Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hili swali mm ndo nilikuuliza umenigeuzia tena...ila kuhisi ni kurespond to external stimulus... Kitu ambacho hata machine zinawezaUnauhakika kuwa unachofanya ni wewe umepanga au umepangiwa??kwasababu hata characters kwenye game wanafanya mambo kwa kupangiwa ila wao wanadhani ndo wamepanga
QUOTE="Jurjani, post: 35459213, member: 483599"]
Naona hutaki kuelewa, nakuuliza swali, ili kitu kihisi kinatakiwa kiwe na sofa gani ? Maana naona unaandika bila kufikiri.
aisee... uko well informed mzeeHaya nimekujibu
Thibitisha
Again unaundermine uwezo wa AI...kitu kikiwa preprogrammed kuamini kitu fulani ni ngumu kukiyumbisha kama wewe ulivyokuwa programmed na aliyekutengeneza kuwa wewe ni halisia...yawezekana hata hapa nachati na roboti...unaweza kunithibitishia wewe ni mtu halisia??
Sasa kama anajua kesho utaenda kanisani kesho ukienda kanisani utasemaje kuwa wewe ndo umepanga kwenda wakati ni kama unacheza igizo na unafata script
Na ndio maana mufti nilisema ulichochewa na majiraUnaweza kutueleza ilikuwaje mpaka muda ukabuniwa na mwanadamu ?
Sasa hayo majira si ndio Muda wenyewe kaka ?
Usiku na mchana,au jua vimemkuta mwanadamu au amevikuta ?
Ahsante.
Kwa maana hiyo muda upo na ulianza hata kabla ya sisi kuwepo. Nijuavyo mimi ni kuwa muda unahitahi nafasi tu.Na ndio maana mufti nilisema ulichochewa na majira
Kwamba usiku na mchana upo lakini dakika sekunde na nukta ni ubunifu
Kuhusu kipi kilianza au kipi kilikuta mwenzake hilo lipo nje ya uwezo wangu nilijibu vile mwanzo kwa kuwa najua ufahamu wa mwanadamu ndio hutambua kuwa haya ni majira ila majira yenyewe hayajitambui
Kwa maana hiyo muda upo na ulianza hata kabla ya sisi kuwepo. Nijuavyo mimi ni kuwa muda unahitahi nafasi tu.
Tunahitimisha ya kuwa muda upo na ulikuwepo.
Hitimisho lipo hata bila ya wewe kukiri juu ya hitimisho hilo. Kitendo cha kuwepo usiku na mchana, ni ishara tosha ya kuwa muda hata kabla ya sekunde na dakika.Mufti usinielewe vibaya sijafika hitimisho la kipi kilianza
Usiwe mtu wa kubahatisha, sababu kubahatisha kunakupelekea kukosea.Labda tulianza sisi kukaa gizani kwa mda mrefu halafu baadae dunia ndio ikaanza kuzunguka.! Nani anajua?
Hakuna aliye buni muda, ni sawa leo hii useme binadamu tulibuni "urefu" kisa watu waliweka vizio vya "Urefu", hii au huku hakuitwi kubini, bali urefu. Kwahiyo muda upo na haujabuniwa, sababu suala la muda liko nje ya uwezo wa mwanadamu, ila vizio ndio binadamu wamevibuni, kwani muda kuwepo kwake hakutegemei, sekunde, wala dakika, wala microsecond na mfano wake. Tafakari.Labda nirudie, muda ni kitu tulichobuni wanadamu kutusaidia kupima myenendo ya vitu.... Sawa mufti
Unaposema nguvu ya msukumo una maanisha nini na unaijuaje ?Ulimwengu una nguvu ya msukumo ndani yake inayowezesha maisha kuwezekana hauna muda ndani yake bali unanguvu zilizo kwenye makadirio ya kihesabu lakini si muda
Muda ni mawazio ya kwetu sisi kutuwezesha kupima myenendo hiyo ya nguvu inavyojongea kwa wakati_sijui kama tumeelewana
Nimecheka sana, naona ushakata tamaa mzee. Mimi sihisi mimi nina uhakika kabisa ya kuwa muda ni kiumbe na amekiumba Mola. Yaani ameumba muda na akauweka na akajaalia ishara ili kujua idadi ya miaka na kudhibiti mahesabu.Sasa kama wewe unahisi mungu wako ndio kavumbua mda iwe ni yeye au kikaragosi mwegine hiyo mimi hainihusu
Hili mpaka unakufa huwezi kuthibitisha zaidi ya dhana na kujidanganya tu.Ninachofahamu tupo wenyewe kwenye dunia yetu kwa sasa na changamoto tunazikabili wenyewe pasi na yeyote yule_sawa mufti
Hakika mkuuphysical material,time and space .... ni vitu ambavyo tumeviunda wenyewe kwenye akili zetu, lakini kiukweli Hivi vitu havipo.
The world's EXISTENCE is entirely independent of your presence or your prior (or subsequent) actions; and so it exists on its own and independent of everything elseTherefore the physical world can't exist.
Hakuna binadamu yoyote mwenye uwezo wa kupandikiza uwezo wa MUNGU kwenye ubongo wa mwenzake. MUNGU ni mkuu sana na uwezo wake hauhamishiki wala kudurufika.Sio uwezo wa watu waliopandikiza uwezo wa Mungu kwenye ubongo wako?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulimwengu ni programu ya computer tu, ni simulation tu, www.bottomlayer.comKwahiyo hapa unaota?