Nimetengwa na marafiki baada ya kuacha pombe

Nimetengwa na marafiki baada ya kuacha pombe

Nikushukuru Sana mkuu nitaendelea kujisimamia Hadi mwisho Wala cwez kuwadarau wanao tumia hpn Ila kwangu no simenuchosha Nitaletaa siku moja kids iliyonipelekea Hadi kuacha kbsa ulevi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sema imekuokolea pesa nyingi ambazo ungejichanga unge kuwa na kakiwanja ka mtoto akikua ajenge
 
Wakuu Hili Jambo limenikera Sana

Iko HV ,Mimi nilikuwa mtumiaji wa pombe yaani kwa kifupi nilikuwa nabungia Kweli kweli pombe na pombe zangu ilikuwa ni kama ifuatavyo
Napenda kutumia

Kilimanjaro lager au
Safari lager au
Konyagi au
K vant au
Grants ,

Maserengeti lite na matakataka mengine ya type hyo situmii Wala vinywaji vya SBL sisipendi .
Sasa jusi Kuna jamaa angu hakujuwa Kama mm sasa hivi nimeacha pombe aliniita tukutane chakoni chako dodoma hapa Basi akijuwa kbsa mm Ni mdau muhimu wa bia za kilimanjaro,yey alikuwa anatupia castel lager .Basi akamuita muhudu akamuambia mletee huyu brazaa bia sita za barid zote ziwe hapa ndipo nikamuambia kuwa asante mkuu ile leo siko sawa nimetumiaa dawa za typhoid ila mm niliogapa kumchna live kuwa situmii kwa Sasa hivi vilevi. ikabidi nimuongopee kwa siku hyo basi mm nikaagiza fanta orange na kuendele kumpa kampani Yule jamaa angu huku tukiagiza kuku mzima Basi tukamaliza tuagaana freshi .


Mwezi wa sita mwanzoni nilisafri kwenda singida nikaktuana na jamaa angu pia ambae yeye hzo Serengeti lite akiweka mdomoni anakata yote,kweli aliniagiziaa akashanga kumuambia kuwa kwa sasa nimeacha kbsa hakuamini kbsa na Kweli hakufurahi kusikia hivyo Kama vile alihuzunika mm kuacha pombe haikupita Muda akanimbia tuondoke hapa wakt tukiwa pmj tunaweza kukaha had saa Saba tunapiga vyombo tu [emoji481] [emoji481].

Week iliyopita nilikutana na Yule jamaa angu wa mwanzo tulikuwa tunaangali ngumi kaweny pub moja hivi jamaa Kama kawa akagiza mapombe yake Kisha akaniagizia na mm ndipo nikamchna ukweli kuwa kwa SAS nimeacha pombe hat nikamuambia kuwa hata hyo siku tulivyokutana hapo chakonichako sikuwa naumwa Basi tu nimeamua kuacha [emoji41] Kama vile hajapenda hbr hzo

Jamaa alipiga bia 2 tu Kisha akasepa nikamuambia tulia mzee uletewe vitu akanigomea ofa zangu akaniaga Kama vile amechukizwa mm kuacha pombe na wkt kampani yake ilikuwa mm na jamaa wengine wa town .


Kumbe pasipo kujuwa yule jamaa akaenda kuzambaza habar kwa marafiki zangu na Wana wengine kuwa kwa Sasa hivi mimu nimeokoka ,hvyo nitengwe

Leo nimegundua Hilo baada ya kuona jpili imekuwa ndefu mno nikampigia mshikaji wangu mwingine kuumuliza Yuko pande zipi ndipo akanichana live kuwa Sasa hivi hutumia pombe naenda kufanya nn bar na wao wanakunywa na hata hvyo anajuwa kwa sasa mm nimeoka . nimeshangazwa na taarifa zake za ulokole wangu wakt mm binafis sijaokoka ila nimaamuzi tu nimefikia baada ya kutokuona faida yoyote Zaid ya hasara kwa vile nilikuwa naweza kwa siku tatu yaani ijumaa ,jmosi ,jpili nikatumia Zaid ya 230,000 nearly

Kwa Kweli mm siwezi kukaha nyumbani Muda wote napendelea kuwepo na washakaji tukichill mahali either kuchoma mbuzi au ku hang sehemu tulivu na kuenjoy SAS sahv leo nawacheki Wana wote wamenikataa kbsa naona Niko peke angu tu nawaza kutengua kauli zangu au nimove tu na maisha ya bila pombe

nilikwensa bar Jana nikaawa nimeagiza Fanta orange Kama muhudumu alionesha dharau fln baada ya mm kudai chenji yangu shilingi Mia mbili

