Nimethibitisha jamii inayoongea Kiingereza ina uelewa mkubwa na IQ za juu kulinganisha na waongeaji wa Kiswahili

Nimethibitisha jamii inayoongea Kiingereza ina uelewa mkubwa na IQ za juu kulinganisha na waongeaji wa Kiswahili

Amani ipi wakati huna ela? Ng'ombe kweli. Ndio msiokuwa na akili anaowasema mtoa mada.
Kwani hao wanaovunja amani na kubomoa miundombinu ya nchi yao, baada ya hapo watakuwa na fedha wotee?. Kwa taaarifa yako mnaojipeleka kihereheree ni makapuku kama nyie. Matajirii hawafanyi ujinga kama huo.
 
Nchi zote tatu za Afrika Mashariki, Uganda, Kenya na Tanzania zilitawaliwa na mkoloni mmoja kwa wakati mmoja. Waganda na wakenya wao lugha wanayotumia na kuimiliki ni Kiingereza na Tanzania ni waongeaji wazuri wa kiswahili tu, yaani waswahili.

Lugha ina tabia ya kuendana na utamaduni wake. Mfano waingereza na waongeaji wa Kiingereza ni watu wenye utamaduni wa kuwa wazi, wakweli na wathubutu. Waswahili wana tabia ya kuwa waoga, waongo na wanafiki.

Hali inayoendelea Kenya kisiasa na kiuchumi haitofautiani na ya Tanzania. Wizi, ufisadi na rushwa kwa viongozi vimetamalaki katika nchi zote mbili ila kuna tofauti ya jinsi ya kukabiliana nayo.

Wakenya wana uthubutu wa kusema ukweli hadharani, kujitokeza na kuupinga uovu huo. Tanzania tunasifia na kutukuza wezi, mafisadi na wala rushwa huku wengi wakiendelea na maumivu yasiyomithilika.

Hapo ndipo linakuja suala la lugha na utamaduni wake. Upande mmoja ni ukweli, uwazi na uthubutu na huku kwingine ni unafiki, uoga, uongo na ujinga mwingi.
Mungu atusaidie, amina.
Hao hawakutawaliwa na mjerumani
 
Hou ndio mwisho wa uwezo wako, uswahili ni shida Sana, ni lugha yenye utamaduni wa utumwa

Maswali marahisi tu mnakimbilia matusi nyie mitanganyika mmerogwa?

Unajua finance bill yenu imesomwa lini? Ilisomwa kwa kiingereza? Umechukua hatua gani?

Unaonaje tukimwaga damu yako kwa ajili ya ukombozi wa Tanganyika?

Jibu maswali we mshangazi acha matusi.
 
Utaje huo ufisadi mpaka upelekee watu tuvunje mshikamano wetu. Hata kama watukula hizo fedha lakini ikumbukwe tunaishi na watoto na vikongweee, halafu kunawengine ni wakulima na wagonjwa, sasa kwakuwa wewe nikijana ambaye huenda unaishi kwe shemeji yako, tayariii unataka tuharibu mstakabali wa amani na kuanza kuleta vuruguu?

Acheni kushabikia vurugu za aina yoyote ileee. Ni hatariii. Hakuna mahala dunia nzima ufisadi uliiisha hata huku kwa walio endelea. Tuwaaombee wenzetu wakenya wanao andamana waaache mara moja zaidi watafute haki yao kwa njia ya amani sio kwa namna wanavyofanyaa. Kenya ni nchi tajiri hakuna ambaye hajui lakini nao wakiharibu amani yao wataporomoka haraka saaa.
Kwa mara ya kwanza nimemuona Mjamaa anaekula na kumaliza leo.

Wajamaa wenzako wanamsimamo mkali mno sasa sijui ww mjamaa wa wapi au Mswahisi?😂😂
 
Maswali marahisi tu mnakimbilia matusi nyie mitanganyika mmerogwa?

Unajua finance bill yenu imesomwa lini? Ilisomwa kwa kiingereza? Umechukua hatua gani?

