NIMETHIBITISHA: Dunia haipo, ni unaota tu!

NIMETHIBITISHA: Dunia haipo, ni unaota tu!

Wachache sana tena sana tuu.. Assume mwalimu wa physics advance anafundisha tu calculation only. Yaan kiuhalisia hamna kitu kabisa

Kuna topic inaitwa universe niliona kwenye vitabu flan hivi vya physics lakini now vitabu hivyo atutumii

Kinacho kuja kutokea ni kua wanaosoma physics ni wengi lakini vitu vidogo tu "" conceptial qn"" vinawapiga chenga. Nazani hili swala wapo ambao watajibu in deep zaidi kam kina da vinci, lifecoded nk
 
Msizarau mawazo ya huyu jamaa. Kuna school of thought inasema inawezekana kabisa kuna system flani ndio inatuongoza au inaongoza watu na vitu vyote humu duniani.haya tuyaonayo na tuyafanyayo ni sawa na mtu yupo ndotoni na kuna siku kila mtu ataamka na kukuta hali nyingine kabisa!. Filamu ya MATRIX imegusia theory hii kidogo.

Kiaje? Mbona pia tukilala tunaota


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msizarau mawazo ya huyu jamaa. Kuna school of thought inasema inawezekana kabisa kuna system flani ndio inatuongoza au inaongoza watu na vitu vyote humu duniani.haya tuyaonayo na tuyafanyayo ni sawa na mtu yupo ndotoni na kuna siku kila mtu ataamka na kukuta hali nyingine kabisa!. Filamu ya MATRIX imegusia theory hii kidogo.
Mwenye link ya kudownload movie ya matrix anipatie
 
Mleta mada tofautisha infinitesimal na infinite. Infinite is very large in any direction, infinitesimal ni very small towards one point. Hapo unapopunguza distance unaelekea infinitesimal sio infinite, vile vile kwa time. Sijapinga mawazo yako, nimerekebisha kidogo. From quantum physics point of view the physical world is nothingness - ni energy tu. Hii energy imeshikiliwa na force which (to believers is God). So if you reduce your distance to infinitesimal amount you end up with nothing but energy, but through the power of God we have the physical world from that nothing
Na hapo ndipo wanasayansi waanapo umiza ndonga...hii energy inatoka wapi??

God exists!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada tofautisha infinitesimal na infinite. Infinite is very large in any direction, infinitesimal ni very small towards one point. Hapo unapopunguza distance unaelekea infinitesimal sio infinite, vile vile kwa time. Sijapinga mawazo yako, nimerekebisha kidogo. From quantum physics point of view the physical world is nothingness - ni energy tu. Hii energy imeshikiliwa na force which (to believers is God). So if you reduce your distance to infinitesimal amount you end up with nothing but energy, but through the power of God we have the physical world from that nothing
Hahahaha hivi watu hizi pumba huwa mnajifunzia wapi??
Yani zime'design'iwa kumdanganya asiyejua aone kama ni mavitu makubwa ya ukweli kabisa kumbe ndo unampoteza.
Na hii ni trend naiona inaendelea sana sijui mnasomaga vitabu gani
 
kuna kitu kinaitwa lucid dreams yan unakuwa unaota then still upo ndani ya ndoto na ukajuaa kabixa apa na ota 100% .kuyajua yote ni lazima upoteze mwili wako yan ufee, roho ya mwanadam limitation yake ipo kwenye jumba ilo yan mwili
Ili ndoto iitwe ndoto inahitaji nini na nini na nini ? Yaani ni vipi vijenzi vya ndoto ?

Unatumia nini kujua kinachoendelea baada ya mtu kufa ?
 
p { margin-bottom: 0.1in; line-height: 120%; }a:link { }

Principles of calculus make use of infinitesimals to come with deductions about wholes. I mean your reasoning is just shallow and, intentionally, screwed-up to play with the minds of fools!
Huyu bwandugu amebase argument yake kwenye Zeno's paradox(motion is an illusion) ambayo ishajibiwa zamani tu kupitia calculus.
 
Kwani Imani na Sayansi ipi ina ukweli?
Sayansi ni maelezo juu ya hii physical world kuhusu jinsi,kwanini na kivipi inavyofanya kazi kwa kutumia scientific methods of proof..

Imani..well imani ni bayana na matarajio ya vitu visivyoonekana.

Kuhusu ipi ni ukweli nikuulize wewe:
Unachokiona na usichokiona kipi ni ukweli?

Nikukumbushe.
Ukweli ni kitu kinachoendana/kulandana na uhalisia na facts (Authentic)
 
Kwako mtoa mada:
Hiyo kitu uliyoandika wewe sio wa kwanza kuna greek philosopher aliitwa Zeno alikuja na hiyo paradox.
Alisema mfano ili mtu asafiri 1km itabidi kwanza asafiri nusu yake..kwahiyo akisafiri nusu atakuwa amebakiza 1/2km na ili aisafiri hiyo 1/2km iliyobakia itabidi kwanza aisafiri nusu yake kwahyo atakuwa amebakiza 1/4km..ili aisafiri 1/4 km iliyobakia itabidi aisafiri nusu yake ambayo ni 1/8km.... Na hii process itaendelea milele kwasababu kuna infinite halves between two points.
Kwahyo Zeno akasema motion is impossible or just an illusion.

From a philosophical POV anaweza kuwa sahihi lakini mathematically yuko flawed.

Mathematically unaweza kumpinga kwa njia nyingi ikiwemo calculus.. Lakini ngoja Nitumie njia nyepesi ambayo wengi wataielewa...ALGEBRA

Huyo mtu anatembea umbali wa 1km lakini according to zeno hawezi kufika kwasababu aliamini Sum ya infinite halves haiwez kuwa moja yani:
1/2+1/4+1/8+1/16+.....∞ haiwezi kuleta moja
Hivyo
Sum=1/2+1/4+1/8+1/16+.....∞
Sasa
Let sum be S
S=(1/2+1/4+1/8+1/16+.....∞ )
2×S = 2× (1/2+1/4+1/8+1/16+.....∞ )
2×S = 1+ 1/2+1/4+1/8+1/16+.....∞
2×S = 1 + (1/2+1/4+1/8+1/16+.....∞)
2×S = 1+ S
2S = 1+S
2S -S = 1
S=1

Therefore Sum = 1
Hivyo kumbe infinite sums of halves can converge to one Value
Kwahiyo mtu atafika and motion is possible not just an illusion.
 
Back
Top Bottom