Nimethibitisha jamii inayoongea Kiingereza ina uelewa mkubwa na IQ za juu kulinganisha na waongeaji wa Kiswahili

Nimethibitisha jamii inayoongea Kiingereza ina uelewa mkubwa na IQ za juu kulinganisha na waongeaji wa Kiswahili

Tatizo lako unadhani uzalendo ni kuwatii watawala blindly bila kujiongeza. Uzalendo ni kwa nchi yako hivyo mzalendo sharti awe tayari kuipigania nchi yake na siyo kutetea wanaofuja rasilimali za taifa kwa maslahi yao na wanaowazunguka.
Fuata hao wajiongezao kwa kuvunja amani ya nchi yao na kuharibu miondombinu ya nchi zao. Mnajifanya wajuaji labda ni kwakuwa unashinda kijiweni na kwenda kula kwa shemeji yako muoa dada yako, hivyo hujui chochote.
 
Bro una support ufisadi unaofanywa na mamlaka?
Jiwe alikua fisadi papa (kanunua midege bila kufuata utaratibu na kalipa fedha keshi ili apate ten percent yake, ksababisha uhaba wa fedha kigeni kwa kitendo hiko, kakomba fedha kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii,nk. Samia ni Raisi mcha mungu na muwazi
 
Hujui Idadi ya Wazimbabwe waliokufa wakipambana kumuondoa Mugabe kwa hali na mali, Upinzani umewahi kuwa mkali Zimbabwe mpaka ukaingizwa kwenye serikali ya umoja wa kitaifa.
Yeah najua vizuri tu lakini sasa hivi mambo yako vipi?wanapambana bado?

Kama hivyo ata hapa Tanzania mbona watu wamekuwa wakionyesha the same spirit in different ways kuonyesha kutokubaliana na mambo yanavyoenda au kinachotakiwa hapa ni kwamba watu watumie approaches sawa na ambazo zinatumika kwenye hizo nchi

Tumekuwa tunashuhudia migomo ya wanafunzi wa vyuo na mapambano yao dhidi ya askari,sasa hivi tunao mfano hai:wafanyabiashara maeneo mbali mbali wamefanya in a passive way baada ya kufunga maduka yao kuonyesha kuna vitu wanataka vibadilike(Aren't these seen as mass awakening against unjust situations?) Au mnataka washike mapanga ndio mtaona wanaelewa?
 
Kwamba Zimbabwe ambao wanakimbia kwenda SA kukimbia ugumu wa maisha kwao wanawazidi wabongo sio? Nigeria ambayo wenyewe wanakubali kwamba they're fucked up bado wewe unapata nguvu ya kusema sio kondoo.Sitaki kusema Uganda maana huko pameoza
Unaona hao unaowasema kuna juhudi wanazifanya kujikwamua sisi huku tunakimbilia uchawa
 
Kwahyo kubomoa miundombinu ya maendeleo ya nchi yao na kutowesha amani na ustawi wa jamii nzima hayo ndio unayowapongeza? Acheni kuchochewa na na watu wa nje ambao wengine hawapendi maendeleo yenu waafrica. Maachafuko na vita na maandamano haijawahi kuwa njia ya kutatua kero katika eneo lolote. Africa tujitambue wenyewee, leo hiii tunavuruga amani yetu vitu vidogo, lakini tunajicherewesha wenyewe.
Mkuu wizi ni mbaya kuliko vurugu wacha hawa mafisadi wakose amani mana bora kufa kwa risasi kuliko kufa kwa njaaa ..
Hii amani wakati mnateka watu na kwenda kuwatupa waliwe na simba sijui ni amani gani..
Wewe ni mmoja wao umefit kwenye nafasi yako kama chawa..
Siku zenu zinakuja mtalia na familia zenu kwa mlicho wafanyia masikini..
 
Mimi sitaki kujua yaliyopo Tanzania katika hii debate.Binafsi niko against na wanaona sema English has been a tool of awakening people,making them see world different from others who don't speak English.Nimekuuliza Uganda,Nigeria and Zimbabwe mambo yako sawa ukichukulia kigezo cha lugha.

