Nimethibitisha jamii inayoongea Kiingereza ina uelewa mkubwa na IQ za juu kulinganisha na waongeaji wa Kiswahili

Nimethibitisha jamii inayoongea Kiingereza ina uelewa mkubwa na IQ za juu kulinganisha na waongeaji wa Kiswahili

North Korea wanazungumza kiingereza?
Hili hapa sasa wazi ni tatizo la Kiswahili, wewe huenda unasikiliza the story book kuhusu Kiduku au zile movies za kutafsiriwa ambazo huwa zinawasifia Wakorea na ukaaminishwa kabisa kwamba Korea Kaskazini ya Kiduku ni taifa la maana la kutolea mfano. Fahamu sasa kwamba Tanzania inaweza kuwa bora sana kuliko Korea Kaskazini.
 
Kwahyo kubomoa miundombinu ya maendeleo ya nchi yao na kutowesha amani na ustawi wa jamii nzima hayo ndio unayowapongeza? Acheni kuchochewa na na watu wa nje ambao wengine hawapendi maendeleo yenu waafrica. Maachafuko na vita na maandamano haijawahi kuwa njia ya kutatua kero katika eneo lolote. Africa tujitambue wenyewee, leo hiii tunavuruga amani yetu vitu vidogo, lakini tunajicherewesha wenyewe.
Naamini we ni 1 ya wanufaika wa mfumo
 
Russia wanazungumza kiingereza?
Warusi wengi wanajua Kingereza ila wazungumzaji ni wachache, Putin mwenyewe anakielewa Kingereza vizuri japo kuongea sio fluent. Yani Warusi wengi wanaweza kuangalia CNN, Aljazeera au BBC English wakaelewa taarifa vizuri tofauti na Watanzania wengi ambao watakuwa wanaelewa kupitia picha tu.

Halafu mataifa kama Urusi, China, Japan, Korea, India, Uturuki na Ethiopia ni mataifa muendelezo ya mamia ya karne au millenia kadhaa huku wakizungumza lugha moja ya/za kitaifa, kujaribu kuyatumia kama mifano ni ujuha uliopitiliza.
 
Wakati sie watanzania tunajivunia kua raia wa nchi, hatuna la kujivunia zaidi ya Amani na umoja wetu.
Kwanza Tanzania hakuna Amani.

Tanzania kuna Amani uchwara. Amani ya mdomoni tu na kwenye makaratasi.

Mauaji ya albino kama yule mtoto Asimwe, watu kutekwa na watu wasiojulikana, watu kuokotwa kwenye mifuko ya Sandarusi ni mifano tosha kwamba Amani ya Tanzania ni Amani uchwara tu.

Hata kwenye top 100 ya nchi zenye amani duniani Tanzania haifai kuwepo.

Kwa nchi zenye amani Afrika, angalau uniambie Mauritius, Namibia, Botswana at least.
 
Kuna tatizo kwenye hoja zako wewe umesema sijui Uganda na Nigeria kuna ukabila and blah! blah!

Nimekuuliza wewe sio mtoa mada nyie si mnasema English speaking communities wanajitambua? Sasa ulipokuwa unazungumzia ukabila unataka mi nielewe nini

Mnaleta hoja kinzani sasa. Mnasema wazungumzaji wa kiingreza wanajitambua ukibanwa kidogo unasema sijui taifa fulani kuna ukabila.Sasa hawa ambao wanajitambua kwa kigezo cha lugha kwanini wakubali ukabila?Hakuna namna mtu atajitambua then tukasikia ni mkabila
Ukishaambiwa Sigara ni hatari kwa afya haina maana kwamba kila mtu atakayevuta sigara atakufa kwa cancer, jiongeze kama unataka kuelewa, ila kama uko kwenye ligi endelea kuuliza maswali yasiyo na kichwa wala miguu.
 
Mfano waingereza na waongeaji wa Kiingereza ni watu wenye utamaduni wa kuwa wazi, wakweli na wathubutu. Waswahili wana tabia ya kuwa waoga, waongo na wanafiki.
Huu ni ukweli usiopingika, waswahili tu waoga sana, waongo tunaoukubali uongo, na tuna unafiki mwingi huku tukiwa hatuna maendeleo katika nyanja zote.
 
Mimi ningekuwa na mamlaka, ningeajiri waalimu 20,000 wa hesabu na waalimu 15,000 wa saiyansi; Hiyo habari ya Kiingereza/Englisha tungekutana nayo huko mbele
Wanaofaulu Hesabu na sayansi ndio hao hao wanaongoza masomo ya Arts.
 
Nchi zote tatu za Afrika Mashariki, Uganda, Kenya na Tanzania zilitawaliwa na mkoloni mmoja kwa wakati mmoja. Waganda na wakenya wao lugha wanayotumia na kuimiliki ni Kiingereza na Tanzania ni waongeaji wazuri wa kiswahili tu, yaani waswahili.

Lugha ina tabia ya kuendana na utamaduni wake. Mfano waingereza na waongeaji wa Kiingereza ni watu wenye utamaduni wa kuwa wazi, wakweli na wathubutu. Waswahili wana tabia ya kuwa waoga, waongo na wanafiki.

Hali inayoendelea Kenya kisiasa na kiuchumi haitofautiani na ya Tanzania. Wizi, ufisadi na rushwa kwa viongozi vimetamalaki katika nchi zote mbili ila kuna tofauti ya jinsi ya kukabiliana nayo.