Unaonaje tukimwaga damu yako kwa ajili ya ukombozi wa Tanganyika?

Jibu maswali we mshangazi acha matusi.
Sina mda wa kufuatilia watu walioingia madarakani kwa wizi wa kura. Hatuna bunge bali vibaka ambao ni rubber stamp ya serikali ya mafisadi
 
Uko sahihi ila kinacho iponza Tanzania ni elimu fake, Tanzania ni nchi peke wadarasa la saba na graduate wakika pamoja huwezi kuwatofautisha mpaka watowe vyeti vyao, kwa mfano mzuri musukuma ikiwa bungeni hana tofauti na profesa moja wakiwa wana changia hoja.
🙌🙌🙌 umenikosea sana kaka, kwa hiyo unataka kusema mimi Degree yng ni fake 😂😂
 
[emoji119][emoji119][emoji119] umenikosea sana kaka, kwa hiyo unataka kusema mimi Degree yng ni fake [emoji23][emoji23]
Msingi wa degree yako ndo fake, mpaka pale tutakapo fundishwa vitu vinavyo endana na hali halisi ya maisha.
 
Nchi zote tatu za Afrika Mashariki, Uganda, Kenya na Tanzania zilitawaliwa na mkoloni mmoja kwa wakati mmoja. Waganda na wakenya wao lugha wanayotumia na kuimiliki ni Kiingereza na Tanzania ni waongeaji wazuri wa kiswahili tu, yaani waswahili.

Lugha ina tabia ya kuendana na utamaduni wake. Mfano waingereza na waongeaji wa Kiingereza ni watu wenye utamaduni wa kuwa wazi, wakweli na wathubutu. Waswahili wana tabia ya kuwa waoga, waongo na wanafiki.

Hali inayoendelea Kenya kisiasa na kiuchumi haitofautiani na ya Tanzania. Wizi, ufisadi na rushwa kwa viongozi vimetamalaki katika nchi zote mbili ila kuna tofauti ya jinsi ya kukabiliana nayo.

Wakenya wana uthubutu wa kusema ukweli hadharani, kujitokeza na kuupinga uovu huo. Tanzania tunasifia na kutukuza wezi, mafisadi na wala rushwa huku wengi wakiendelea na maumivu yasiyomithilika.

Hapo ndipo linakuja suala la lugha na utamaduni wake. Upande mmoja ni ukweli, uwazi na uthubutu na huku kwingine ni unafiki, uoga, uongo na ujinga mwingi.
Mungu atusaidie, amina.
Uko sahihi,lugha inaweza ikakupa kujiamini, nilipokuwa nakuwa ilikuwa rahis kumtongoza msichana kwa kizungu kuliko kwa kiswahili😆😆😆
 
Sina mda wa kufuatilia watu walioingia madarakani kwa wizi wa kura. Hatuna bunge bali vibaka ambao ni rubber stamp ya serikali ya mafisadi

Sasa usilalamike endelea kusifia wakenya Hilo tu ndo mnaweza watanganyika.
 
Ndo Tatizo letu sisi Watanzania, yani watu tunazungumza mambo mahimu, wanaanza kukukosoa kwamba hoo sio mbongo.
Kama mimi Tayari wanaanza kujiambia mimi mkenya , duuu
 
Mbona unawaaibisha "ndugu" zako mkuu? Hujui Wakenya wakilijua hilo wataishia kuwasimanga Watanzania?
Huyo asiyejua kusoma nimeshuhudia , tena kwao ni njombe makete , uwanji huko.
Binti kafaulu darasa la 7 baba yake akagoma kuhusu ada na mahitaji ya kumpeleka form 1 akasema binti yake hajui kusoma.
Na ni kweli alikuwa hajui.
 
Nchi zote tatu za Afrika Mashariki, Uganda, Kenya na Tanzania zilitawaliwa na mkoloni mmoja kwa wakati mmoja. Waganda na wakenya wao lugha wanayotumia na kuimiliki ni Kiingereza na Tanzania ni waongeaji wazuri wa kiswahili tu, yaani waswahili.

