Nimethibitisha jamii inayoongea Kiingereza ina uelewa mkubwa na IQ za juu kulinganisha na waongeaji wa Kiswahili

Nimethibitisha jamii inayoongea Kiingereza ina uelewa mkubwa na IQ za juu kulinganisha na waongeaji wa Kiswahili

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
10,597
Reaction score
16,394
Nchi zote tatu za Afrika Mashariki, Uganda, Kenya na Tanzania zilitawaliwa na mkoloni mmoja kwa wakati mmoja. Waganda na wakenya wao lugha wanayotumia na kuimiliki ni Kiingereza na Tanzania ni waongeaji wazuri wa kiswahili tu, yaani waswahili.

Lugha ina tabia ya kuendana na utamaduni wake. Mfano waingereza na waongeaji wa Kiingereza ni watu wenye utamaduni wa kuwa wazi, wakweli na wathubutu. Waswahili wana tabia ya kuwa waoga, waongo na wanafiki.

Hali inayoendelea Kenya kisiasa na kiuchumi haitofautiani na ya Tanzania. Wizi, ufisadi na rushwa kwa viongozi vimetamalaki katika nchi zote mbili ila kuna tofauti ya jinsi ya kukabiliana nayo.

Wakenya wana uthubutu wa kusema ukweli hadharani, kujitokeza na kuupinga uovu huo. Tanzania tunasifia na kutukuza wezi, mafisadi na wala rushwa huku wengi wakiendelea na maumivu yasiyomithilika.

Hapo ndipo linakuja suala la lugha na utamaduni wake. Upande mmoja ni ukweli, uwazi na uthubutu na huku kwingine ni unafiki, uoga, uongo na ujinga mwingi.
Mungu atusaidie, amina.
 
Kwahyo kubomoa miundombinu ya maendeleo ya nchi yao na kutowesha amani na ustawi wa jamii nzima hayo ndio unayowapongeza? Acheni kuchochewa na na watu wa nje ambao wengine hawapendi maendeleo yenu waafrica. Maachafuko na vita na maandamano haijawahi kuwa njia ya kutatua kero katika eneo lolote. Africa tujitambue wenyewee, leo hiii tunavuruga amani yetu vitu vidogo, lakini tunajicherewesha wenyewe.
 
Kwahyo kubomoa miundombinu ya maendeleo ya nchi yao na kutowesha amani na ustawi wa jamii nzima hayo ndio unayowapongeza? Acheni kuchochewa na na watu wa nje ambao wengine hawapendi maendeleo yenu waafrica. Maachafuko na vita na maandamano haijawahi kuwa njia ya kutatua kero katika eneo lolote. Africa tujitambue wenyewee, leo hiii tunavuruga amani yetu vitu vidogo, lakini tunajicherewesha wenyewee.
Bro una support ufisadi unaofanywa na mamlaka?
 
Sahihi, Kingereza kinakufanya uweze kufuatilia sehemu kubwa ya dunia kwa ujumla nje ya Africa, kupata taarifa na kuelewa mambo yanaoyoendela sehemu nyingine za dunia na pia kufuatiliwa mambo yako na sehemu nyingine kubwa ya dunia. Kiswahili ni kama kinatufanya kuwa kwenye chungu wenyewe kujua zaidi mambo yetu, hapo jirani Kenya, Burundi na DRC.
 
Kwahyo kubomoa miundombinu ya maendeleo ya nchi yao na kutowesha amani na ustawi wa jamii nzima hayo ndio unayowapongeza? Acheni kuchochewa na na watu wa nje ambao wengine hawapendi maendeleo yenu waafrica. Maachafuko na vita na maandamano haijawahi kuwa njia ya kutatua kero katika eneo lolote. Africa tujitambue wenyewee, leo hiii tunavuruga amani yetu vitu vidogo, lakini tunajicherewesha wenyewee.
Na wewe ni mmoja wa wasiojielewa nchi hii. Nchi hii ili iweze kusonga mbele inahitaji kufurusha mafisadi wote na kuondoa viongozi wala rushwa na wanaojilimbikizia mali.

The best way to do ni kama vile wakenya wamefanya na sio kuwa na spirit ya uoga kama wewe.
 
Kwahyo kubomoa miundombinu ya maendeleo ya nchi yao na kutowesha amani na ustawi wa jamii nzima hayo ndio unayowapongeza? Acheni kuchochewa na na watu wa nje ambao wengine hawapendi maendeleo yenu waafrica. Maachafuko na vita na maandamano haijawahi kuwa njia ya kutatua kero katika eneo lolote. Africa tujitambue wenyewee, leo hiii tunavuruga amani yetu vitu vidogo, lakini tunajicherewesha wenyewee.
Hizo nyimbo za amani na utulivu fake ndizo zinazotuzamisha kwenye umaskini miaka zaidi ya sitini baada ya uhuru
 
Bro una support ufisadi unaofanywa na mamlaka?
Utaje huo ufisadi mpaka upelekee watu tuvunje mshikamano wetu. Hata kama watukula hizo fedha lakini ikumbukwe tunaishi na watoto na vikongweee, halafu kunawengine ni wakulima na wagonjwa, sasa kwakuwa wewe nikijana ambaye huenda unaishi kwe shemeji yako, tayariii unataka tuharibu mstakabali wa amani na kuanza kuleta vuruguu?