Nifanyeje hi Hali nizoee
Wakuu Hili Jambo limenikera Sana

Iko HV ,Mimi nilikuwa mtumiaji wa pombe yaani kwa kifupi nilikuwa nabungia Kweli kweli pombe na pombe zangu ilikuwa ni kama ifuatavyo
Napenda kutumia

Kilimanjaro lager au
Safari lager au
Konyagi au
K vant au
Grants ,

Maserengeti lite na matakataka mengine ya type hyo situmii Wala vinywaji vya SBL sisipendi .
Sasa jusi Kuna jamaa angu hakujuwa Kama mm sasa hivi nimeacha pombe aliniita tukutane chakoni chako dodoma hapa Basi akijuwa kbsa mm Ni mdau muhimu wa bia za kilimanjaro,yey alikuwa anatupia castel lager .Basi akamuita muhudu akamuambia mletee huyu brazaa bia sita za barid zote ziwe hapa ndipo nikamuambia kuwa asante mkuu ile leo siko sawa nimetumiaa dawa za typhoid ila mm niliogapa kumchna live kuwa situmii kwa Sasa hivi vilevi. ikabidi nimuongopee kwa siku hyo basi mm nikaagiza fanta orange na kuendele kumpa kampani Yule jamaa angu huku tukiagiza kuku mzima Basi tukamaliza tuagaana freshi .


Mwezi wa sita mwanzoni nilisafri kwenda singida nikaktuana na jamaa angu pia ambae yeye hzo Serengeti lite akiweka mdomoni anakata yote,kweli aliniagiziaa akashanga kumuambia kuwa kwa sasa nimeacha kbsa hakuamini kbsa na Kweli hakufurahi kusikia hivyo Kama vile alihuzunika mm kuacha pombe haikupita Muda akanimbia tuondoke hapa wakt tukiwa pmj tunaweza kukaha had saa Saba tunapiga vyombo tu [emoji481] [emoji481].

Week iliyopita nilikutana na Yule jamaa angu wa mwanzo tulikuwa tunaangali ngumi kaweny pub moja hivi jamaa Kama kawa akagiza mapombe yake Kisha akaniagizia na mm ndipo nikamchna ukweli kuwa kwa SAS nimeacha pombe hat nikamuambia kuwa hata hyo siku tulivyokutana hapo chakonichako sikuwa naumwa Basi tu nimeamua kuacha [emoji41] Kama vile hajapenda hbr hzo

Jamaa alipiga bia 2 tu Kisha akasepa nikamuambia tulia mzee uletewe vitu akanigomea ofa zangu akaniaga Kama vile amechukizwa mm kuacha pombe na wkt kampani yake ilikuwa mm na jamaa wengine wa town .


Kumbe pasipo kujuwa yule jamaa akaenda kuzambaza habar kwa marafiki zangu na Wana wengine kuwa kwa Sasa hivi mimu nimeokoka ,hvyo nitengwe

Leo nimegundua Hilo baada ya kuona jpili imekuwa ndefu mno nikampigia mshikaji wangu mwingine kuumuliza Yuko pande zipi ndipo akanichana live kuwa Sasa hivi hutumia pombe naenda kufanya nn bar na wao wanakunywa na hata hvyo anajuwa kwa sasa mm nimeoka . nimeshangazwa na taarifa zake za ulokole wangu wakt mm binafis sijaokoka ila nimaamuzi tu nimefikia baada ya kutokuona faida yoyote Zaid ya hasara kwa vile nilikuwa naweza kwa siku tatu yaani ijumaa ,jmosi ,jpili nikatumia Zaid ya 230,000 nearly

Kwa Kweli mm siwezi kukaha nyumbani Muda wote napendelea kuwepo na washakaji tukichill mahali either kuchoma mbuzi au ku hang sehemu tulivu na kuenjoy SAS sahv leo nawacheki Wana wote wamenikataa kbsa naona Niko peke angu tu nawaza kutengua kauli zangu au nimove tu na maisha ya bila pombe

nilikwensa bar Jana nikaawa nimeagiza Fanta orange Kama muhudumu alionesha dharau fln baada ya mm kudai chenji yangu shilingi Mia mbili

Nifanyeje hi Hali nizoee
Ndege wafananao huruka pamoja. Tafuta kampani ya wanaokufanania.

Ni kawaida kwa walevi kuwa na marafiki walevi.

Ni kawaida kwa wezi kuwa na marafiki wezi.

Ni kawaida kwa waisiotumia pombe kuwa na marafiki wa aina hiyo

Isitoshe, hao marafiki zako walikuwa wanakupa nini cha maana zaidi ya kukusaidia kufuja pesa zako?

