ya familia
Basi tuungane tupeane kampani Kama upo Kati ya mikoa hz ,ddm ,Arusha au DSMHapana