Acheni kushabikia vurugu za aina yoyote ileee. Ni hatariii. Hakuna mahala dunia nzima ufisadi uliiisha hata huku kwa walio endelea. Tuwaaombee wenzetu wakenya wanao andamana waaache mara moja zaidi watafute haki yao kwa njia ya amani sio kwa namna wanavyofanyaa. Kenya ni nchi tajiri hakuna ambaye hajui lakini nao wakiharibu amani yao wataporomoka haraka saaa.
 
Uko sahihi ila kinacho iponza Tanzania ni elimu fake, Tanzania ni nchi peke wadarasa la saba na graduate wakika pamoja huwezi kuwatofautisha mpaka watowe vyeti vyao, kwa mfano mzuri musukuma ikiwa bungeni hana tofauti na profesa moja wakiwa wana changia hoja.
 
Na wewe ni mmoja wa wasiojielewa nchi hii.
Nchi hii ili iweze kusonga mbele inahitaji kufurusha mafisadi wote na kuondoa viongozi wala rushwa na wanaojilimbikizia mali.
The best way to do ni kama vile wakenya wamefanya na sio kuwa na spirit ya uoga kama wewe
Tunakufurusha na wewe. Mkila kande na kushiba mnabwabwaja mambo ya ajabu ajabuuu
 
Sahihi, Kingereza kinakufanya uweze kufuatilia sehemu kubwa ya dunia kwa ujumla nje ya Africa, kupata taarifa na kuelewa mambo yanaoyoendela sehemu nyingine za dunia na pia kufuatiliwa mambo yako na sehemu nyingine kubwa ya dunia. Kiswahili ni kama kinatufanya kuwa kwenye chungu wenyewe kujua zaidi mambo yetu, hapo jirani Kenya na DRC.
 
Kwahyo kubomoa miundombinu ya maendeleo ya nchi yao na kutowesha amani na ustawi wa jamii nzima hayo ndio unayowapongeza? Acheni kuchochewa na na watu wa nje ambao wengine hawapendi maendeleo yenu waafrica. Maachafuko na vita na maandamano haijawahi kuwa njia ya kutatua kero katika eneo lolote. Africa tujitambue wenyewee, leo hiii tunavuruga amani yetu vitu vidogo, lakini tunajicherewesha wenyewee.
Historia ya mataifa yaliyoendelea imejaa purukushani. Hatuwezi kuwa kondoo na kutegemea maendeleo. Wengine wakipinga ongezeko la kodi na matumizi makubwa ya serekali yasiyo na tija na viongozi kuishi maisha ya anasa kwa kodi za wananchi, hapa kwetu tunasifiana na kuendeleza uchawa.
 
Historia ya mataifa yaliyoendelea imejaa purukushani. Hatuwezi kuwa kondoo na kutegemea maendeleo. Wengine wakipinga ongezeko la kodi na matumizi makubwa ya serekali yasiyo na tija na viongozi kuishi maisha ya anasa kwa kodi za wananchi, hapa kwetu tunasifiana na kuendeleza uchawa.
Nenda huko kwenye prukushani mwenyeweee. Tuachie tuijenge tanzania kwa uzalendo na mshikamano. Kwakuwa huna cha kupoteza ndiomaana unabwabwaja tuuu.
 
Nchi zote tatu za Afrika mashariki, Uganda, Kenya na Tanzania zilitawaliwa na mkoloni mmoja kwa wakati mmoja. Waganda na wakenya wao lugha wanayotumia na kuimiliki ni kiingereza na Tanzania ni waongeaji wazuri wa kiswahili tu, yaani waswahili.

Lugha ina tabia ya kuendana na utamaduni wake. Mfano waingereza na waongeaji wa kingereza ni watu wenye utamaduni wa kuwa wazi, wakweli na wathubutu. Waswahili wana tabia ya kuwa waoga, waongo na wanafiki.

Hali inayoendelea Kenya kisiasa na kiuchumi haitofautiani na ya Tanzania. Wizi, ufisadi na rushwa kwa viongozi vimetamalaki katika nchi zote mbili ila kuna tofauti ya jinsi ya kukabiliana nayo.

Wakenya wana uthubutu wa kusema ukweli hadharani, kujitokeza na kuupinga uovu huo. Tanzania tunasifia na kutukuza wezi, mafisadi na wala rushwa huku wengi wakiendelea na maumivu yasiyomithilika.

Hapo ndipo linakuja swala la lugha na utamaduni wake. Upande mmoja ni ukweli, uwazi na uthubutu na huku kwingine ni unafiki, uoga, uongo na ujinga mwingi.
Mungu atusaidie, akina.
Utumwa wa akili huu
 
Uganda na Nigeria kama sio ukabila na dini wangekuwa mbali sana, hayo mambo mawili yamewafanya raia kukosa utulivu na ushirikiano kwa muda mrefu.
Ooh kumbe but they speak English right? Sasa kama English imetumika kama kigezo cha kujitambua na ukombozi kifikra kwanini wanakuwa na ukabila?Kwanini English isiwe unifying tool huko Nigeria na Uganda?
 
Back
Top Bottom