Tafuta kampani ya watakaokusaidia kusonga mbele na siyo "kula" pesa.
 
Concentrate kwenye matizi tu sasa unaishi kwa kuangalia mtu hizo mambo mi ndo sina nikisema sinywi sinywi nuna utakavyo.
 
Wakuu Hili Jambo limenikera Sana

Iko HV ,Mimi nilikuwa mtumiaji wa pombe yaani kwa kifupi nilikuwa nabungia Kweli kweli pombe na pombe zangu ilikuwa ni kama ifuatavyo
Napenda kutumia

Kilimanjaro lager au
Safari lager au
Konyagi au
K vant au
Grants ,

Maserengeti lite na matakataka mengine ya type hyo situmii Wala vinywaji vya SBL sisipendi .
Sasa jusi Kuna jamaa angu hakujuwa Kama mm sasa hivi nimeacha pombe aliniita tukutane chakoni chako dodoma hapa Basi akijuwa kbsa mm Ni mdau muhimu wa bia za kilimanjaro,yey alikuwa anatupia castel lager .Basi akamuita muhudu akamuambia mletee huyu brazaa bia sita za barid zote ziwe hapa ndipo nikamuambia kuwa asante mkuu ile leo siko sawa nimetumiaa dawa za typhoid ila mm niliogapa kumchna live kuwa situmii kwa Sasa hivi vilevi. ikabidi nimuongopee kwa siku hyo basi mm nikaagiza fanta orange na kuendele kumpa kampani Yule jamaa angu huku tukiagiza kuku mzima Basi tukamaliza tuagaana freshi .


Mwezi wa sita mwanzoni nilisafri kwenda singida nikaktuana na jamaa angu pia ambae yeye hzo Serengeti lite akiweka mdomoni anakata yote,kweli aliniagiziaa akashanga kumuambia kuwa kwa sasa nimeacha kbsa hakuamini kbsa na Kweli hakufurahi kusikia hivyo Kama vile alihuzunika mm kuacha pombe haikupita Muda akanimbia tuondoke hapa wakt tukiwa pmj tunaweza kukaha had saa Saba tunapiga vyombo tu [emoji481] [emoji481].

Week iliyopita nilikutana na Yule jamaa angu wa mwanzo tulikuwa tunaangali ngumi kaweny pub moja hivi jamaa Kama kawa akagiza mapombe yake Kisha akaniagizia na mm ndipo nikamchna ukweli kuwa kwa SAS nimeacha pombe hat nikamuambia kuwa hata hyo siku tulivyokutana hapo chakonichako sikuwa naumwa Basi tu nimeamua kuacha [emoji41] Kama vile hajapenda hbr hzo

Jamaa alipiga bia 2 tu Kisha akasepa nikamuambia tulia mzee uletewe vitu akanigomea ofa zangu akaniaga Kama vile amechukizwa mm kuacha pombe na wkt kampani yake ilikuwa mm na jamaa wengine wa town .


Kumbe pasipo kujuwa yule jamaa akaenda kuzambaza habar kwa marafiki zangu na Wana wengine kuwa kwa Sasa hivi mimu nimeokoka ,hvyo nitengwe

Leo nimegundua Hilo baada ya kuona jpili imekuwa ndefu mno nikampigia mshikaji wangu mwingine kuumuliza Yuko pande zipi ndipo akanichana live kuwa Sasa hivi hutumia pombe naenda kufanya nn bar na wao wanakunywa na hata hvyo anajuwa kwa sasa mm nimeoka . nimeshangazwa na taarifa zake za ulokole wangu wakt mm binafis sijaokoka ila nimaamuzi tu nimefikia baada ya kutokuona faida yoyote Zaid ya hasara kwa vile nilikuwa naweza kwa siku tatu yaani ijumaa ,jmosi ,jpili nikatumia Zaid ya 230,000 nearly

Kwa Kweli mm siwezi kukaha nyumbani Muda wote napendelea kuwepo na washakaji tukichill mahali either kuchoma mbuzi au ku hang sehemu tulivu na kuenjoy SAS sahv leo nawacheki Wana wote wamenikataa kbsa naona Niko peke angu tu nawaza kutengua kauli zangu au nimove tu na maisha ya bila pombe

nilikwensa bar Jana nikaawa nimeagiza Fanta orange Kama muhudumu alionesha dharau fln baada ya mm kudai chenji yangu shilingi Mia mbili

Nifanyeje hi Hali nizoee
mkuu mi siwezi kukutenga ilimradi mi unaninunulia wine zangu!
We hata unakunywa maji haina noma
 
Back
Top Bottom