Wakenya wana uthubutu wa kusema ukweli hadharani, kujitokeza na kuupinga uovu huo. Tanzania tunasifia na kutukuza wezi, mafisadi na wala rushwa huku wengi wakiendelea na maumivu yasiyomithilika.

Hapo ndipo linakuja suala la lugha na utamaduni wake. Upande mmoja ni ukweli, uwazi na uthubutu na huku kwingine ni unafiki, uoga, uongo na ujinga mwingi.
Mungu atusaidie, amina.
East africa uganda ndio wanaongea na kujua kingereza vizuri kuliko kenya unasemaje kuhusu wao.
 
Ukishaambiwa Sigara ni hatari kwa afya haina maana kwamba kila mtu atakayevuta sigara atakufa kwa cancer, jiongeze kama unataka kuelewa, ila kama uko kwenye ligi endelea kuuliza maswali yasiyo na kichwa wala miguu.
Man siko na mentality za ushindani hapa.Mind you binafsi hoja yangu ilikuwa kwa mtoa mada and you showed up(meaning that you were ready for debate)

Sasa kama ulikosa hoja ya kulinda unachosema kuwa sahihi.Unahisi kwamba hapa tuko kwenye racing sio?Ulikuja mwenye sikuwa na interest ya kwenda mbali zaidi na debate kuhusu hili but uliendelea kuquote hoja zangu

Just to remind you,kama unakuwa huna namna ya kulinda hoja zako ni vema ukiona comment yangu upite kama hukuona and I'll do the same.
 
East africa uganda ndio wanaongea na kujua kingereza vizuri kuliko kenya unasemaje kuhusu wao.
Wanaweza kuwa wanajua Kingereza vizuri kuliko Kenya ila raia wanaozumgumza Kingereza Uganda ni wachache kuliko Kenya.
 
East africa uganda ndio wanaongea na kujua kingereza vizuri kuliko kenya unasemaje kuhusu wao.
Waganda wako juu kuliko sisi, angalia bunge lako lina wapinzani wangapi linganisha na walevi wetu huko Dodoma
 
Bro kama unajidharau jinsi ulivyo ipo siku utaolewa na hao unaowasifia. Kwa akili kama zako nchi isingepata uhuru
Kwa matusi ya nguoni ndio asili ya waswahili, zaidi ya hapo ni umbea na uchawi tu
 
Nchi zote tatu za Afrika Mashariki, Uganda, Kenya na Tanzania zilitawaliwa na mkoloni mmoja kwa wakati mmoja. Waganda na wakenya wao lugha wanayotumia na kuimiliki ni Kiingereza na Tanzania ni waongeaji wazuri wa kiswahili tu, yaani waswahili.

Lugha ina tabia ya kuendana na utamaduni wake. Mfano waingereza na waongeaji wa Kiingereza ni watu wenye utamaduni wa kuwa wazi, wakweli na wathubutu. Waswahili wana tabia ya kuwa waoga, waongo na wanafiki.

Hali inayoendelea Kenya kisiasa na kiuchumi haitofautiani na ya Tanzania. Wizi, ufisadi na rushwa kwa viongozi vimetamalaki katika nchi zote mbili ila kuna tofauti ya jinsi ya kukabiliana nayo.

Wakenya wana uthubutu wa kusema ukweli hadharani, kujitokeza na kuupinga uovu huo. Tanzania tunasifia na kutukuza wezi, mafisadi na wala rushwa huku wengi wakiendelea na maumivu yasiyomithilika.

Hapo ndipo linakuja suala la lugha na utamaduni wake. Upande mmoja ni ukweli, uwazi na uthubutu na huku kwingine ni unafiki, uoga, uongo na ujinga mwingi.
Mungu atusaidie, amina.
Uko sahihi, ukimaster lugha ya kingereza unajiongezea utamaduni ni mpya wa kufikiri na kutenda
 
Nikusahihishe kidogo, Tanganyika haikuwahi kutawaliwa na Muingereza kama zilivyokuwa Uganda na Kenya
 
Nchi zote tatu za Afrika Mashariki, Uganda, Kenya na Tanzania zilitawaliwa na mkoloni mmoja kwa wakati mmoja. Waganda na wakenya wao lugha wanayotumia na kuimiliki ni Kiingereza na Tanzania ni waongeaji wazuri wa kiswahili tu, yaani waswahili.

Lugha ina tabia ya kuendana na utamaduni wake. Mfano waingereza na waongeaji wa Kiingereza ni watu wenye utamaduni wa kuwa wazi, wakweli na wathubutu. Waswahili wana tabia ya kuwa waoga, waongo na wanafiki.

Hali inayoendelea Kenya kisiasa na kiuchumi haitofautiani na ya Tanzania. Wizi, ufisadi na rushwa kwa viongozi vimetamalaki katika nchi zote mbili ila kuna tofauti ya jinsi ya kukabiliana nayo.

Wakenya wana uthubutu wa kusema ukweli hadharani, kujitokeza na kuupinga uovu huo. Tanzania tunasifia na kutukuza wezi, mafisadi na wala rushwa huku wengi wakiendelea na maumivu yasiyomithilika.

Hapo ndipo linakuja suala la lugha na utamaduni wake. Upande mmoja ni ukweli, uwazi na uthubutu na huku kwingine ni unafiki, uoga, uongo na ujinga mwingi.
Mungu atusaidie, amina.
NIMEUNGA MKONO HOJA HII KWA KUSOMA HEADING TU KWA SABABU UMEANDIKA UKWELI MTUPU.
 
Back
Top Bottom