Binafsi najua mnapata hamasa na walichofanya wakenya lakini na kwambia ukweli: it is too early kusema they have made something that we should learn from them.Mind you kama wataweka guard zao chini ndio utajua kila kitu walichofanya ulikuwa ujinga but wakikaza hapo unaweza kunishawishi nijifunze huko Kenya.Kosa dogo tu watakuwa wanafinywa kimya kimya.Kama unafatilia utakuwa unaona wameanza kugawanyika mpaka sasa
Uelewa wa kimombo unawezesha kujifunza vitu vingi kirahisi
 
Eti mnajenga nchi kwa amani wakati mnatupa watu porini waliwe na simba...
Ushetani hujawahi kumwacha mtu na utimamu
Siku zenu zinakuja machwa mtakufa kabla ya hap wezi...
 
Baada ya kugungua hayo umechukua hatua gani, kiongozi? Unaonaje tukimwaga damu yako kwaajili ya ukombozi wa Tanganyika?

Hamjui hata budget ya nchi inasomwa lini kwani nayo inasomwa kwa kiingereza? Cheap excuses.
 
Mkuu wizi ni mbaya kuliko vurugu wacha hawa mafisadi wakose amani mana bora kufa kwa risasi kuliko kufa kwa njaaa ..
Hii amani wakati mnateka watu na kwenda kuwatupa waliwe na simba sijui ni amani gani..
Wewe ni mmoja wao umefit kwenye nafasi yako kama chawa..
Siku zenu zinakuja mtalia na familia zenu kwa mlicho wafanyia masikini..
Nchi gani haina mafisadii?
 
Kiingereza ni muhimu sana kwa kuwa ndiyo lugha ya kimataifa ila sio kwa jinsi umekizungumzia kwamba kinaongeza uelewa mkubwa na IQ

Japan, South Korea, China, Taiwan, Hong Kong, Singapore wana IQ kubwa sana lakini sio watumwa wa Kiingereza kivile

Nyerere ndiye wa kulaumiwa kuwafanya Watanzania wasijue Kiingereza
 
Kwahyo kubomoa miundombinu ya maendeleo ya nchi yao na kutowesha amani na ustawi wa jamii nzima hayo ndio unayowapongeza? Acheni kuchochewa na na watu wa nje ambao wengine hawapendi maendeleo yenu waafrica. Maachafuko na vita na maandamano haijawahi kuwa njia ya kutatua kero katika eneo lolote. Africa tujitambue wenyewee, leo hiii tunavuruga amani yetu vitu vidogo, lakini tunajicherewesha wenyewe.
Amani ipi wakati huna ela? Ng'ombe kweli. Ndio msiokuwa na akili anaowasema mtoa mada.
 
Baada ya kugungua hayo umechukua hatua gani, kiongozi? Unaonaje tukimwaga damu yako kwaajili ya ukombozi wa Tanganyika?

Hamjui hata budget ya nchi inasomwa lini kwani nayo inasomwa kwa kiingereza? Cheap excuses.
Hou ndio mwisho wa uwezo wako, uswahili ni shida Sana, ni lugha yenye utamaduni wa utumwa
 
Nchi zote tatu za Afrika Mashariki, Uganda, Kenya na Tanzania zilitawaliwa na mkoloni mmoja kwa wakati mmoja. Waganda na wakenya wao lugha wanayotumia na kuimiliki ni Kiingereza na Tanzania ni waongeaji wazuri wa kiswahili tu, yaani waswahili.

Lugha ina tabia ya kuendana na utamaduni wake. Mfano waingereza na waongeaji wa Kiingereza ni watu wenye utamaduni wa kuwa wazi, wakweli na wathubutu. Waswahili wana tabia ya kuwa waoga, waongo na wanafiki.

Hali inayoendelea Kenya kisiasa na kiuchumi haitofautiani na ya Tanzania. Wizi, ufisadi na rushwa kwa viongozi vimetamalaki katika nchi zote mbili ila kuna tofauti ya jinsi ya kukabiliana nayo.

Wakenya wana uthubutu wa kusema ukweli hadharani, kujitokeza na kuupinga uovu huo. Tanzania tunasifia na kutukuza wezi, mafisadi na wala rushwa huku wengi wakiendelea na maumivu yasiyomithilika.

Hapo ndipo linakuja suala la lugha na utamaduni wake. Upande mmoja ni ukweli, uwazi na uthubutu na huku kwingine ni unafiki, uoga, uongo na ujinga mwingi.
Mungu atusaidie, amina.
Umeandika utumbo mtupu. Huo ukabila wa Kenya ndo akili?
 
Back
Top Bottom