Nimethibitisha jamii inayoongea Kiingereza ina uelewa mkubwa na IQ za juu kulinganisha na waongeaji wa Kiswahili

Hata katika soccer nchi zinazoongea kingereza au French ni nomaa ,
 
Lugha haina muunganiko wowote na tabia ya mtu kutoka taifa husika tusidanganyane
 
Hali elioko Zibabwe ingekutana na Wa Tanzania mpaka sasa tungekua decared "failed state" na UN au Museveni angekua Raisi wa Tanzania angekua anatupagia hata mda wa kula na kulala kabisa tusinge weza kumfanya chochote.......
I compromise with you. I second every word 😍
 
Tulia tukukande
 
Niliwai kusema siku Moja kuwa: lugha ya kiswahili kwa mswahili ni nyepesi sana,
kutunga na kuvunja sentensi ni jambo la dakika,
Kusifia na kukosoa lugha hii huwa ni kawaida lkn kusifiwa husambaa zaidi.
Lugha inaweza kuwa chanzo Cha kupata au kukosa, kwa wepesi wa kiswahili machawa wataongezeka sana. Nakuunga mkono lugha yetu inatu...
 
#Samia mitano tena 👏🏿👏🏿
 
kwaio umetumia lugha kama kigezo cha kupima IQ ya mtu?

kwamba lugha inaweza kukuza au kushusha IQ ya mzungumzaji?

au ni mimi nimekuelewa vibaya?
 
kwaio umetumia lugha kama kigezo cha kupima IQ ya mtu?

kwamba lugha inaweza kukuza au kushusha IQ ya mzungumzaji?

au ni mimi nimekuelewa vibaya?
Nimelinhganisha lugha mbili tu! Waswahili kuelewa ni shida sana na ndio maana huwa tunaweka sahihi zetu kwenye mikataba tusiyoielewa vizuri
 
Nimelinhganisha lugha mbili tu! Waswahili kuelewa ni shida sana na ndio maana huwa tunaweka sahihi zetu kwenye mikataba tusiyoielewa vizuri
mbona una genaralise sana mkuu?
kwahiyo kingereza ndio bora kuliko kiswahili??

unajua kiswahili kina hadhi gani barani Africa kwa ujumla ukilinganisha na kingereza??

sawa sisi waswahili ni wagumu kuelewa, wewe ambae sio mswahili kwamba ndio mwepesi sana kuelewa??
 
Kama huamini kuwa kiingereza ni zaidi ya kiswahili inabidi usamehewe bure, hujui usemalo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…