Lugha ina tabia ya kuendana na utamaduni wake. Mfano waingereza na waongeaji wa Kiingereza ni watu wenye utamaduni wa kuwa wazi, wakweli na wathubutu. Waswahili wana tabia ya kuwa waoga, waongo na wanafiki.

Hali inayoendelea Kenya kisiasa na kiuchumi haitofautiani na ya Tanzania. Wizi, ufisadi na rushwa kwa viongozi vimetamalaki katika nchi zote mbili ila kuna tofauti ya jinsi ya kukabiliana nayo.

Wakenya wana uthubutu wa kusema ukweli hadharani, kujitokeza na kuupinga uovu huo. Tanzania tunasifia na kutukuza wezi, mafisadi na wala rushwa huku wengi wakiendelea na maumivu yasiyomithilika.

Hapo ndipo linakuja suala la lugha na utamaduni wake. Upande mmoja ni ukweli, uwazi na uthubutu na huku kwingine ni unafiki, uoga, uongo na ujinga mwingi.
Mungu atusaidie, amina.
Mkuu tuliza boli, Biblia inasema Kila Jambo chini ya Mbingu, LINA-"WAKATI" wake, wakati huo ukifika mtu mmoja tu akitoa maagizo mbona kitawaka?!!
 
China wanazungumza kiingereza,? Japan wanazungumza kiingereza? South Korea wanazungumza kiingereza? Russia wanazungumza kiingereza? North Korea wanazungumza kiingereza? Malaysia wanazungumza kiingereza? Singapore wanazungumza kiingereza? Matafaifa yapo mengi yasiyozungumza kiingereza na yemeendelea vizuri sana, Lugha sio kikwazo , Maendeleo ni Mfumo uliopo #
 
China wanazungumza kiingereza,? Japan wanazungumza kiingereza? South Korea wanazungumza kiingereza? Russia wanazungumza kiingereza? North Korea wanazungumza kiingereza? Malaysia wanazungumza kiingereza? Singapore wanazungumza kiingereza? Matafaifa yapo mengi yasiyozungumza kiingereza na yemeendelea vizuri sana, Lugha sio kikwazo , Maendeleo ni Mfumo uliopo #
Wachina na hao uliowataja wanajifunza kiingereza kwa kasi ajabu, labda huna exposure
 
Nchi zote tatu za Afrika Mashariki, Uganda, Kenya na Tanzania zilitawaliwa na mkoloni mmoja kwa wakati mmoja. Waganda na wakenya wao lugha wanayotumia na kuimiliki ni Kiingereza na Tanzania ni waongeaji wazuri wa kiswahili tu, yaani waswahili.

Lugha ina tabia ya kuendana na utamaduni wake. Mfano waingereza na waongeaji wa Kiingereza ni watu wenye utamaduni wa kuwa wazi, wakweli na wathubutu. Waswahili wana tabia ya kuwa waoga, waongo na wanafiki.

Hali inayoendelea Kenya kisiasa na kiuchumi haitofautiani na ya Tanzania. Wizi, ufisadi na rushwa kwa viongozi vimetamalaki katika nchi zote mbili ila kuna tofauti ya jinsi ya kukabiliana nayo.

Wakenya wana uthubutu wa kusema ukweli hadharani, kujitokeza na kuupinga uovu huo. Tanzania tunasifia na kutukuza wezi, mafisadi na wala rushwa huku wengi wakiendelea na maumivu yasiyomithilika.

Hapo ndipo linakuja suala la lugha na utamaduni wake. Upande mmoja ni ukweli, uwazi na uthubutu na huku kwingine ni unafiki, uoga, uongo na ujinga mwingi.
Mungu atusaidie, amina.
Yaani umemaliza mkuu. Labda mitaala mipya utabadili mambo....
 
Back
Top Bottom