Nimethibitisha jamii inayoongea Kiingereza ina uelewa mkubwa na IQ za juu kulinganisha na waongeaji wa Kiswahili

Nimethibitisha jamii inayoongea Kiingereza ina uelewa mkubwa na IQ za juu kulinganisha na waongeaji wa Kiswahili

Sahihi, Kingereza kinakufanya uweze kufuatilia sehemu kubwa ya dunia kwa ujumla nje ya Africa, kupata taarifa na kuelewa mambo yanaoyoendela sehemu nyingine za dunia na pia kufuatiliwa mambo yako na sehemu nyingine kubwa ya dunia. Kiswahili ni kama kinatufanya kuwa kwenye chungu wenyewe kujua zaidi mambo yetu, hapo jirani Kenya, Burundi na DRC.
Hata katika soccer nchi zinazoongea kingereza au French ni nomaa ,
 
Nchi zote tatu za Afrika Mashariki, Uganda, Kenya na Tanzania zilitawaliwa na mkoloni mmoja kwa wakati mmoja. Waganda na wakenya wao lugha wanayotumia na kuimiliki ni Kiingereza na Tanzania ni waongeaji wazuri wa kiswahili tu, yaani waswahili.

Lugha ina tabia ya kuendana na utamaduni wake. Mfano waingereza na waongeaji wa Kiingereza ni watu wenye utamaduni wa kuwa wazi, wakweli na wathubutu. Waswahili wana tabia ya kuwa waoga, waongo na wanafiki.

Hali inayoendelea Kenya kisiasa na kiuchumi haitofautiani na ya Tanzania. Wizi, ufisadi na rushwa kwa viongozi vimetamalaki katika nchi zote mbili ila kuna tofauti ya jinsi ya kukabiliana nayo.

Wakenya wana uthubutu wa kusema ukweli hadharani, kujitokeza na kuupinga uovu huo. Tanzania tunasifia na kutukuza wezi, mafisadi na wala rushwa huku wengi wakiendelea na maumivu yasiyomithilika.

Hapo ndipo linakuja suala la lugha na utamaduni wake. Upande mmoja ni ukweli, uwazi na uthubutu na huku kwingine ni unafiki, uoga, uongo na ujinga mwingi.
Mungu atusaidie, amina.
Lugha haina muunganiko wowote na tabia ya mtu kutoka taifa husika tusidanganyane
 
Hali elioko Zibabwe ingekutana na Wa Tanzania mpaka sasa tungekua decared "failed state" na UN au Museveni angekua Raisi wa Tanzania angekua anatupagia hata mda wa kula na kulala kabisa tusinge weza kumfanya chochote.......
I compromise with you. I second every word 😍
 
Kwahyo kubomoa miundombinu ya maendeleo ya nchi yao na kutowesha amani na ustawi wa jamii nzima hayo ndio unayowapongeza? Acheni kuchochewa na na watu wa nje ambao wengine hawapendi maendeleo yenu waafrica. Maachafuko na vita na maandamano haijawahi kuwa njia ya kutatua kero katika eneo lolote. Africa tujitambue wenyewee, leo hiii tunavuruga amani yetu vitu vidogo, lakini tunajicherewesha wenyewe.
Tulia tukukande
 
Nchi zote tatu za Afrika Mashariki, Uganda, Kenya na Tanzania zilitawaliwa na mkoloni mmoja kwa wakati mmoja. Waganda na wakenya wao lugha wanayotumia na kuimiliki ni Kiingereza na Tanzania ni waongeaji wazuri wa kiswahili tu, yaani waswahili.

Lugha ina tabia ya kuendana na utamaduni wake. Mfano waingereza na waongeaji wa Kiingereza ni watu wenye utamaduni wa kuwa wazi, wakweli na wathubutu. Waswahili wana tabia ya kuwa waoga, waongo na wanafiki.

Hali inayoendelea Kenya kisiasa na kiuchumi haitofautiani na ya Tanzania. Wizi, ufisadi na rushwa kwa viongozi vimetamalaki katika nchi zote mbili ila kuna tofauti ya jinsi ya kukabiliana nayo.

Wakenya wana uthubutu wa kusema ukweli hadharani, kujitokeza na kuupinga uovu huo. Tanzania tunasifia na kutukuza wezi, mafisadi na wala rushwa huku wengi wakiendelea na maumivu yasiyomithilika.

Hapo ndipo linakuja suala la lugha na utamaduni wake. Upande mmoja ni ukweli, uwazi na uthubutu na huku kwingine ni unafiki, uoga, uongo na ujinga mwingi.
Mungu atusaidie, amina.
Niliwai kusema siku Moja kuwa: lugha ya kiswahili kwa mswahili ni nyepesi sana,
kutunga na kuvunja sentensi ni jambo la dakika,
Kusifia na kukosoa lugha hii huwa ni kawaida lkn kusifiwa husambaa zaidi.
Lugha inaweza kuwa chanzo Cha kupata au kukosa, kwa wepesi wa kiswahili machawa wataongezeka sana. Nakuunga mkono lugha yetu inatu...
 
Utaje huo ufisadi mpaka upelekee watu tuvunje mshikamano wetu. Hata kama watukula hizo fedha lakini ikumbukwe tunaishi na watoto na vikongweee, halafu kunawengine ni wakulima na wagonjwa, sasa kwakuwa wewe nikijana ambaye huenda unaishi kwe shemeji yako, tayariii unataka tuharibu mstakabali wa amani na kuanza kuleta vuruguu?

Acheni kushabikia vurugu za aina yoyote ileee. Ni hatariii. Hakuna mahala dunia nzima ufisadi uliiisha hata huku kwa walio endelea. Tuwaaombee wenzetu wakenya wanao andamana waaache mara moja zaidi watafute haki yao kwa njia ya amani sio kwa namna wanavyofanyaa. Kenya ni nchi tajiri hakuna ambaye hajui lakini nao wakiharibu amani yao wataporomoka haraka saaa.
#Samia mitano tena 👏🏿👏🏿
 
kwaio umetumia lugha kama kigezo cha kupima IQ ya mtu?

kwamba lugha inaweza kukuza au kushusha IQ ya mzungumzaji?

au ni mimi nimekuelewa vibaya?
 
kwaio umetumia lugha kama kigezo cha kupima IQ ya mtu?

kwamba lugha inaweza kukuza au kushusha IQ ya mzungumzaji?

au ni mimi nimekuelewa vibaya?
Nimelinhganisha lugha mbili tu! Waswahili kuelewa ni shida sana na ndio maana huwa tunaweka sahihi zetu kwenye mikataba tusiyoielewa vizuri
 
Nimelinhganisha lugha mbili tu! Waswahili kuelewa ni shida sana na ndio maana huwa tunaweka sahihi zetu kwenye mikataba tusiyoielewa vizuri
mbona una genaralise sana mkuu?
kwahiyo kingereza ndio bora kuliko kiswahili??

unajua kiswahili kina hadhi gani barani Africa kwa ujumla ukilinganisha na kingereza??

sawa sisi waswahili ni wagumu kuelewa, wewe ambae sio mswahili kwamba ndio mwepesi sana kuelewa??
 
mbona una genaralise sana mkuu?
kwahiyo kingereza ndio bora kuliko kiswahili??

unajua kiswahili kina hadhi gani barani Africa kwa ujumla ukilinganisha na kingereza??

sawa sisi waswahili ni wagumu kuelewa, wewe ambae sio mswahili kwamba ndio mwepesi sana kuelewa??
Kama huamini kuwa kiingereza ni zaidi ya kiswahili inabidi usamehewe bure, hujui usemalo
 
Back
Top Bottom